Uzalo Special Thread

Uzalo Special Thread

Muda wa nombuso kukiona cha moto umekaribia Good..

Zweli na MK walizipiga kinoma, sma yupo upande wa upande wake anamuacha Kaka yake bogus kabisa hili demu kama nombuso tu.
Tapeli Richard soon litadakwa na phindile wake uzuri ma malindi kashawaona. Patamuu
 
Muda wa nombuso kukiona cha moto umekaribia Good..

Zweli na MK walizipiga kinoma, sma yupo upande wa upande wake anamuacha Kaka yake bogus kabisa hili demu kama nombuso tu.
Tapeli Richard soon litadakwa na phindile wake uzuri ma malindi kashawaona. Patamuu
Hlf unajua naonaga Sma kafanana na Amber lulu
 
Jana Malindi kamuona Richard akampiga picha sasa sijui itakuaje?
Maana nakumbuka kipindi wametapeliwa alimpigia mtu akamwambia anataka amtafute Richard amlete akiwa hai
 
Jana Malindi kamuona Richard akampiga picha sasa sijui itakuaje?
Maana nakumbuka kipindi wametapeliwa alimpigia mtu akamwambia anataka amtafute Richard amlete akiwa hai
Iko wazi sasa phindile na Richard wameharibu hawapati hats mia kudadekii
 
Maskini mxo dogo kapotea sababu ya upuuzi wake kumsikiliza mastermind. Mwenzie master huko jela ataishi tu sababu ni mtemi sasa mxo dogo mayai mayai sana.. Anaenda kuwa mwali..

Mwanaharamu nombuso amekipata kilichomtoa kanga manyoya 😀😀
Ayanda ameanza kujilaumu wakati mwanajela ndio kahusika hapo.. Afu linombuso limetoa mimacho tu ayanda wa watu analaumiwa..

Nyie ma malindi ni Mafia tapeli phindile na Richard wanadakwa, phindile alikuwa mdogo kama pilton jitu mtumba mabuza lilipofika..
Safi mama ngcobo 😀😀😀🙌🏾🙌🏾💪💪
Jagiya ,Vera ginger ,Mtoto wa Baba
 
Maskini mxo dogo kapotea sababu ya upuuzi wake kumsikiliza mastermind. Mwenzie master huko jela ataishi tu sababu ni mtemi sasa mxo dogo mayai mayai sana.. Anaenda kuwa mwali..

Mwanaharamu nombuso amekipata kilichomtoa kanga manyoya 😀😀
Ayanda ameanza kujilaumu wakati mwanajela ndio kahusika hapo.. Afu linombuso limetoa mimacho tu ayanda wa watu analaumiwa..

Nyie ma malindi ni Mafia tapeli phindile na Richard wanadakwa, phindile alikuwa mdogo kama pilton jitu mtumba mabuza lilipofika..
Safi mama ngcobo 😀😀😀🙌🏾🙌🏾💪💪
Ayanda mshamba sana mkuu ila wakina Mxolisi nadhani wanaweza kulipa ile faini ya R100 000 kila mmoja.
 
lakini jaji alisema hukumu miaka mitano sambamba na faini pia akasema hukumu inaanza kuanzia sasa mtakaa jela..

Imekaaje hiyo?
Hapana mkuu badala ya kwenda jela watapaswa walipe faini ya R100 000 kila mmoja na hawapaswi kusababisha vurugu lasivyo maamuzi yatakuwa revoked na wataenda jela.
 
Hapana mkuu badala ya kwenda jela watapaswa walipe faini ya R100 000 kila mmoja na hawapaswi kusababisha vurugu lasivyo maamuzi yatakuwa revoked na wataenda jela.
huenda sikuwa natazama screen that time.
Lakini kuhusu kutojihushisha na vurugu na mengine ikiwemo kurudishwa jela nimeskia..
 
Maskini mxo dogo kapotea sababu ya upuuzi wake kumsikiliza mastermind. Mwenzie master huko jela ataishi tu sababu ni mtemi sasa mxo dogo mayai mayai sana.. Anaenda kuwa mwali..

Mwanaharamu nombuso amekipata kilichomtoa kanga manyoya 😀😀
Ayanda ameanza kujilaumu wakati mwanajela ndio kahusika hapo.. Afu linombuso limetoa mimacho tu ayanda wa watu analaumiwa..

Nyie ma malindi ni Mafia tapeli phindile na Richard wanadakwa, phindile alikuwa mdogo kama pilton jitu mtumba mabuza lilipofika..
Safi mama ngcobo 😀😀😀🙌🏾🙌🏾💪💪
Jagiya ,Vera ginger ,Mtoto wa Baba
haaa.. ayanda kwaiyo anabeba mzigo usio wake..? uyo mxo ata akifungwa maisha hamna shida mpuuz tu... Nombuso uyu jini kizoba kabisa sijui anajiskiaje uyu... laana itamtafuna kwauo upuuz wake mfyuuu
 
Anazingua sana kumbe hajawahi hata kula mbususu halafu anajipa mzigo
Hajui hiyo ni kazi ya mwanajela mxo. [emoji3][emoji3]
Tatizo la mama za kiafrica
Hata hakutaka kumsikiliza mwanae utetezi wake,yeye analaumu tu imebidi Ayamda akubali tu lawama
 
Back
Top Bottom