Uzalo Special Thread

Haahaa... kwenye hii mimba mmmh majanga
Kapima mara nyingi hamna kitu Kimbembe kipo kwa manzuza sasa alivyo mbishi kuelewa..

Nosi jinga ssna yaani madem zangu wote vichwa maji yarabi mie nimekosa nini?😂
 
Kapima mara nyingi hamna kitu Kimbembe kipo kwa manzuza sasa alivyo mbishi kuelewa..

Nosi jinga ssna yaani madem zangu wote vichwa maji yarabi mie nimekosa nini?😂
😂😂yaani ni mabongoyoo woteee 🤣 huyu nosi angalau nilimuona bold kaja nae kuniangusha pimbi huyu....
Bado huyu kisansuda mwingine sma anang'ang'ania mimba kama hana si ashukuru atambae mbele 😬
Its Pancho ulikosea sanaaa😬😂
 
Yaani wa hovyo wote
Analazimisha mimba ili aolewe na boya ayanda mshenxi huyu 😂😂 hapo kws akili zake ataenda kutegesha mimba.

Ila huyu afande demu ws zweli kama limoyo langu linamdondokea hivi?😂😂

Anyway malezi ya binti yako sibahle unayaonaje?
 
Sba kama kakulia Buza na kusomea kaole. Ila Wazee wana mmiss sana
 
Halafu nisaidieni kwa wanaoangalia detail za CG. Hivi yule ni shoga kweli au anaigiza tu?
Halafu yule ni mwanaume kweli?
 
Ahsanten Dana Kwa update,nmemmic sba wangu,kina macho mazuri,pia kinajua kuact
 
Lakini alichopewa mwenzio Ayanda anakikumbuka mpaka akiwa na Manzuza. Huu ukichaa wa ngono nilidhani ni kwa Mmakonde Harmonize kumbe hata Ayanda kalogeka.
Mtoto sumu yule aseeh ayanda alifinyiwa ndani hana hamu
 
Imenichukua zaid ya mwaka kujua Hilo,juzi nilikuwa naangalia na jiran yangu wa kike ndio kanisaidia kugundua
hahahaha, mi huwa nikipenda movie/tamthilia huwa na google character wake wote na maisha yao na Instagram acc zao…hapo ndo nikamjua GC ni gasho kweli🤣
 
hahahaha, mi huwa nikipenda movie/tamthilia huwa na google character wake wote na maisha yao na Instagram acc zao…hapo ndo nikamjua GC ni gasho kweli[emoji1787]
Binafisi nilikuwa sipendi tamthilia since nipo chuo,nilikuwa naona Kama napoteza muda tu,but nilipoona hii uzalo nikavutiwa nayo contents zao ,mambo ya whoonga[emoji1787][emoji1787][emoji1787],biashara inalipa ila ni hatari
 
😅😅
Tangu mwanzo nakuambiaga uo moyo wako huwa unafeli sanaa husikii haya lidondoshe tena kwa afande 😅alafu uje kusema hukuambiwa
Sba kiukweli sjui changamoto zake hadi kuangukia kwenye prostitution ila alipofikia nanyanyua mikono juu🙌
 
Thanks for the update na pia naona Pastor Nkosi anapinduliwa very soon kwa sababu


Ashagonganisha mademu kina Fikile na sister Esther lubisi na wambea kina GC na Thobile wanajua


Wizi anaoufanya umeshagundulika baada ya kukata hela Kwenye account ya Gc na Thobile na wakaenda bank kuchukua bank statement na pia Ex wa GC aliwasaidia kujua kampuni inayohusika na wizi huo wakakuta aliyesajili kampuni ni pastor Nkosi na ushahidi wanao na Ayanda ameshajua huo mchezo na evidence anazo


Yule jamaa aliyeponeshwa na pastor Nkosi Naye anataka hela la sivyo jumapili anakuja kumchafua pastor na maongezi yao yapo recorded Kwenye camera


Pastor Nkosi is going down very soon[emoji28][emoji28]
 
Nimeshaanza kujua kizulu saiv hata nikaenda kwamashu na survive vizuri tu[emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…