konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,696
- 8,763
Asante boss.Hii story waweza ipata kwenye hii kitabu. Maana hawa watu wanatuchosha na itaendelea halafu bdye wanaoshia njianiView attachment 1769342
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante boss.Hii story waweza ipata kwenye hii kitabu. Maana hawa watu wanatuchosha na itaendelea halafu bdye wanaoshia njianiView attachment 1769342
Duh JF ndio maana nilishaapa kuwa sihami. 😂😂😂Post ya mdau hapo, story ni copy paste.
Duh JF ndio maana nilishaapa kuwa sihami. 😂😂😂
Kanji Lalji yupo kama kawa mseeKanjiranji trans
Daah wayback huyu muhindi sijui bado yupo mpaka leo na biashara yake ya malori
🏃🚶🏃
Sasa umejuaje kuwa kitabu siyo cha mleta story?Kwani kama tayari nina kitabu cha stori yangu halafu nikaamua kuleta hiyo stori hapa JF ni dhambi?Umemuona mdau hapo juu ameweka link ya hicho kitabu chenye hiyo stori?
Pamoja mkuu japo story yenyewe inaonyesha kama ya kutunga pia inakosa uhalisia baadhi ya maeneoAsante boss.
Kabisa, pale kwenye ajali polisi wote wakafa halafu wao wakatoka salama tayari nikaona hapa hakuna kitu, nikakosa na interest ya kuendelea kusoma. Mwamba alipotoa link ya kitabu sikutataka hata kuendelea kusoma.Pamoja mkuu japo story yenyewe inaonyesha kama ya kutunga pia inakosa uhalisia baadhi ya maeneo
🤣🤣🤣 sawa bhana. Tuendelee kusoma kitabu.Sasa umejuaje kuwa kitabu siyo cha mleta story?Kwani kama tayari nina kitabu cha stori yangu halafu nikaamua kuleta hiyo stori hapa JF ni dhambi?
Bro ona aibu basSehemu ya 3.
Majira ya saa sita mchana ilifika ‘defender’ ya polisi ikiwa na polisi 7 wa kikosi maalumu cha kupambana na uhalifu, walikuwa wamevaa kivita wakiwa na sura zilizo sheheni hasira na silaha nzito nzito. Baada
ya kuwasili walienda moja kwa moja hadi kwenye ofisi kuu kwa ajili ya mak- abidhiano baada ya hilo zoezi kukamilika tulitolewa sehemu tuliyokuwa tume- fungiwa tukapigwa pingu na kisha kuingizwa kwenye gari, askari walionekana kuwa na tahadhari kubwa dhidi yetu utadhani wanasafirisha magaidi.
Haraka sana safari ya kuanza kurejeswa makao makuu ya wilaya sehemu am- bayo tulitoroka baada ya kisa cha yule askari kumwagiwa kinyesi na bwana Rodrik Chanda. Ilikuwa kama sinema na pia ilikuwa siku ngumu sana kwangu, wakati wote wa safari yetu gari ilikuwa inakimbia sana, ndipo baada ya Kama saa moja hivi tangu tuianze safari na tukiwa kwenye mwendo mkali Sana nili- sikia mlio mkubwa wa kitu kupasuka puuuu mlio huo uliambatana na kishindo cha hali ya juu sana, kisha sikujua kilichoendelea tena lakini baada ya sekunde kadhaa hivi niliona vumbi jingi sana na damu nyingi pembeni yangu, kuhama- ki nikagundua tumepata ajali mbaya.
Baada ya sekunde chache tena niliona Rodrik Chanda yule mhalifu na yule Mganda bwana Kiteba wanainuka wakiniuliza are you okay, nikasema my be. Chanda akasema ‘lets Go.’ Baada ya kuona hakuna askari anaeinuka wala ku- tikisika tulianza kuondoka.
Tulipotembea kama hatua kumi hivi bwana Rodrik Chanda alirudi tena kwenye gari na kuchukua silaha, ambazo ilikua ni bunduki aina ya SMG nne akasema twendeni hizi zina kazi huko mbele ya safari. Askari wote Saba waliokuwa kwenye ile Gari walifariki pale pale ilikuwa ajali mbaya ambayo ni vigumu kuielezea na hata sisi kupona ni mapenzi ya Mungu tu, sisi tulipona kwenye ajili hiyo bila hata mkwaruzo ilikuwa ni kama muujiza tu, na kwa kweli hilo tukio likanifanya nianze kuwa Sugu kiasi fulani.
