Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora jmosi tu kuamka 11 hapana aseehLeo ni utata.... kuna Semifinal ya World Cup.... itabidi niamke mapema kesho asubuhi(saa 11 alfajiri) kuwahi marudio au kupotezea hadi J’mosi.
Its Pancho ndiye mzuri kwa marejesho... ana kumbukumbu kama zote...Kibunango fanya kutupa mrejesho bhas
Mkuu kichwa changu cha kuku nakumbuka kidogo tu mieIts Pancho ndiye mzuri kwa marejesho... ana kumbukumbu kama zote...
acha tu na maisha yalivyo magumu duh na kiinua mgongo chake kasepa nacho 😢😢sio fair kabisaaaPole na wewe kwa kukimbiwa na mzee wako yule naskia upo singo?
ila kwenye swala la marudio naona itv wameamua kutukomoa.... yaan uchelewe kulala uwahi kuamka😂😂Leo ni utata.... kuna Semifinal ya World Cup.... itabidi niamke mapema kesho asubuhi(saa 11 alfajiri) kuwahi marudio au kupotezea hadi J’mosi.
Yeah..! Tatizo ni yule mkaka dada!ila kwenye swala la marudio naona itv wameamua kutukomoa.... yaan uchelewe kulala uwahi kuamka😂😂
Hahahaha yaani hilo lilikuwa wazi mkuu tumepiga boli LA kihuni kudadeki sasa tunamsubiri atakayepita kesho atajutaIts Pancho Haya umepita kwenda fainali...
Kesho au leo ni France....Hahahaha yaani hilo lilikuwa wazi mkuu tumepiga boli LA kihuni kudadeki sasa tunamsubiri atakayepita kesho atajuta
Sisi wa Argentina tupo tunanoa upanga kwa ajili ya kumsubiri yoyote tumnyoeKesho au leo ni France....
Back to back champion...
Tunaendelea kuwa nje ya mada...Sisi wa Argentina tupo tunanoa upanga kwa ajili ya kumsubiri yoyote tumnyoe
yaani gc ndio mwanzilishi wa mateso yote☹️Yeah..! Tatizo ni yule mkaka dada!
Amefanya tupewe episode tatu tu week nzimayaani gc ndio mwanzilishi wa mateso yote☹️
Yaani...Amefanya tupewe episode tatu tu week nzima
sindio mpuuz kwelAmefanya tupewe episode tatu tu week nzima
Nilifatilia mkuu aseeh ni kisanga huyu bafana anaenda kuua mtuAnother week... It’s getting hot at Uzalo..
Jana nimemiss, na leo sitoangalia! Nasubiria J’mosi, marudio... Ila wiki hii mambo ni moto!Nilifatilia mkuu aseeh ni kisanga huyu bafana anaenda kuua mtu