Ludexer jr
Senior Member
- Jan 6, 2020
- 128
- 326
Nilikuwa nasubiri tu yule mama afungue lile box
Kwa bahati mbaya mwanae akatokea
Kwa bahati mbaya mwanae akatokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeap,mishe ikafeliNilikuwa nasubiri tu yule mama afungue lile box
Kwa bahati mbaya mwanae akatokea
🖐️....nimemuonea pastor huruma kubebeshwa lawama jamaniEeeh bhna eeeh ni motoo
mama mxolisi vs mama ayanda kimenuka huko msibani..sema mama pastor ndio alianza uchokozi eti wenzie kuja hapo wameleta laana.. 😀😀
Mama mxolisi na yeye kamchana kuhusu ayanda eti "anakuaibisha kila siku mbona husemi"
Pastor akirudi ataweza kummeza xulu. Yaani mama mkubwa wa sindi kamtupia lawama zote pastor halafu kinachomuuma pastor hata hahusiki, ana hasira vibaya..
Dhlomo bwana leo alikuwa anakula kipigo maana xulu alikuwa hakopeshi pale alishachoka na mikwara ya detective huyo makini..
Team xulu na pastor hapa tunyooshe mikono juu.. 👆👆👆
🖐🖐 xulu yupo kama mbongo jinsi anavyo fokaEeeh bhna eeeh ni motoo
mama mxolisi vs mama ayanda kimenuka huko msibani..sema mama pastor ndio alianza uchokozi eti wenzie kuja hapo wameleta laana.. 😀😀
Mama mxolisi na yeye kamchana kuhusu ayanda eti "anakuaibisha kila siku mbona husemi"
Pastor akirudi ataweza kummeza xulu. Yaani mama mkubwa wa sindi kamtupia lawama zote pastor halafu kinachomuuma pastor hata hahusiki, ana hasira vibaya..
Dhlomo bwana leo alikuwa anakula kipigo maana xulu alikuwa hakopeshi pale alishachoka na mikwara ya detective huyo makini..
Team xulu na pastor hapa tunyooshe mikono juu.. 👆👆👆
hata anavyoongea kama mbongo yaani🖐🖐 xulu yupo kama mbongo jinsi anavyo foka
Jamaa atakuwa mbongo aliyezamia SA 😀😀hata anavyoongea kama mbongo yaani
Nombuso kale kabinti kalikoimba msibani kamehamia mjini kwa kina Ayanda, Ayanda na xulu wote wanakamezea mate...ayanda aliongea nako kalimuignore ila xulu alipata muda akapiga nako stori ....MAZURI ZAIDI YANAKUJAAny update kwa leo wakuu
Kazi zimekuwa nyingi leo nimekosa ndo narudi
mkuu apo wanaomkubali nombuso ni kati ya ayanda na mxolisi(xulu ni baba wa mxolisi)Nombuso kale kabinti kalikoimba msibani kamehamia mjini kwa kina Ayanda, Ayanda na xulu wote wanakamezea mate...ayanda aliongea nako kalimuignore ila xulu alipata muda akapiga nako stori ....MAZURI ZAIDI YANAKUJA
Huyo nombuso alikuwa anaimba vizuri mnoo ndio maana ayanda akawa anammezea mateNombuso kale kabinti kalikoimba msibani kamehamia mjini kwa kina Ayanda, Ayanda na xulu wote wanakamezea mate...ayanda aliongea nako kalimuignore ila xulu alipata muda akapiga nako stori ....MAZURI ZAIDI YANAKUJA
hahaha kabisa nasubiri iyo siku maana sio kwa kashfa zile za ayanda kwenye ile kwaya😅Naona nombuso atafanya ayanda arudi kanisani 😀😀😀
ufanye hivyo mkuu vipande vingine nimevijazia apo juumkuu Kukaja Kununu nashukuru kwa kipande ulichojitahidi kunipa kesho nitawahi 🙏🙏
Ayanda akiunganisha nguvu na nombuso kwaya itakuwa fayaahahaha kabisa nasubiri iyo siku maana sio kwa kashfa zile za ayanda kwenye ile kwaya😅
mkuu nakupa asilimia zote kwa uliyosema,tusubiri tu matokeo..btw who is smangele?🤔Ayanda akiunganisha nguvu na nombuso kwaya itakuwa fayaa
Sema jamaa ni malaya utabiri wangu umetimia nkule alitafunwa siku ile
Ayanda na mxolisi pia wataweza kuwa na bifu kisa mbususu 😀😀Who know?
Nae smangele ataanza kujaa wivu kwa nombuso maana Yule kwa wivu sio mchezo huenda yakatokea
Ni yule Dada yake mastermind kiongozi wa kwaya mkuu anaongea ongea sana yulemkuu nakupa asilimia zote kwa uliyosema,tusubiri tu matokeo..btw who is smangele?🤔
sawaaah! tena apo wajumuishe na nkule pamoja na uyo mchumba wa mastermind...Ni yule Dada yake mastermind kiongozi wa kwaya mkuu anaongea ongea sana yule