Uzamiaji Afrika Kusini: Mikasa katika harakati za kuzamia Afrika Kusini kwa njia za panya

Uzamiaji Afrika Kusini: Mikasa katika harakati za kuzamia Afrika Kusini kwa njia za panya

SAFARI YA KUZAMIA AFRIKA YA KUSINI KWA NJIA ZA PANYA.

Sehemu ya sita.

Tukaendelea
kushambulia kwa nguvu huku tukiwa na matumaini kwamba labda wenzetu
watarudi, tukapambana kama dk 15 hivi huku tukiwa tumefika ziwani kabisa yule mwenzangu akachukua risasi za kifuani akafa. Sasa nikabaki mwenyewe mashambulizi yote yakaelekezwa kwangu. Nilipoona hali inazidi kuwa mbaya na jamaa
wamesogea sana, nikajitosa ziwani na kuanza kutokomea ndani.

Baada ya kujitosa ziwani nilizama chini kabisa hadi kwenye mchanga wa ziwa Tanganyika katika kina kirefu kabisa, nikiwa kule chini mashambulizi yaliendelea risasi ziliendelea kupigwa ndio mana nilizama hadi chini kabisa, yale mafunzo niliyoyapata kule
Kongo yalinisaidia sana katika mkasa huu.
Baada ya muda wa kama dakika moja hivi waliacha kunishambulia walikuwa wanasubiri ama niibuke nikiwa nimekufa au mzima. Walijua kwa vovyote nitaibuka tu kwani binadamu hana uwezo wa kukaa ndani ya maji kwa muda mrefu. Walikuwa wamejidanganya wakati huo nilikuwa na uwezo wa kukaa ndani ya maji kwenye kina nikiwa nimezama kati ya dakika 10 hivi bila shida yoyote.
Wakati wanasubiri niibuke, niliendelea kupiga mbizi kutokomea ndani ya ziwa zaidi. Nilipofika umbali wa mita 500, niliibuka nikawaona kwa mbali wameelekeza mitutu ya silaha/bunduki zao ziwani. Kutokana na umbali niliokuwa
hawakuweza kuniona, mbele yangu kulikuwa na kisiwa ambacho huitwa Mada Kelenge nikaanza kukitafuta taratibu huku nikiwa naogele kwa tahadhari.

Wakati wote huo zile pesa tulizopola na wenzangu nilikuwa nimezifunga
kwenye mfuko wa Rambo na kisha kuzifunga kiunoni zilikuwa salama kabisa mahali hapo. Niliendelea kukisogelea kisiwa taratibu, wakati nakaribia kile kisiwa niliona boti ya kijeshi inakuja upande wangu nikajua kazi bado haijakwisha, walikuwa wanajeshi. Kwa hivyo ndio wakaanza kuniandama kwa kuwa nilijua natetea maisha yangu. Kwa mara nyingine huku nikiwa najua kwa kuwa wanajua nina silaha wakinikuta hawatahitaji kunikamata nikiwa hai, nitapigwa risasi nibaki mzoga wa samaki.

Nikaapa kuwa nitayatetea maisha yangu kwa hali na mali kwa hivyo niligeuka
nikaanza kuogelea huku nimelala chali, niliendelea kwenda mbele bahati nzuri wakawa wamepita pembeni yangu nilihisi itakuwa walikuwa hawajaniona lakini pia hawakutegeme kama mtu wa kawaida anaweza kuogelea umbali ule. Wale askari walienda moja kwa moja hadi kisiwani upande ambao ilikuwa
ndio wa kuingilia. Kwa hivyo nikajua kama na mimi nitaelekea huo usawa nitakamatwa au nitauawawa, kwa hivyo nilichokifanya nikakizunguka kisiwa hadi upande wa pili, nikafika kwenye ufukwe wa kisiwa nikatoka majini nikakutana
na pori kubwa sana nikatembea kama mita 70 hivi nikakaa sehemu juu ya jiwe nikapumzika pale kama masaa 2.

Baada ya kupumzika nikakata shauri nisiendelee kukaa pale kwa sababu wanaweza kuzunguka upande wapili wa kisiwa, pia nikaona nikienda kisiwani
sehemu ya watu, kwa vyovyote vile itakuwa serikali ya kijiji imesha julishwa kuhusiana na mimi. Kwa hivyo nikaamua kurejea ziwani nikiwa naelekea katika kisiwa cha jirani ambacho kinaitwa Manda Udwire, nilipoogelea umbali wa
kama km 2 hivi nikaona mtubwi ukiwa na watu wawili unakuja upande wangu. Nikatupa bunduki majini ili wakifika wasione kama mimi ni mtu mbaya. Baada
ya muda wale jamaa wakafika walikuwa vijana wadogo, wakanibeba wakaniuliza nakwenda wapi, nikawambia wanipeleke kijiji cha Kipili sehemu ambayo
Meli ya MV Liemba huwa inasimama kuna bandari ndogo pale, ambayo hutumika kupakia watu na mizigo.