Thomas Simkanga | 11
Tulipotembea mwendo wa saa moja pori kwa pori tangu tutoke pale kwenye ajali tulifika sehemu na gafla tu bila ya kutegemea, bwana Rodriki Chanda akatwambia simameni. Tukasimama akasema leta silaha hapa zile tulizo msaidia kubeba, akasema jamani ninyi mnanitia mkosi mtaacha nikamatwe kwa hivyo kila mtu ajue zake, tukamuomba sana asituache lakini akatutisha na bunduki, basi tukamwambia nenda tu mkuu. Baada ya kubaki Mimi na Kiteba kwa kiasi tuliona mambo sasa yamekuwa magumu sana kutokana na ugeni wetu kwenye lile pori na nchi ya watu kwa ujumla. Lakini kwa upande mwingine tuliona ni afadhali tumejitenga na jambazi sugu tukajisemea bila shaka matatizo yatapungua.
Tulianza tu kutembea kwenda mbele huku tukiwa hatujui tunakoelekea, Zam- bia bado ina misitu mingi sana ya asili mizito kwa hivyo ilikuwa ni vigumu sana kujua tunakoelekea, lakini bada ya mwendo wa kama saa moja hivi tuli- tokezea barabarani, tena barabara kuu iendayo Lusaka.
Mbele kidogo tuliona Gari aina ya Lori imepaki imeharibika watu wanaten- geneza, nilipata faraja baada ya kuona lile gari likiwa na namba ‘plate’ za Tan- zania. Tukalisogelea lile gari, na baada ya kufika pale nikaongea Kiswahili na wale jamaa wakaitikia vizuri. Jamaa wakaniuliza umefikaje hapo, nikawaeleza, na baada ya maelezo yangu mmoja akaingia ndani ya gari akatoka na gazeti moja la nchini Zambia linalotoka alasiri, juu kabisa likiwa limeandikwa polisi saba wafa kwa ajali wakiwa wanawasafirisha majambazi sugu.
Gazeti liliandikwa kwamba majambazi hao waliwaua askari waliokuwa wame- jeruhiwa kwa kuwamalizia na kisha kutoweka na silaha nne za kivita. Chini kulikuwa na picha zetu ambazo tulipiga siku ya kwanza wakati tupo pale kituo cha polisi siku ya kwanza tulipokamatwa.
Yule dereva wa lile lori alisema bwana mdogo najua inawezekana hujayatenda haya lakini sijui kama utatoka salama kwenye hii nchi, kwa kweli niliiona ha- tari iliyokuwa mbele yangu kuwa ni kubwa sana. Kwa kuwa tulikuwa hatujala muda mrefu, wale jamaa walitupa mkate na maji, wakatwambia kwamba wa- natarajia gari yao itapona usiku, na hivyo watatubeba nyuma ya Lori lao hadi Lusaka, na baada ya hapo tutajua wenyewe tufanyaje.
Saa sita usiku tulianza safari ya kutoka pale nahisi itakuwa ilikuwa ni karibu na maeneo ya mji wa Mpika kuelekea Lusaka. Hatukupata tatizo lolote njiani hadi Lusaka ambapo tulifika pale majira ya saa kumina mbili asubuhi, tukaachana
Thomas Simkanga | 12
na wale jamaa wa Lori. Kwa hivyo nilikuwa nimetumia siku sita kutoka Tun- duma hadi Lusaka safari ambayo ningeweza kutumia siku moja tu. Pia ilikuwa ni safari ambayo ilikuwa imeambatana na majanga na mikasa mingi sana na kibaya zaidi nilikuwa tayari nimeanza kutafutwa na polisi nikiwa naonekana hadi kwenye kurasa za mbele za magazeti.
Kwa hivyo kilichofuata hapo Lusaka ni kutafuta maeneo ya maficho na kuanza kujipanga kwa safari ya kuanza kuitafuta Harare Zimbabwe, kumbuka pamoja na majanga yote hayo sikuwa na wazo hata kidogo la kurejea nyuma nilikoto- ka yaani Tanzania.
