Yeah kwakweli maana sio kila mda mtu anaweza bahatika kuona so inakua msaada toshaPia tuacheni tabia ya ubinafsi .
Mtu kama umeangalia ni vema ukaweka updates hata kidogo kwa ambao wamekosa wakapata hints kidogo kuliko kukaa kimya wengine wapo safari wengine mikoani huko..
Kama ambavyo huyu dada nanii huyuu, na jagiya huwa wanafanya na mimi pia .
Tchao
Tupendane
moto sanaaaScene ya leo ni balaa[emoji1487][emoji1487]
Umeupiga mwingi sana thanks for the updateHii leo ni tuseme kwikwi ama nini daah ni moja ya scene za moto sanaaa.
Ok
Amos alikuja kumchukua sba na kumtoa out na dhlomo akawapa baraka zote kisha kuwaruhusu,
Akiwa kazini dhlomo akiongea na mondil ,anapewa file la kesi ya mtu mmoja na mondil, jamaa anamuomba dhlomo wasaidiane waweze kumaliza kwani amepokea simu kutoka kituo cha polisi hillbrow joburg kuwa jamaa huyo (amos) ameonekana huku durban na amekuwa akijihusisha na human trafficking na prostitution ,
Dhlomo anaanza kukandia kuwa wasichana wenyewe ndio chanzo kwani wakisikia tu joburg wanaweweseka na kutaka kwenda haraka kwahiyo acha wauzwe tu..
Lakini anapolitazama file anakutana na picha ya amos hapo dhlomo anapatwa na muhaho sana na kumpigia polisi mmoja ambaye yupo patrol anaitwa nyawo kuwa afuatilie nyendo na kumpa namba ya gari wakiloondoka nalo na number..
Huko kwa mangcobo nosi akiwa na mama yake wanampigia mabuza anakuja na anauliza mbona usiku usiku sana kulikoni?
Anaambiwa kuwa nosi amekubali kwenda tena kwa pravesh usiku huu hivyo atarecord tena..
Nosi anasisitiza kuwa ingekuwa mxo lazima angefanya kwa ajili yake so naye lazima amsaidie kwa hili. Mabuza anapongeza na kuondoka zake..
Dhlomo akiwa bado kituoni pale counter anahangaika ,anatokea sergeant mdunge na kumwambia mbona bado yupo hapo mpaka sasa? Alidhani dhlomo atakusa kwenye sofa home akicheki pastor akiwa live kideoni, dhlomo anacheka tu kwa kujilazimisha kidogo
Jamaa huyo (mdunge) anaendelea kupiga story zake na kudai kuwa asingekuwa na shift ya usiku basi angeenda home lakini anatumiwa updates na demu wake kupitia WhatsApp. Dhlomo anazuga zuga Kisha anapigiwa simu na nyawo kupewa updates halafu anasepa fasta kumfata sibahle ..
Nosi anaenda kukutana na pravesh kisha wanaagiza shots mbili mbili na kunywa huku nosi akiahidi kumpa uroda pravesh mpaka ajishike kisogo,[emoji23]
Wanazama zao room kupeana ile kitu inamesa mwensake.
Kule jela mxo na zweli wamebanwa chemba na kundi la mindlos na mwenyewe akiwemo pia , wanaomba msamaha ila mindlos ana hasira na kudai mxo anajifanya gangwe mpaka huku jela wakati hapo mindlos yeye ndo big boss.
Zweli anadakia kuomba msamaha lakini jamaa linasema anyamaze lina kesi na mxo zaidi, muda huo kina wamebanwa mikono nyuma na wahuni hao.
Mindlos anafoka kuwa mxo licha ya kumchoma polisi bado ameamua kufanya uhuni ili yeye (mindlos) ahamishwe ..!
Mxo anajutia na kudai hatomsumbua tena mindlos lakini jamaa linadai leo watakiona kilichomtoa kanga manyoya [emoji23]
Wanaanza kula kibano sanaa
Kule kanisani pastor anafanya mafekeche yake kama kawaida kitu kiko live kwenye kideo .
Dhlomo anaenda mpaka kule alikopewa direction ndani ya gari lake nje anamuona mwanaye akiwa kashikwa kiuno na njemba nene na ndevu kama mswalisuna [emoji23]
Pembeni yuko amos akisisitiza njemba ile ilipe pesa kwanza na jamaa linafunguka misimbazi kibwena pale kishs linamkiss sibahle hapo amos akisifia kuwa pisi kali hiyo..