Vijana walinipeleka hadi sehemu niliyokuwa na-
taka kupelekwa wakanishushia pembeni kidogo na kijiji, nikawapa Tsh 10,000
wakanishukuru wakaondoka wakaendelea na safari yao ambayo ilikuwa ni
kwenda kijiji cha Karungu. Kwa kuwa hawakuwa wakazi wa kijiji cha Kipili sikupata wasi wasi wa kunichoma kwa hivyo nikatembea hadi porini. Njaa ilikuwa imeuma Sana kwani
hadi muda huo nilikuwa na zaidi ya masaa 24 bila kula kitu chochote na nikiwa nimepitia suruba za kutisha majini nan chi kavu. Sikutaka kuingia kijijini mchana na kwa bahati pia Meli ya MV Liemba ilikuwa inapita siku hiyo hiyo majira ya saa nne usiku.

Sikuwa na uhakika kama kwa muda huo naweza kufuatiliwa na askari polisi, nikahisi bila shaka watakuwa wanadhani waliniua pale wakati wananiminia risasi. Kwa hivyo nikakaa pale porini hadi majira ya saa moja jioni kisha nikaanza kutembea kuelekea kijijini. Nikafika sehemu ya kupandia meli majira ya saa mbili usiku ikiwa kumebaki masaa mawili tu meli ifike. Muda ulipofika, Meli ikawa imefika na kwa kweli sikupata kizuizi chochote nikapanda Meli na hata
nilipofika ndani ya Meli askari wa kule ndani hawakuwa na habali wala dalili za kunifuatilia ilikuwa ni safari salama sana. Hivyo ndivyo nilivyopona kikakamavu kabisa kutoka katika mikono ya askari
wa jeshi, pia ndivyo nilivyojikuta nimeachana na wale maharamia wa Kongo ambao walikuwa wamenifanya muharifu wa kimataifa katika nchi kavu na majini. Hadi naachana nao nilikuwa naweza kutumia silaha za kivita kama mwanajeshi aliefunzwa vizuri. Kwa hivyo kwa kiasi fulani hawa kuniacha vibaya sana kwani waliniachia ujuzi japo ni ujuzi ambao jamii inaupiga vita, nilikuwa nimetoka kuwa mvuvi na kuwa komandoo wa kivita katika uwanja wa
kimapigano, bahati nyingine huja wakati huihitaji hiyo bahati.
Baada ya safari ya masaa mengi sana ya kutosha, hatimae tulifika katika mji wa Mpurungu. Kutokana na uzoefu wangu wa kwenye mipaka baada ya meli
kutia nanga ili kukwepa masuala ya uhamiaji kama passport na mengineyo nilitumia ujanja wangu nikavuka vizuizi na nikafanikiwa kuingia ndani ya mji
wa Mpulungu nchini Zambia bila tabu yoyote.

Mpango wangu ulikuwa umeiva; nilikuwa nimeamua kwa dhati ya moyo wangu kuianza safari ya kwenda afrika ya kusini kwa mara nyingine lakini, safari
hii kwa njia ya kutokea ziwa Tanganyika njia mbayo niliwahi kushauliwa na
rafiki yangu wa sumbawanga ndugu Edward Mizimu wakati ule naianza safari
ya kwanza. Tofauti na safari ya kipindi kile ni kwamba Walau safari hii nilikuwa na pesa
zaidi ya million 12, kwa kuwa nilishawahi kuwa na mamilioni yale yaliyopukutika kimaajabu kwa hivyo pesa nilikuwa na uzoefu nazo. Ili kuepuka kuwa na
mabunda makubwa nikachenji pesa zangu zote kuwa Dollar za marekani. Pia
nilichenji kwacha kiasi kwa ajiri ya matumizi nikiwa katika nchi ya Zambia. Nilikaa pale Mpulungu kwa siku nne lengo ikiwa ni kupata mapumziko ya
kutosha baada ya kukikwepa kifo na tabu nyingi. Siku ya nne nilisafiri hadi mji
wa Kasama sehemu ambayo ni mji mkuu wa jimbo la kaskazini nchini Zambia.