Baada ya kukaa siku kama sita hivi siku ya saba tukapata Gazeti moja hivi liki- wa na habari kwamba yule jambazi tuliechana nae kule mstuni Rodrick Chan- da, ameuawa na polisi kwa kupingwa risasi wakati wanafanya majibizano ya Risasi na kikosi maalumu cha kupambana na majambazi, taarifa hiyo ilisema polisi wamejiridhisha kwamba wale wengine yaani mimi na yule Mganda ha- wakuwa majambazi isipokuwa walijikuta kwenye mtego baada ya kukamatwa pamoja na marehemu. Hata hivyo polisi itahakikisha inawatafuta, kuwakama- ta na kuwakomesha ili iwe fundisho kwa watu wanaoshirikiana na majambazi na wanaoingia nchini bila taratibu zilizowekwa kwa mjibu wa sheria.
Baada ya kusoma hilo tangazo tulipata moyo kwamba walau kosa letu sio la ujambazi sungu wala mauaji, tulikuwa tumejificha kwenye kitongoji cha John Lenge Compaund, wakati wote huo. Tulipoona kama kuna watu wanatufuatilia tukahamia kitongoji cha Kamwala vitongoji vyote hivi jijini Lusaka wanaishi watu wa kipato cha chini na vina watu wengi sana.
Tukiwa kamwala siku kama ya saba tangu tufike pale eneo letu lilivamiwa na polisi, kwa bahati nzuri mimi nilikuwa bafuni naoga niliposikia zile pu- rukushani nikaruka ukuta taratibu bila kishindo nikakimbia na sabuni zangu, hadi kwa dada mmoja hivi ambae yeye alikuwa ni Mmalawi ambae aliwahi kuishi Mbeya, aliitwa Anne, akanificha chumbani kwake, sikuwa na wasiwasi sana kwa sababu yule Mganda sikuwahi kufika nae pale. Mganda akawa ame- kamatwa Mimi nikaserve lakini nikajua nafuatiliwa sana na polisi, nikakaka pale kwa yule dada kwa wasiwasi sana kwa muda wa siku nne, nikaona hap- ana hapa polisi wanaweza kurudi nikamtuma yule dada kule tulikokuwa tuna kaa mwanzo akaenda kunichukulia kibegi changu ambacho nahisi polisi ita- kuwa walikiacha kama chambo. Nilipo pata kile kibegi usiku ule ule nika Hama
Thomas Simkanga | 13
kwenda Linda Compaundi, Kwa rafiki yake na Anne mdada mwingine alieitwa Muwanga.
Nikakaa pale kwenye room moja, tunalala kama vile mume na mke lakini hatukuwa na hayo mahusiano, kwa hivyo tulikuwa tunalala tu, nakumbuka siku moja lilikuja danga lake ikabidi niwapishe nikae nje kwa masaa mengi tu, walipomaliza mambo yao nikarudi kulala palepale kitandani “kuna wakati maisha huhama kabisa kwenye utaratibu wa kawaida, na huwezi kugundua kuwa yamehama”.
Baada ya siku tano tangu nitoke kule kwa yule dada Anne maeneo ya Kawabwa, siku ya juma pili kukiwa na utulivu wa kutosha kabisa askari walifika kwa dada Anne na kumkamata kwa sababu walidai kwamba wamepata taarifa kwamba yeye ndie aliekwenda kuchukua lile Begi langu la nguo. Baada ya kukamatwa kutishwa na kupata kipigo kidogo alikiri madai hayo na pia akakubali kuwa- onesha sehemu niliyokuwa nimejificha.
Siku hiyo hiyo jioni polisi waliongozana nae kutoka Kawabwa compound kuja eneo la Linda compound sehemu ambapo nilikuwa, aliwaongoza moja kwa moja hadi kwenye nyumba ndogo yenye muonekano kama kibanda hivi pem- beni ya nyumba nyingine, tulikuwa ndani na dada Muwanga, bahati nzuri tu- likuwa tumefunga Mlango.
Kwa hivyo Polisi walipofika kwenye hiyo nyumba ilibidi wagonge mlango, ku- tokana na namna mlango ulivyogongwa kwa nguvu nikamwambia yule dada asiufungue. Nikaenda kwenye kiupenyo kidogo pembeni ya mlango, nilipo- chungulia nikaona Askari watatu mmoja akiwa na silaha bunduki aina SMG. Pembeni kidogo nikamuona dada Anne nikajua tayari hapa nimeshasalitiwa na mlengwa ni mimi. Nikarudi ndani, akili ikazunguka haraka, moyoni nikase- ma siwezi kukamatwa kirahisi na kizembe namna ile, wakati nawaza hivyo nje ikasikika sauti ya askari akisema fungua mara moja usipofanya hivyo tunavunja.
