Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
[emoji23][emoji23][emoji23]kampa papaaaYule jamaa walisema anaitwa sijui njorebe?.
Huyu mama fala sasa anatetea nini ikiwa na DNA papers alibadilisha?
Sasa hivi ndio anaumia yaani wanawake hamjui mnataka nini.
Na lile li nosipho ndio kabisaa. Hata sma mk akija tu anakitanua anampa dah [emoji16]
tuko wote aseeh leo hakosi mtuAseh, leo inabidi niwe kodoo kusubiri marudio maaana sio kwa kupitwa huku.....wiki nzimaa duh!
swafiiiπmda ukifika ntakushtua kampan isonge.tuko wote aseeh leo hakosi mtu
Nakumbuka wakati naanzisha huu uzi tulikuwa wawili tu mimi na weweswafiiiπmda ukifika ntakushtua kampan isonge.
ππyaani tulikua tunajongea mdogo mdogo adi sai ni uwanja mpana πNakumbuka wakati naanzisha huu uzi tulikuwa wawili tu mimi na wewe
Kila siku familia inaongezeka ππ
Sawa mr mabuza[emoji23] 18 zako zimetimiaeeeh bwana eeh chukueni hiyo
laleti khumalo ambaye ndio mama ayanda kumbe hapo kwa mashu ndio kwao yaani alizaliwa hapo mwaka 1970..!
dah yaani anaigiza mtaa aliozaliwa aseeh
Sema xulu anapiga vitasa nyiee [emoji3][emoji3]
imekuwaje tena jamani ya leo nimeikosa damu yangu hebu nipe kimoko cha usikuSawa mr mabuza[emoji23] 18 zako zimetimia
Ayanda karudi kwao na majeraha,mama na ndg yake wameshtuka na kuambuwa zulu na mwanae ndio wametenda hayoimekuwaje tena jamani ya leo nimeikosa damu yangu hebu nipe kimoko cha usiku
nashkuru sana kwa kimoko cha asubuhi hichi πππAyanda karudi kwao na majeraha,mama na ndg yake wameshtuka na kuambuwa zulu na mwanae ndio wametenda hayo
Zweli kampelekea kitabu Ayanda kile cha matukio lkn kbl ya hapo alitoa karatasi ambazo zinamtaja nae kwente matukio heavy
Mabuza ameenda na mtuhumiwa kituoni akataka kumuingiza room ya mahojiano akaambiwa haruhusiwi kuungia mtu kuna kikao kizito kati ya captain yule demu anayedai pesa na madloho( cjui ndio jina lake)akalazimisha mpk kuingia akajifanya sikujua kama kuna watu ngoja nitarudi baadae,akaitwa na kupewa mashtaka yake,lkn akajifanya kukana na kudai hamjui yule mwanamke,akaoneshwa ushahidi wa picha na pia zile ccctv za ofisini,akatoa bastola yake chaaap na kuwaelekezea niliondoka sijui kilichoendelea dk 5 sema nikakuta yeye ndio kawekwa chini kwa mashtaka ya rushwa
Haha Mabuza kashanyea kambiAyanda karudi kwao na majeraha,mama na ndg yake wameshtuka na kuambuwa zulu na mwanae ndio wametenda hayo
Zweli kampelekea kitabu Ayanda kile cha matukio lkn kbl ya hapo alitoa karatasi ambazo zinamtaja nae kwente matukio heavy
Mabuza ameenda na mtuhumiwa kituoni akataka kumuingiza room ya mahojiano akaambiwa haruhusiwi kuungia mtu kuna kikao kizito kati ya captain yule demu anayedai pesa na madloho( cjui ndio jina lake)akalazimisha mpk kuingia akajifanya sikujua kama kuna watu ngoja nitarudi baadae,akaitwa na kupewa mashtaka yake,lkn akajifanya kukana na kudai hamjui yule mwanamke,akaoneshwa ushahidi wa picha na pia zile ccctv za ofisini,akatoa bastola yake chaaap na kuwaelekezea niliondoka sijui kilichoendelea dk 5 sema nikakuta yeye ndio kawekwa chini kwa mashtaka ya rushwa
Mkuu naomba unicheck pm tafadhali πeeeh bwana eeh chukueni hiyo
laleti khumalo ambaye ndio mama ayanda kumbe hapo kwa mashu ndio kwao yaani alizaliwa hapo mwaka 1970..!
dah yaani anaigiza mtaa aliozaliwa aseeh
Sema xulu anapiga vitasa nyiee ππ
haina Shida mkuuMkuu naomba unicheck pm tafadhali π
Sad. I told you so.... hes kind of in a cornered end... director angefanya manuva kuliokoa make likiondoka tutalimisi san... it gonna be so baaaad to Xulu... look like xulu days are numbered toojembe langu mabuza dah kwisha
Lakini naona tuone mwisho wake mkuuSad. I told you so.... hes kind of in a cornered end... director angefanya manuva kuliokoa make likiondoka tutalimisi san... it gonna be so baaaad to Xulu... look like xulu days are numbered too
Hapo sasa sijui itakuwajeninachokiona ni kuwa zweli anakwenda kuwekwa ndani na dhlomo, amemsikiliza ayanda anayejifikiria yeye tu
Zweli kitabu kile kina madhambi yake pia anategemea huruma ya dhlomo na dhlomo hampendi zweli..
Acha tuone naona mangcobo kaziona documents Zilikuwa kwenye mkoba wa nombuso patamu hapo.. Maana anajiuliza kama mxo kaziona au alipuuzia..
jembe langu mabuza dah kwisha
Hahaa zweli kashindwa kuziondoa taarifa zake zoteSad. I told you so.... hes kind of in a cornered end... director angefanya manuva kuliokoa make likiondoka tutalimisi san... it gonna be so baaaad to Xulu... look like xulu days are numbered too
Ha ha ha quote that "MKUDA"π π kwa kweli Dhlomo is a bad ass atleast ange-strike deal na Zweli/kumu-assure. basi nimemchukia kama nini.Lakini naona tuone mwisho wake mkuu
Zweli naona ndio kajiharibia kabisa
Nae dhlomo mkuda sana