Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #1,661
Nina mjengoni aseeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mama mlokole fekiManzuza chizi kweli ataki kulipa mahari kwa zweli, kwa sababu zake za kipuuzi
alinichosha apo nilitamani nimrukie.... kwani wakristo mahari azilipwagi ama😂Huyu mama mlokole feki
Inaonekana ujanani alikuwa mcharuko sana.
Eti this is Christian house..
Mastermind kasusia ndoa ya mdogo wake.... Smangele alivyokua akipambwa akawastopisha wapambaji ili akaonane na kaka yake ili kumwomba asikose kuwepo kwani anamtegemea yeye.. master akakubaliUpdate
Much thanksMastermind kasusia ndoa ya mdogo wake.... Smangele alivyokua akipambwa akawastopisha wapambaji ili akaonane na kaka yake ili kumwomba asikose kuwepo kwani anamtegemea yeye.. master akakubali
Mangcobo nae kaisusia sherehe kwani akuharifiwa na mwanae ayanda, ila nosi anamsisitiza aende
Nosi anatoka na kwenda kumfata mxolis ambae nae hana ata mpango wa kwenda.. ila anamshauri nosi akamsisitize mangcobo aende, bhas nosi akasepa ila akimsisitiza mxo asikose
Haya kanisani ayanda akiwa anamsubiri bibi harusi (ambae alikua anamaliziwa kupambwa) bhas wageni wengine wakiendelea kuja ikiwemo mangcobo na nosi..... Sma anaingia kanisani akiwa na kakae zweli na kisha kukabidhiwa kwa mumewe mtarajiwa Ayanda....
Pastor akiendelea na kufungisha ndoa na kisha kuuliza kama kuna mwenye kipingamizi na ndoa hiyo.... weeeh mangcobo bila woga kanyoosha mkono na kusema anaipinga ndoa hiyo kwani yeye ndie mama mzazi wa ayanda....
Mwisho... Japo skuanzia mwanzo hivyo ni baadhi ya vipengele nilivyobahatika kuvicheki
NdioHivi ata Isidingo Ze Need ilikua na Wapenzi?
Duh.
Haswa mastermind, mxolisi ni muogaHarakati za Mxolisi na mastermind nazikubali sana ndio favorite actors wangu
Mxolisi mara nyingi huwa anakurupuka ila Mastermind ndo anamrekebishaHaswa mastermind, mxolisi ni muoga
Unadhani ingewezaji kusurvive miaka 22 kama haikuwa na wapenzi kede kede?Hivi ata Isidingo Ze Need ilikua na Wapenzi?
Duh.
Mi pia nimekwazika. Kwann tusizame wengi huko dm za itv tukalalamika jmnNimamindi kinoma.....mambo gani kutubadilishia ratiba.....nimekwazika sana yani......wanahamjsha UZALO saa nne na nusu...wanatufanya sisi watoto hatuna ratiba zetu miaka 20 ya ISIDINGO tushaitenga saa moja na nusu sasa mnakuja kuanza UZALO mnaanza kubadili ratiba....
umeongea point me enyewe niliwaza hivyo maana hawajasikiliza maoni ya watazamaji alafu usikute wanatuletea iyo saa 4 alafu ukute bado ni nusu saa ni upuuzi utakua uoMi pia nimekwazika. Kwann tusizame wengi huko dm za itv tukalalamika jmn
tena mbali na nusu saa,sasa hivi itakuwa ni j3-j5 tu,siku 3 ndani ya weekumeongea point me enyewe niliwaza hivyo maana hawajasikiliza maoni ya watazamaji alafu usikute wanatuletea iyo saa 4 alafu ukute bado ni nusu saa ni upuuzi utakua uo