Dhlomo anashuka na kumfata sibahle anamvuta mkono na lile njemba linamshika kws nguvu sba, halafu linamkiss tena ,hapo dhlomo anaishiwa nguvu kisha taratibu anageuzs zake na kusepa akimwacha sba njiapanda..[emoji26][emoji26]
Kanisani pastor anaangusha watu feki pale huku nyuma kukiwa na projector ikioneshs kilichomo mbele mara ayanda anafika na ile camera akiwa na gc na thobi kisha Fasta anatoa waya wa vga uliotungwa na kuchomeka kwenye camera ile wsliyoiba kws nkosi.
Mara mbele ukutani inajioneshs ile clip ya pastor na fikile wakipigana makiss pale kitini na hakafu inafatia ile ya yule jamaa aliyekuja kudai hela alijifanyaga kilema.
Pastor anapigwa butwaa na kudai waumini wasimsikilize gc ni mzushi ,hapo gc anaanza kuelezea wslivyotapeliwa pesa na pastor na ayanda anasogea mbele haoo nkosi anachomoka na kurusha ngumi mkono alioshika fimbo ili ampige ayanda lakini muhuni anakwepa na kumjaza pastor moja ya uso mpaka chali mithili ya gunia la viazi.
Kisha ayanda anakaa juu ya pastor na kuanza kumpa vitasa vya hela yote..
Kule jela kina mxo na zweli wsmechakaa kwa kipigo na uso hautamaniki kabisa .
Mindlos anasema mxo auwawe hapo hapo na zweli aachwe ili akasimulie huko uraiani ,mxo anadai ana hela walizompora zakes atampa zote lakini jamaa linagoma na kudai atatuamiaje akiwa jela? Kisha linaamuru mfungwa mmoja ammalize mxo kisha jamaa anachomoa kisu na kumkita nacho mxo tumboni halafu wanapotea zao na kumuacha zweli akiwa anamlilia mxo na kupiga kelele kuomba msaada.
Mondil akiwa home anaona kideoni ngumi za nkosi na ayanda anampigia jirani yake na kumuomba amuangalize mtoto wake hapo kisha anaenda kanisani..
Muda huo kanisani ayanda anaamka huku akiwa na wenge waumini wote wanamuangalia yeye tu kwanini kafanya vile, nyuma yake nkosi anaamka na kurusha tena ngumi na gc anamshtua ayanda na ayanda anakwepa na kumpiga ngumi pastor anajigonga kwenye kingo ya kiti pale anazima kimya, ayanda anapatwa na muhaho sana snajua ameuwa anaanza kumuamsha nkosi lakini kimya .
Huku kule jela zweli akilia kumuamsha mxo aliyetulia chini.
Nosi kule hotelini anamdadisi pravesh na jamaa anafubguka kuwa mkewe nerina alicheat na mdogo wake (pravesh) na dogo lake akakimbilia india hivyo akamfungia mkewe ndani ili akili yake ijirudi maana naye mkewe alitaka kukimbilia india pia.
So anadai haikuwa nia yake kumuuwa ila upinzani alioleta mkewe ndo ulikuwa shida hivyo akammaliza na mwili kuutelekeza beach nyuma ya boot la gari.
Anamsihi nosi asiseme nosi anaahidi kukaa kimya kisha anaaga kwenda uwani ila katika purukushani zao mkoba unaanguka na kile kitape kinadondoka jamaa anaokota na kuuliza cha nini,
Nosi anajibu huwa wsnatumia kurekodia kwaya kanisani, jamaa anaomba wasikilize aone, hapo kila alichoongea kinasikika ,anapanick na kumkaba nosi kisha kumtupa kitandani huku akiuliza nosi ni nani?
Pale jela anafika afande na kupiga simu kuws mxo na zweli wanahitaji msaada haraka .
NB: maji na mafuta yameanza kujichuja,sasa malaya ni malaya janbjam ni jambazi.
Nosi, ayanda hawaamini macho yao..
Jagiya Vera ginger MAFIA cartel
Na wengineo.
Post hii kwa wale ambao waliikosa wote twendeni hapa..
Big up mkuu@Its PanchoHii leo ni tuseme kwikwi ama nini daah ni moja ya scene za moto sanaaa.