Nikakaa siku moja kesho yake usiku wa saa mbili nikapanda Treni ya TAZARA kuelekea Kapiri Mposhi, safari hii nilikuwa nimeamua kutumia njia ya Treni ili
kupunguza vikwazo vya polisi. Nilifika Kapiri mposhi kesho yake mchana kwa kuwa mji huo haupo mbali sana na Mkushi sehemu ambayo kulikuwa na jarada langu la uhalifu niliondoka kwenye huo mji usiku ule ule sikupata kikwazo chochote hadi pale. Safari hii nilikuwa na kibali cha kusafiri ndani ya Zambia ambacho nilikipata pale Mpurungu baada ya kutoa pesa kidogo kwa maafisa wa uhamiaji.

Kwa hivyo nilisafiri siku hiyo hiyo hadi Lusaka na kutokana na kutokuwa na historia nzuri na mji wa Lusaka niliamua kuondoka usiku huo huo kutoka mji wa Lusaka kwa gari ya kukodi hadi Livingstone mji ambao upo karibu kabisa
na boda ya Zimbabwe na Zambia. Baada ya kufika pale nikapumzika Kama siku mbili huku nasoma ramani ya namna ya kusogelea boda. Siku ya tatu nilifanya safari fupi hadi katika mji wa
Chirundu sehemu ambapo ndipo ilipo boda ya Zambia na Zimbabwe. Nikavuka boda kwa njia ya miguu hadi upande wa Zimbabwe, nilifanya hivyo ili nipandie gari upande wa kule kwa sababu Zimbabwe na Zambia hazitofautiani
sana kwenye masuala ya uhamiaji wanakuwa wagumu sana ukilinganisha na
Tanzania

Baada ya kuvuka boda nilipanda mabasi ya kuelekea Halale Zimbabwe. Kama kawaida yangu kuanzia hapo sikuwa na passport wala nyaraka
yoyote ya kuharalisha safari yangu. Safari ilikuwa haina vikwazo vyovyote hadi hatua hiyo. Hata hivyo baada ya kusafiri umbali wa zaidi ya KM 350 hivi, changamoto za safari zilianza. Nakumbuka tulipata bleck down ya gari ambapo sehemu ya injini ilipata hitirafu ambayo ilibidi tushindwe kuendelea na safari tulikaa pale kama DK 20
hivi. Ikaja gari moja kali V8, ikasimama kwa lengo la kutusaidia. Watu walio kuwa kwenye hiyo gari waliposhuka niliwafahamu bila wasiwasi kuwa ni wale
jamaa tuliokamatwa nao kwenye issue ya madawa ya kulevya kule Malawi na wao pia walinitambua vizuri kabisa. Wakashuka wakiwa kama na furaha hivi ya kufahamiana na mimi, japo kwa kweli ni furaha ya mashaka.
Tulisalimiana na kisha mmoja akaja kuongea na mimi na wengine wakawa wanaongea na abiria wengine, aliekuwa anaongea na mimi ni mkuu wao, alikuwa
amenitoa pembeni kidogo,baada ya mazungumuzo kadhaa aliniambia inabidi
niondoke nao, kwani bosi wao bado ananihitaji sana kwenye shughuli zake.

Akasema tunakwenda Halale kuna mzigo wanaufuata kisha tutarejea Chikankata Mission kwenye maskani yao. Kwa kuwa na mimi shida yangu ilikuwa nikufika Harare na nilikuwa najiamini
sana kutokana na yale mafunzo ya kule Kongo Mashariki nikakubali nikiwa nimepanga kwamba tukifika Harare nitawatoroka. Safari ikaanza kuelekea Harare kulikuwa na faida ya kupanda gari yao kwa sababu hakukuwa na urahisi wa kusumbuliwa na migration wala polisi njiani kutokana na mtandao wao na
hadhi ta Gari yenyewe ambayo sio rahisi sana kusimamishwa na askali wa doria wala wa barabarani.Tuliendelea na safari salama hadi tukafika Halale ambapo ilibidi tulale ili
kupokea mzigo kesho yake asubuhi ambao ulikuwa unasafirishwa kutoka Darban Afrika ya Kusini. Tulifikia kwenye hotel nzuri ya Nyota tano na kila mtu
alikuwa na chumba chake. Kwa kuwa nilijua kuwa asubuhi itabidi tuondoke usiku ule ule nilianza mikakati ya kutoroka kwenye ile hotel, haikuwa rahisi
kutokana na wale jamaa zangu kuniwekea ulinzi wa siri, hawa jamaa bado walikuwa hawaniamini sana kwa hivyo waliongea na walinzi wa ile hotel wahakikishe sitoki nikiwa peke yangu.