Hii story waweza ipata kwenye hii kitabu. Maana hawa watu wanatuchosha na itaendelea halafu bdye wanaoshia njianiView attachment 1769342
Uzi kama huu huwa sijishughulishi kusoma
Naenda mpaka mwisho nikikuta itaendelea naachana nao
Refer Kanya na yule mwingine khumbu sijui mpaka uwabembelze
Ifike mahali tuachane na huu ujinga kwa nini msifanye kama Bujibuji au kuna mdau mwingine aliteswa na polisi wa south uzi wake wote umenyooka mwanzo mpaka mwisho hakuna itaendelea.
Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app
Umemuona mdau hapo juu ameweka link ya hicho kitabu chenye hiyo stori?
Kabisa, pale kwenye ajali polisi wote wakafa halafu wao wakatoka salama tayari nikaona hapa hakuna kitu, nikakosa na interest ya kuendelea kusoma. Mwamba alipotoa link ya kitabu sikutataka hata kuendelea kusoma.
👐🙌🙌🙌Hii story waweza ipata kwenye hii kitabu. Maana hawa watu wanatuchosha na itaendelea halafu bdye wanaoshia njianiView attachment 1769342
1. Kwenye Gari hamkupigwa pingu wakati mnasafirishwa?Sehemu ya 3.
Majira ya saa sita mchana ilifika ‘defender’ ya polisi ikiwa na polisi 7 wa kikosi maalumu cha kupambana na uhalifu, walikuwa wamevaa kivita wakiwa na sura zilizo sheheni hasira na silaha nzito nzito. Baada
ya kuwasili walienda moja kwa moja hadi kwenye ofisi kuu kwa ajili ya mak- abidhiano baada ya hilo zoezi kukamilika tulitolewa sehemu tuliyokuwa tume- fungiwa tukapigwa pingu na kisha kuingizwa kwenye gari, askari walionekana kuwa na tahadhari kubwa dhidi yetu utadhani wanasafirisha magaidi.
Haraka sana safari ya kuanza kurejeswa makao makuu ya wilaya sehemu am- bayo tulitoroka baada ya kisa cha yule askari kumwagiwa kinyesi na bwana Rodrik Chanda. Ilikuwa kama sinema na pia ilikuwa siku ngumu sana kwangu, wakati wote wa safari yetu gari ilikuwa inakimbia sana, ndipo baada ya Kama saa moja hivi tangu tuianze safari na tukiwa kwenye mwendo mkali Sana nili- sikia mlio mkubwa wa kitu kupasuka puuuu mlio huo uliambatana na kishindo cha hali ya juu sana, kisha sikujua kilichoendelea tena lakini baada ya sekunde kadhaa hivi niliona vumbi jingi sana na damu nyingi pembeni yangu, kuhama- ki nikagundua tumepata ajali mbaya.
Baada ya sekunde chache tena niliona Rodrik Chanda yule mhalifu na yule Mganda bwana Kiteba wanainuka wakiniuliza are you okay, nikasema my be. Chanda akasema ‘lets Go.’ Baada ya kuona hakuna askari anaeinuka wala ku- tikisika tulianza kuondoka.
Tulipotembea kama hatua kumi hivi bwana Rodrik Chanda alirudi tena kwenye gari na kuchukua silaha, ambazo ilikua ni bunduki aina ya SMG nne akasema twendeni hizi zina kazi huko mbele ya safari. Askari wote Saba waliokuwa kwenye ile Gari walifariki pale pale ilikuwa ajali mbaya ambayo ni vigumu kuielezea na hata sisi kupona ni mapenzi ya Mungu tu, sisi tulipona kwenye ajili hiyo bila hata mkwaruzo ilikuwa ni kama muujiza tu, na kwa kweli hilo tukio likanifanya nianze kuwa Sugu kiasi fulani.