Ok
Amos alikuja kumchukua sba na kumtoa out na dhlomo akawapa baraka zote kisha kuwaruhusu,
Akiwa kazini dhlomo akiongea na mondil ,anapewa file la kesi ya mtu mmoja na mondil, jamaa anamuomba dhlomo wasaidiane waweze kumaliza kwani amepokea simu kutoka kituo cha polisi hillbrow joburg kuwa jamaa huyo (amos) ameonekana huku durban na amekuwa akijihusisha na human trafficking na prostitution ,
Dhlomo anaanza kukandia kuwa wasichana wenyewe ndio chanzo kwani wakisikia tu joburg wanaweweseka na kutaka kwenda haraka kwahiyo acha wauzwe tu..
Lakini anapolitazama file anakutana na picha ya amos hapo dhlomo anapatwa na muhaho sana na kumpigia polisi mmoja ambaye yupo patrol anaitwa nyawo kuwa afuatilie nyendo na kumpa namba ya gari wakiloondoka nalo na number..
Huko kwa mangcobo nosi akiwa na mama yake wanampigia mabuza anakuja na anauliza mbona usiku usiku sana kulikoni?
Anaambiwa kuwa nosi amekubali kwenda tena kwa pravesh usiku huu hivyo atarecord tena..
Nosi anasisitiza kuwa ingekuwa mxo lazima angefanya kwa ajili yake so naye lazima amsaidie kwa hili. Mabuza anapongeza na kuondoka zake..
Dhlomo akiwa bado kituoni pale counter anahangaika ,anatokea sergeant mdunge na kumwambia mbona bado yupo hapo mpaka sasa? Alidhani dhlomo atakusa kwenye sofa home akicheki pastor akiwa live kideoni, dhlomo anacheka tu kwa kujilazimisha kidogo
Jamaa huyo (mdunge) anaendelea kupiga story zake na kudai kuwa asingekuwa na shift ya usiku basi angeenda home lakini anatumiwa updates na demu wake kupitia WhatsApp. Dhlomo anazuga zuga Kisha anapigiwa simu na nyawo kupewa updates halafu anasepa fasta kumfata sibahle ..
Nosi anaenda kukutana na pravesh kisha wanaagiza shots mbili mbili na kunywa huku nosi akiahidi kumpa uroda pravesh mpaka ajishike kisogo,😂
Wanazama zao room kupeana ile kitu inamesa mwensake.
Kule jela mxo na zweli wamebanwa chemba na kundi la mindlos na mwenyewe akiwemo pia , wanaomba msamaha ila mindlos ana hasira na kudai mxo anajifanya gangwe mpaka huku jela wakati hapo mindlos yeye ndo big boss.
Zweli anadakia kuomba msamaha lakini jamaa linasema anyamaze lina kesi na mxo zaidi, muda huo kina wamebanwa mikono nyuma na wahuni hao.
Mindlos anafoka kuwa mxo licha ya kumchoma polisi bado ameamua kufanya uhuni ili yeye (mindlos) ahamishwe ..!
Mxo anajutia na kudai hatomsumbua tena mindlos lakini jamaa linadai leo watakiona kilichomtoa kanga manyoya 😂
Wanaanza kula kibano sanaa
Kule kanisani pastor anafanya mafekeche yake kama kawaida kitu kiko live kwenye kideo .
Dhlomo anaenda mpaka kule alikopewa direction ndani ya gari lake nje anamuona mwanaye akiwa kashikwa kiuno na njemba nene na ndevu kama mswalisuna 😂
Pembeni yuko amos akisisitiza njemba ile ilipe pesa kwanza na jamaa linafunguka misimbazi kibwena pale kishs linamkiss sibahle hapo amos akisifia kuwa pisi kali hiyo..
Dhlomo anashuka na kumfata sibahle anamvuta mkono na lile njemba linamshika kws nguvu sba, halafu linamkiss tena ,hapo dhlomo anaishiwa nguvu kisha taratibu anageuzs zake na kusepa akimwacha sba njiapanda..😥😥
Kanisani pastor anaangusha watu feki pale huku nyuma kukiwa na projector ikioneshs kilichomo mbele mara ayanda anafika na ile camera akiwa na gc na thobi kisha Fasta anatoa waya wa vga uliotungwa na kuchomeka kwenye camera ile wsliyoiba kws nkosi.
Mara mbele ukutani inajioneshs ile clip ya pastor na fikile wakipigana makiss pale kitini na hakafu inafatia ile ya yule jamaa aliyekuja kudai hela alijifanyaga kilema.
