Ayanda karudi kwao na majeraha,mama na ndg yake wameshtuka na kuambuwa zulu na mwanae ndio wametenda hayo
Zweli kampelekea kitabu Ayanda kile cha matukio lkn kbl ya hapo alitoa karatasi ambazo zinamtaja nae kwente matukio heavy
Mabuza ameenda na mtuhumiwa kituoni akataka kumuingiza room ya mahojiano akaambiwa haruhusiwi kuungia mtu kuna kikao kizito kati ya captain yule demu anayedai pesa na madloho( cjui ndio jina lake)akalazimisha mpk kuingia akajifanya sikujua kama kuna watu ngoja nitarudi baadae,akaitwa na kupewa mashtaka yake,lkn akajifanya kukana na kudai hamjui yule mwanamke,akaoneshwa ushahidi wa picha na pia zile ccctv za ofisini,akatoa bastola yake chaaap na kuwaelekezea niliondoka sijui kilichoendelea dk 5 sema nikakuta yeye ndio kawekwa chini kwa mashtaka ya rushwa