Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkontho ni Kama vile ameanza kuwa mpole sema Xulu ana moyo mgumu Sana yani anataka ndugu yake arudi gerezani kwa mara ya pili dah.Inaelekea chanzo cha kufungwa ni wizi wa magari ambapo pesa mr xulu alichukua
Hlf sijui alishadate na mr xulu au alimtongoza enzi za ujana
Hiyo niliiona kidogo ni pale mk aliinama kuchukua kijiti achore namba ila sma akaona bastola kiunoni ndio akakimbiaNombuso anaoneka wazi anampenda mxolisi na Ayanda hana chake pale jamaa alifanya kosa kubwa akimuacha Nkule.
Mkontho inaonesha ametokea kukapenda kasister kake na Mastermind japo hajakaaimbia pia Xulu alimwambia mkontho akamuue mtoto wa mchungaji hospitalini akakataa sasa Xulu ana-mfremu ndugu yake kwa mara ya pili ili arudi gerezani
Mkontho na braza wake ni kama maji ya moto na ya baridi.Mkhonto ameanza kuwa mwema brother wake ameanza kumchoma tena...shubamit
jamaa ameanza kujifunza kupenda na kwa Sma amefika kabisa[emoji3]Mkontho na braza wake ni kama maji ya moto na ya baridi.
Sma kaanza kumuelewa mkontho
Kawa mpolejamaa ameanza kujifunza kupenda na kwa Sma amefika kabisa[emoji3]
Mkontho na braza wake ni kama maji ya moto na ya baridi.
Sma kaanza kumuelewa mkontho
Sma pia naye ametokea kumpenda sana msela yani 😀😀😀 .jamaa ameanza kujifunza kupenda na kwa Sma amefika kabisa[emoji3]
Sma ni pisi kali nyie ana rangi fulani hiviSma pia naye ametokea kumpenda sana msela yani 😀😀😀 .
Ayanda siku hizi namuona kaamua kuwa bize na kwaya while mxolisi anazidi kujimilikisha mke.
😀😀😀Sma ni pisi kali nyie ana rangi fulani hivi
Xulu ameachiwa Mkontho bado hajakamatwa ila kesho tutajua zaidi japo Dhlomo na pastor wanajua muhusika ni Xulu na si Mkontho.Yaani sasa hivi hata hamkimbii MK tena hivi kwa walioangalia ile ya ijumaa hapo ilikuwaje MK alikamatwa? Na sma walifikia wapi?
Jamaa alimuumiza nkule sema sikuhizi kapoa Sana yupo bize na kwaya na ukizingatia mdogo wake yupo hospitali.Ayanda kakubali yaishe tu pisi sio yake tena
hapo nilishapaona xulu aliachiwa na sma alipomfata mk pale kwa diana.😀😀😀
Xulu ameachiwa Mkontho bado hajakamatwa ila kesho tutajua zaidi japo Dhlomo na pastor wanajua muhusika ni Xulu na si Mkontho.
Sma alimkuta Mkontho kwenye mgahawa wa sister D wakapiga stori mbili tatu za kujuana zaidi tena alimfata mwenyewe.
Jamaa alimuumiza nkule sema sikuhizi kapoa Sana yupo bize na kwaya na ukizingatia mdogo wake yupo hospitali.
ndio hivyo mkuu tusubiri tu uthibitishoNYIE MXOLISI SIO MTOTO WA GABAXHE[emoji849][emoji849]
Ndio ni mtoto wa pasterNYIE MXOLISI SIO MTOTO WA GABAXHE[emoji849][emoji849]
Hebu funguka mkuu ilikuwaje leoDah hii inaenda kutamu...Mkhonto nina hakika ndiye aliyepiga risasi kwa kaka yake
gabhashe akiwa katika maegesheo ya magari akutana na pastor akiwa kabeba risas mkononi akimwambia ghabashe leo ndio siku ya kulipa mabaya yote uliyofanya... ghafla unaskika mlio wa risasi japo pastor anaonyesha kushangaa(kwakua hakushoot) nyuma ya ghabashe kinaonekana kivuli kikiwa kimeshika risasi(ambaye bila shaka ni mk) na kuondoka,pastor kwa woga akakimbia msalaHebu funguka mkuu ilikuwaje leo
Xulu kapigwa risasi na mk?
Daa pastor ana bahati mbaya sanagabhashe akiwa katika maegesheo ya magari akutana na pastor akiwa kabeba risas mkononi akimwambia ghabashe leo ndio siku ya kulipa mabaya yote uliyofanya... ghafla unaskika mlio wa risasi japo pastor anaonyesha kushangaa(kwakua hakushoot) nyuma ya ghabashe kinaonekana kivuli kikiwa kimeshika risasi(ambaye bila shaka ni mk) na kuondoka,pastor kwa woga akakimbia msala