Thomas Simkanga | 11
Tulipotembea mwendo wa saa moja pori kwa pori tangu tutoke pale kwenye ajali tulifika sehemu na gafla tu bila ya kutegemea, bwana Rodriki Chanda akatwambia simameni. Tukasimama akasema leta silaha hapa zile tulizo msaidia kubeba, akasema jamani ninyi mnanitia mkosi mtaacha nikamatwe kwa hivyo kila mtu ajue zake, tukamuomba sana asituache lakini akatutisha na bunduki, basi tukamwambia nenda tu mkuu. Baada ya kubaki Mimi na Kiteba kwa kiasi tuliona mambo sasa yamekuwa magumu sana kutokana na ugeni wetu kwenye lile pori na nchi ya watu kwa ujumla. Lakini kwa upande mwingine tuliona ni afadhali tumejitenga na jambazi sugu tukajisemea bila shaka matatizo yatapungua.
Tulianza tu kutembea kwenda mbele huku tukiwa hatujui tunakoelekea, Zam- bia bado ina misitu mingi sana ya asili mizito kwa hivyo ilikuwa ni vigumu sana kujua tunakoelekea, lakini bada ya mwendo wa kama saa moja hivi tuli- tokezea barabarani, tena barabara kuu iendayo Lusaka.
Mbele kidogo tuliona Gari aina ya Lori imepaki imeharibika watu wanaten- geneza, nilipata faraja baada ya kuona lile gari likiwa na namba ‘plate’ za Tan- zania. Tukalisogelea lile gari, na baada ya kufika pale nikaongea Kiswahili na wale jamaa wakaitikia vizuri. Jamaa wakaniuliza umefikaje hapo, nikawaeleza, na baada ya maelezo yangu mmoja akaingia ndani ya gari akatoka na gazeti moja la nchini Zambia linalotoka alasiri, juu kabisa likiwa limeandikwa polisi saba wafa kwa ajali wakiwa wanawasafirisha majambazi sugu.
Gazeti liliandikwa kwamba majambazi hao waliwaua askari waliokuwa wame- jeruhiwa kwa kuwamalizia na kisha kutoweka na silaha nne za kivita. Chini kulikuwa na picha zetu ambazo tulipiga siku ya kwanza wakati tupo pale kituo cha polisi siku ya kwanza tulipokamatwa.
Yule dereva wa lile lori alisema bwana mdogo najua inawezekana hujayatenda haya lakini sijui kama utatoka salama kwenye hii nchi, kwa kweli niliiona ha- tari iliyokuwa mbele yangu kuwa ni kubwa sana. Kwa kuwa tulikuwa hatujala muda mrefu, wale jamaa walitupa mkate na maji, wakatwambia kwamba wa- natarajia gari yao itapona usiku, na hivyo watatubeba nyuma ya Lori lao hadi Lusaka, na baada ya hapo tutajua wenyewe tufanyaje.
Saa sita usiku tulianza safari ya kutoka pale nahisi itakuwa ilikuwa ni karibu na maeneo ya mji wa Mpika kuelekea Lusaka. Hatukupata tatizo lolote njiani hadi Lusaka ambapo tulifika pale majira ya saa kumina mbili asubuhi, tukaachana
Thomas Simkanga | 12
na wale jamaa wa Lori. Kwa hivyo nilikuwa nimetumia siku sita kutoka Tun- duma hadi Lusaka safari ambayo ningeweza kutumia siku moja tu. Pia ilikuwa ni safari ambayo ilikuwa imeambatana na majanga na mikasa mingi sana na kibaya zaidi nilikuwa tayari nimeanza kutafutwa na polisi nikiwa naonekana hadi kwenye kurasa za mbele za magazeti.
Kwa hivyo kilichofuata hapo Lusaka ni kutafuta maeneo ya maficho na kuanza kujipanga kwa safari ya kuanza kuitafuta Harare Zimbabwe, kumbuka pamoja na majanga yote hayo sikuwa na wazo hata kidogo la kurejea nyuma nilikoto- ka yaani Tanzania.
Baada ya kukaa siku kama sita hivi siku ya saba tukapata Gazeti moja hivi liki- wa na habari kwamba yule jambazi tuliechana nae kule mstuni Rodrick Chan- da, ameuawa na polisi kwa kupingwa risasi wakati wanafanya majibizano ya Risasi na kikosi maalumu cha kupambana na majambazi, taarifa hiyo ilisema polisi wamejiridhisha kwamba wale wengine yaani mimi na yule Mganda ha- wakuwa majambazi isipokuwa walijikuta kwenye mtego baada ya kukamatwa pamoja na marehemu. Hata hivyo polisi itahakikisha inawatafuta, kuwakama- ta na kuwakomesha ili iwe fundisho kwa watu wanaoshirikiana na majambazi na wanaoingia nchini bila taratibu zilizowekwa kwa mjibu wa sheria.