Pastor anapigwa butwaa na kudai waumini wasimsikilize gc ni mzushi ,hapo gc anaanza kuelezea wslivyotapeliwa pesa na pastor na ayanda anasogea mbele haoo nkosi anachomoka na kurusha ngumi mkono alioshika fimbo ili ampige ayanda lakini muhuni anakwepa na kumjaza pastor moja ya uso mpaka chali mithili ya gunia la viazi.
Kisha ayanda anakaa juu ya pastor na kuanza kumpa vitasa vya hela yote..
Kule jela kina mxo na zweli wsmechakaa kwa kipigo na uso hautamaniki kabisa .
Mindlos anasema mxo auwawe hapo hapo na zweli aachwe ili akasimulie huko uraiani ,mxo anadai ana hela walizompora zakes atampa zote lakini jamaa linagoma na kudai atatuamiaje akiwa jela? Kisha linaamuru mfungwa mmoja ammalize mxo kisha jamaa anachomoa kisu na kumkita nacho mxo tumboni halafu wanapotea zao na kumuacha zweli akiwa anamlilia mxo na kupiga kelele kuomba msaada.
Mondil akiwa home anaona kideoni ngumi za nkosi na ayanda anampigia jirani yake na kumuomba amuangalize mtoto wake hapo kisha anaenda kanisani..
Muda huo kanisani ayanda anaamka huku akiwa na wenge waumini wote wanamuangalia yeye tu kwanini kafanya vile, nyuma yake nkosi anaamka na kurusha tena ngumi na gc anamshtua ayanda na ayanda anakwepa na kumpiga ngumi pastor anajigonga kwenye kingo ya kiti pale anazima kimya, ayanda anapatwa na muhaho sana snajua ameuwa anaanza kumuamsha nkosi lakini kimya .
Huku kule jela zweli akilia kumuamsha mxo aliyetulia chini.
Nosi kule hotelini anamdadisi pravesh na jamaa anafubguka kuwa mkewe nerina alicheat na mdogo wake (pravesh) na dogo lake akakimbilia india hivyo akamfungia mkewe ndani ili akili yake ijirudi maana naye mkewe alitaka kukimbilia india pia.
So anadai haikuwa nia yake kumuuwa ila upinzani alioleta mkewe ndo ulikuwa shida hivyo akammaliza na mwili kuutelekeza beach nyuma ya boot la gari.
Anamsihi nosi asiseme nosi anaahidi kukaa kimya kisha anaaga kwenda uwani ila katika purukushani zao mkoba unaanguka na kile kitape kinadondoka jamaa anaokota na kuuliza cha nini,
Nosi anajibu huwa wsnatumia kurekodia kwaya kanisani, jamaa anaomba wasikilize aone, hapo kila alichoongea kinasikika ,anapanick na kumkaba nosi kisha kumtupa kitandani huku akiuliza nosi ni nani?
Pale jela anafika afande na kupiga simu kuws mxo na zweli wanahitaji msaada haraka .
NB: maji na mafuta yameanza kujichuja,sasa malaya ni malaya janbjam ni jambazi.
Nosi, ayanda hawaamini macho yao..
Jagiya Vera ginger MAFIA cartel
Na wengineo.
Post hii kwa wale ambao waliikosa wote twendeni hapa..
Marudio ni jumatatu hadi ijumaa saa tatu na nusu asubuhi na jumapili ni marudio ya wiki nzima kuanzia saa nne (sina hakika sana kwa anaefahamu anirekebishe muda)Naomba nifahamishwe marudio huwa ni lini na lini na muda!
UbarikiweMarudio ni jumatatu hadi ijumaa saa tatu na nusu asubuhi na jumapili ni marudio ya wiki nzima kuanzia saa nne (sina hakika sana kwa anaefahamu anirekebishe muda)
Marudio mengine ya wiki nzima ni jumamosi usiku kuanzia saa tano na dkk 45Marudio ni jumatatu hadi ijumaa saa tatu na nusu asubuhi na jumapili ni marudio ya wiki nzima kuanzia saa nne (sina hakika sana kwa anaefahamu anirekebishe muda)
Uzalo ina dakika 22 tu, rudia tena hiyo 22,How can a man waste his time to watch this kind of Tv show everyday from Monday to Friday at 1930 instead of that time to be at bar drinking beers with friends or at club.
Mimi nimeachana na mapombe kabisa.Tamthilia kama Uzalo ni baadhi ya vitu vinavyonisaidia katika hilo!How can a man waste his time to watch this kind of Tv show everyday from Monday to Friday at 1930 instead of that time to be at bar drinking beers with friends or at club.