Kwa bahati nzuri kulingana na uzoefu wangu ambao nilikuwa nimeupata wa
kimafia nilikuwa najua kinachoendelea. Kwa hiyo, baada ya chakula cha usiku nikawaaga wale jamaa kuwa naenda kulala. Wakanifuatilia hadi ‘room’ kwangu, wakahakikisha nimeingia chumbani na kulala.
Hawakuwa wanajua kuwa wanashugulika na mtu hatari sana ambae ameshapitia mafunzo ya uharamia na ujambanzi wa kutumia silaha majini na nchi kavu, pia hawakujua kwamba mimi ni miongoni mwa binadamu wachache
wanaoishi, ambao wameshapambana na askari nchi kavu na majini, na zaidi
hawakujua kuwa hata wanyama wakali wa mwituni nimeshapambana nao na kuwashinda. Nilikuwa nawahurumia sana hawa jamaa, kwani walijua Mimi ni yule yule niliyeachana nao miezi tisa iliyopita kule Malawi kimaajabu.

Nilipofika chubani kwangu sikulala, nilianza moja kwa moja kuchora raketi ya namna ya kutoka pale. Nikachungulia nje, nilikuwa ghorofa ya nne juu sana,
na hivyo njia ya kuruka haikufaa. Kushuka kwa ngazi pia haikufaa kutokana na
baadhi ya korido kupita karibu na vyumba vya wale jamaa zangu.
Wakati nawaza bahati nzuri niliona njia ya kuelekea juu sehemu ya paa la hoteli. Kwa hivyo Ilipofika saa 8 usiku, nikachukua vitu vyangu nikatoka mle ndani,
nikapandisha ngazi hadi juu kwenye matanki ya maji ya hoteli ilikuwa ni juu kabisa kwenye paa la hotel. Nikashuka kwa ngazi za kupitia nje hadi chini salama na rahisi sana. Sasa kazi iliyokuwa imebaki mbele yangu ilikuwa namna
ya kutoka pale getini sehemu ambayo ilikuwa na walinzi wawili.

Sikuchagua njia ya kuruka ukuta kwa sababu ilikuwa juu sana na ukuta uliunganishwa na
umeme.Nikasogea kwa kunyatia hadi pale getini wakati nafika tu tayari wale walinzi wakawa wameshashtuka mmoja hakusubiri maelezo alirusha mshale, lakini ulinikosa kwa bahati. Kwa hivyo, akakimbia kuufuata kuuokota. Wakati anakwenda kuokota, wakati huo mlinzi mwenzie alikuwa kama kachanganyikiwa asijue nini cha kufanya, nahisi labda hakuwa mzoefu wa kazi. Mlango hawakuwa wameufunga nikafungua Geti
nikakimbia na kutokomea gizani. Huku nyuma nikisikia vilio pale getini. Kutokana na hizo purukushani kule ndani tayari watu walikuwa wameanza kuamka
wakitaharuki na kujihami kwa hayo mayowe.
Nikaondoka lile eneo mara moja na kuelekea maeneo ya stendi ya mabasi nikatafuta Gest ya hadhi ya kawaida nikalala. Asubuhi wale jamaa zangu kwa
kushirikiana na uongozi wa ile hotel walienda kuripoti polisi kuwa mimi ni jambazi na nimemuua mlinzi wa Hotel (kitu ambacho sikufanya), kisha kutokomea kusiko julikana. Basi siku hiyo hiyo nikiwa kwenye Mgahawa mmoja hivi, nilisikia taarifa ya habari ikisomwa kwa lugha ya kiingeleza ambacho nilikuwa naelewa, taarifa ilieleza kwamba kuna jambazi limevamia hoteli na kumuua mlinzi mmoja, yeyote atakae toa taarifa za kukamatwa
kwake zawadi nono itatolewa.