Baada ya kusoma hilo tangazo tulipata moyo kwamba walau kosa letu sio la ujambazi sungu wala mauaji, tulikuwa tumejificha kwenye kitongoji cha John Lenge Compaund, wakati wote huo. Tulipoona kama kuna watu wanatufuatilia tukahamia kitongoji cha Kamwala vitongoji vyote hivi jijini Lusaka wanaishi watu wa kipato cha chini na vina watu wengi sana.
Tukiwa kamwala siku kama ya saba tangu tufike pale eneo letu lilivamiwa na polisi, kwa bahati nzuri mimi nilikuwa bafuni naoga niliposikia zile pu- rukushani nikaruka ukuta taratibu bila kishindo nikakimbia na sabuni zangu, hadi kwa dada mmoja hivi ambae yeye alikuwa ni Mmalawi ambae aliwahi kuishi Mbeya, aliitwa Anne, akanificha chumbani kwake, sikuwa na wasiwasi sana kwa sababu yule Mganda sikuwahi kufika nae pale. Mganda akawa ame- kamatwa Mimi nikaserve lakini nikajua nafuatiliwa sana na polisi, nikakaka pale kwa yule dada kwa wasiwasi sana kwa muda wa siku nne, nikaona hap- ana hapa polisi wanaweza kurudi nikamtuma yule dada kule tulikokuwa tuna kaa mwanzo akaenda kunichukulia kibegi changu ambacho nahisi polisi ita- kuwa walikiacha kama chambo. Nilipo pata kile kibegi usiku ule ule nika Hama
Thomas Simkanga | 13
kwenda Linda Compaundi, Kwa rafiki yake na Anne mdada mwingine alieitwa Muwanga.
Nikakaa pale kwenye room moja, tunalala kama vile mume na mke lakini hatukuwa na hayo mahusiano, kwa hivyo tulikuwa tunalala tu, nakumbuka siku moja lilikuja danga lake ikabidi niwapishe nikae nje kwa masaa mengi tu, walipomaliza mambo yao nikarudi kulala palepale kitandani “kuna wakati maisha huhama kabisa kwenye utaratibu wa kawaida, na huwezi kugundua kuwa yamehama”.
Baada ya siku tano tangu nitoke kule kwa yule dada Anne maeneo ya Kawabwa, siku ya juma pili kukiwa na utulivu wa kutosha kabisa askari walifika kwa dada Anne na kumkamata kwa sababu walidai kwamba wamepata taarifa kwamba yeye ndie aliekwenda kuchukua lile Begi langu la nguo. Baada ya kukamatwa kutishwa na kupata kipigo kidogo alikiri madai hayo na pia akakubali kuwa- onesha sehemu niliyokuwa nimejificha.
Siku hiyo hiyo jioni polisi waliongozana nae kutoka Kawabwa compound kuja eneo la Linda compound sehemu ambapo nilikuwa, aliwaongoza moja kwa moja hadi kwenye nyumba ndogo yenye muonekano kama kibanda hivi pem- beni ya nyumba nyingine, tulikuwa ndani na dada Muwanga, bahati nzuri tu- likuwa tumefunga Mlango.
Kwa hivyo Polisi walipofika kwenye hiyo nyumba ilibidi wagonge mlango, ku- tokana na namna mlango ulivyogongwa kwa nguvu nikamwambia yule dada asiufungue. Nikaenda kwenye kiupenyo kidogo pembeni ya mlango, nilipo- chungulia nikaona Askari watatu mmoja akiwa na silaha bunduki aina SMG. Pembeni kidogo nikamuona dada Anne nikajua tayari hapa nimeshasalitiwa na mlengwa ni mimi. Nikarudi ndani, akili ikazunguka haraka, moyoni nikase- ma siwezi kukamatwa kirahisi na kizembe namna ile, wakati nawaza hivyo nje ikasikika sauti ya askari akisema fungua mara moja usipofanya hivyo tunavunja.
Story ya kutunga hii, huu ni ungese mkubwa sana,Umemuona mdau hapo juu ameweka link ya hicho kitabu chenye hiyo stori?