Uzalo Special Thread

Uzalo Special Thread

Kila siku nasemaga Uzalo wamewekeza sana yani hawabahatishi wanachofanya na unaona kabisa hapa hela imetumika kuonesha uhalisia


Angalia kesi ilivoenda mahakamani kuanzia mazingira hadi uendeshaji wa kesi wameupiga mwingi

Na pia mashahidi wamechukua wahindi kabisa kama ndugu wa Marehemu(Nerina Govender)


Mxolisi na mastermind wamepelekwa jela na wote wamenyoa mapara na ndevu zote wamenyoa kuendana na uhalisia wa wafungwa



Ingekua kibongo bongo hapo au basi [emoji1787][emoji1787]
 
Nimeangalia marudio

Kumbe sibahle alikua Malaya muuza mbunye na boss wake ndo huyo jamaa(Amos) aliyemfuata kwamashu baada ya kutoroka Johannesburg

Amos anasema sibahle alikua anatoa Huduma nzuri kwa Wateja wake ndo maana amefuata akaendelee kutoa uroda Wateja wanamuuliziaa [emoji1787]
kuna siku sio muda mrefu ayanda, manzunza, dlomo na sba walikuwa wanapata chakula dlomo akawa anaponda kuhusu wanawake wanaojiuza sba alibadirika na kuchukia kwanini baba yake anapenda kuhukumu.
Siku nyingine baada ya sba na ayanda kugombana sba alikuwa anaongea na rafiki yake akamweleza kuwa amemsamehe ayanda kwani hata yeye ana mambo yake sio mazuri.Rafiki yake alipomdadisi akakwepa kueleza ni mambo gani.
 
kuna siku sio muda mrefu ayanda, manzunza, dlomo na sba walikuwa wanapata chakula dlomo akawa anaponda kuhusu wanawake wanaojiuza sba alibadirika na kuchukia kwanini baba yake anapenda kuhukumu.
Siku nyingine baada ya sba na ayanda kugombana sba alikuwa anaongea na rafiki yake akamweleza kuwa amemsamehe ayanda kwani hata yeye ana mambo yake sio mazuri.Rafiki yake alipomdadisi akakwepa kueleza ni mambo gani.

yeah, ile siku baba yake alivokua anaongea kuhusu prostitute akawa anapotezea hiyo mada kabisa…kumbe ilikua ndo mishe zake joberg…..alafu yule mwamba Amos anamwambia wateja wanakuulizia hawataki mtu mwingine tena anasisitiza wateja wanaomuulizia ni elders [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kuna siku sio muda mrefu ayanda, manzunza, dlomo na sba walikuwa wanapata chakula dlomo akawa anaponda kuhusu wanawake wanaojiuza sba alibadirika na kuchukia kwanini baba yake anapenda kuhukumu.
Siku nyingine baada ya sba na ayanda kugombana sba alikuwa anaongea na rafiki yake akamweleza kuwa amemsamehe ayanda kwani hata yeye ana mambo yake sio mazuri.Rafiki yake alipomdadisi akakwepa kueleza ni mambo gani.
Yeah nmekumbuka hizo scene sema Ayanda akijua hatomsamehe ndo atahamia kwa smangele mazima
 
yeah, ile siku baba yake alivokua anaongea kuhusu prostitute akawa anapotezea hiyo mada kabisa…kumbe ilikua ndo mishe zake joberg…..alafu yule mwamba Amos anamwambia wateja wanakuulizia hawataki mtu mwingine tena anasisitiza wateja wanaomuulizia ni elders [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Elders wanataka utamu wa sibahle[emoji1787][emoji1787]
 
Mimi nilihisi ka harufu ka umalaya ndani yake sibahle.

Kumbe kweli kalikuwa kauza mbunye nyiee 😂😂😂
 
Mimi nilihisi ka harufu ka umalaya ndani yake sibahle.

Kumbe kweli kalikuwa kauza mbunye nyiee [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila sidhani kama alikua anafanya kwa kupenda, inawezekana ni kutokana baba yake alimtelekeza na mama yake hakuwa na uwezo ikabidi ajiingize kwa hayo mambo…unaona yule amos alikua anamwambia I use a lot of money to made you…means Amos itakua ana danguro lake la ma prostitutie kama huna maisha unaenda kujifunza kazi[emoji1787]
 
Ila sidhani kama alikua anafanya kwa kupenda, inawezekana ni kutokana baba yake alimtelekeza na mama yake hakuwa na uwezo ikabidi ajiingize kwa hayo mambo…unaona yule amos alikua anamwambia I use a lot of money to made you…means Amos itakua ana danguro lake la ma prostitutie kama huna maisha unaenda kujifunza kazi[emoji1787]
Yeah hata mwanzo alikuwa akimlaumu baba yake sana kuwa hakuwepo kwa ajili yake.
Hata hivyo dhlomo amekubali lawama na ametimiza majukumu yake..

Lakini hii ni cheap excuse dhlomo hakuwatelekeza bali alienda kazini kurudi akakuta wamesepa na hajui wameenda wapi angefanyeje? Japo aligombana na mkewe sio mtoto..

Msimbebeshe dhlomo lawama hakuwatelekza
 
Kila siku nasemaga Uzalo wamewekeza sana yani hawabahatishi wanachofanya na unaona kabisa hapa hela imetumika kuonesha uhalisia


Angalia kesi ilivoenda mahakamani kuanzia mazingira hadi uendeshaji wa kesi wameupiga mwingi

Na pia mashahidi wamechukua wahindi kabisa kama ndugu wa Marehemu(Nerina Govender)


Mxolisi na mastermind wamepelekwa jela na wote wamenyoa mapara na ndevu zote wamenyoa kuendana na uhalisia wa wafungwa



Ingekua kibongo bongo hapo au basi [emoji1787][emoji1787]
Ni kweli aiseee wapo real,afu participatints ni wengi
 
kuna siku sio muda mrefu ayanda, manzunza, dlomo na sba walikuwa wanapata chakula dlomo akawa anaponda kuhusu wanawake wanaojiuza sba alibadirika na kuchukia kwanini baba yake anapenda kuhukumu.
Siku nyingine baada ya sba na ayanda kugombana sba alikuwa anaongea na rafiki yake akamweleza kuwa amemsamehe ayanda kwani hata yeye ana mambo yake sio mazuri.Rafiki yake alipomdadisi akakwepa kueleza ni mambo gani.
Nami niliona
 
Ni kweli aiseee wapo real,afu participatints ni wengi
Uzalo wamejipanga these guys means business na hapo tuna angalia episode za season 1 walizoshoot mwaka 2016 lakini wana deliver kitu chenye ubora je hiyo season 7 ambayo inaendelea huko kwao si unyama na nusu nilichecki Instagram progress yao dah ni unyama tu
 
Jembe langu mabuza live kwenye kideo dah napata burudani sana hasa jana.
Anakwambia eti ameokoka na hadai kitu kabisa kutoa msaada nyie 😂😂 anakwambia yeye ni yesu amefufuka..

Pastor nkosi huyu jamaa fala sana demu wake ndo eti msemaji sijui shemasi yaani tumepiigw eti alienda mlimani kusali 😂😂

Vitu anavyouza sasa. daah..
Niwe mkweli nimefurahi sibahle alivyonyolewa kidogo sababu dingi yake mnoko sana..
 
Back
Top Bottom