Aiseeh, hawa ni wakufatwa kushushuliwa kabisaaatena mbali na nusu saa,sasa hivi itakuwa ni j3-j5 tu,siku 3 ndani ya week
Walikuwa usingizini mda wanapanga hiyo ratiba ama maana ni upuuzi mwanzo mwishoHlf marudio ya asubuhi saa 11 na nusu alfajir
Jumapili saa 5 usiku
Wamerogwa hawa
Upuuzi mtupuWalikuwa usingizini mda wanapanga hiyo ratiba ama maana ni upuuzi mwanzo mwisho
kabisaaaUpuuzi mtupu
Kuna nn tena, wamefanyajeAmkeni huku hivi nini kinaendelea hapa kati ya G sii na huyu mgeni isije wakawa ndio wamesababisha tukahamishwa mpaka mtaa wa 4:30
jamani wengine hatujaangalia muda kama kuna mtu anaweza summarize ya wiki iliyopita yote na kwanzia wiki hii nitashukuruAmkeni huku hivi nini kinaendelea hapa kati ya G sii na huyu mgeni isije wakawa ndio wamesababisha tukahamishwa mpaka mtaa wa 4:30
Asanteni sana wadau