Baada ya hiyo habari nikaona Harare sio swari tena kwangu ilipofika usiku wa siku hiyo hiyo nikakodi taksi kutoka Harare kwenda boda ya Zimbabwe na Afrika ya kusini ambapo nakumbuka asubuhi mapema sana tukaondoka.
Tulikuwa tunatembea mwendo wa kasi sana ili ikiwezekana yule dereva arejee Harare siku hiyo hiyo, baada ya kutembea umbali wa zaidi ya Km 200 hivi tulisimama kuchimba dawa ilikuwa nisehemu ambayo ina kama mteremko
hivi kwa hivyo ilikuwa ni rahisi tu kuona nyuma nikaona Kwa mbali kuna gari ya polisi inakuja, nikabana porini kidogo. Nikiwa nimebana porini ile gari ya polisi ikaja kupita kwa mwendo kasi sana kwa kiasi fulani. Kutokana na uzoefu
wangu na matukio ya kipolisi nirihisi kitu fulani japo dereva alionekana anamtazamo wa kwamba ilikuwa ni safari ya kawaida tu ya wale polisi.

Tukarejea kwenye gari tukatembea kama Km 10 hivi nikaona nyuma yetu kuna gari nyingine ya polisi inakuja kwa kasi sana, nikamwambia yule deleva wangu asimame, kutokana na ukweli kwamba tayari nilikuwa nimeshajua mchezo
ambao polisi walikuwa wanajarimbu kuufanya punde tu baaada ya kusimama niliona ile gari ya polisi iliyotupita mara ya kwanza inakuja kwa kasi ya hatari
kutokea mbele yetu.
Baada ya kuona hivyo nikachukua kile kibegi changu kwenye gari kisha nikatokomea kwenye msitu mnene pembeni ya barabara nikakimbia kama umbali wa mita 20, kisha nikaanza kukimbia kuelekea mbele usawa wa barabara, nikawa nakimbia kuelekea mbele tulikokuwa tunaelekea baada ya kwenda
kama m 200 nikavuka upande wa pili wa barabara nilifanya hivyo makusudi
kwa sababu nilijua lazima polisi watakuwa wanaelekea mbele upande ule ni-
likokimbilia mwanzo bahati nzuri hawakuwa na mbwa wa polisi.
Baada ya kuvuka barabara sikuwa na haja tena ya kukimbia kwa sababu nilijua tayari nimeshawapoteza maboya. Nikatembea umbali wa Km zaidi ya 40 bila kukuta kijiji wala mji wowote nikahisi kwamba itakuwa naelekea sehemu
mbaya nikaanza kutembea kuelekea upande wa barabara kuu niliyoiacha.

Nikatembea umbali mrefu sana ikawa usiku na kwa bahati mbaya kulikuwa na wingu zito sana ambalo lilisababisha mvua kubwa sana inyeshe na kwa kuwa hapakuwa nyumba nikakaa chini ya mti mkubwa mvua ilikuwa kubwa sana,
nililowa sana na baridi ilikuwa kali sana.
Mvua iliendelea kunyesha bila kupungua kwa muda wa masaa matatu kwa hakika hali yangu ilianza kuwa mbaya mwili wangu ulianza kuzidiwa na baridi na mvua. Eneo nililokuwa ni moja ya maeneo yenye baridi kali kusini mwa Afrika.
Wale askari hawakufanikiwa hata kunisogelea kwa hivyo Ilipofika asubuhi
nikawa nimeendelea na safari yangu haikuchukua muda mrefu sana nikawa
nimetokeza barabarani yaani barabara kuu iendayo Afrika ya kusini. Haikupita muda mrefu ikaja pikipiki kubwa aina ya Baja nikasimamisha jamaa akasimama ingawa alisita sita kidogo, nikaomba usaifiri tukaelewana kisha nikapanda na kuanza safari.

Nikasafiri umbali wa kutosha ndipo tukafika boda ya Zimbabwe na Afrika ya kusini katika eneo linaloitwa Beitbridge karibu kabisa na mto Limpopo.
Nilipofika katika mji huu nilijisikia vizuri kwa sababu shauku yangu ya kufika katika nchi ya Afrika ya kusini ilikuwa inaanza kutimia, Border ya Beitbridge ni moja ya border ngumu kwa wahamiaji haramu kutokana na sehemu ya
kuvukia kuwa juu ya mto Limpopo. Wakati huo ilikuwa ni majira ya mvua za masika, kutokana na majira hayo mvua kunyesha kwa wingi mto Limpopo ulikuwa umejaa sana kwa hivyo ilikuwa si rahisi kuvuka boda kwa kupitia njia za uchochoroni, ilikuwa ni lazima uvuke kwenye daraja la pale Border, kutokana na historia ya Afrika kusini kuwa na changamoto nyingi za wahamiaji halamu, ulinzi muda wote umeimalishwa sana eneo lile, na kwa bahati mbaya nilizozitaja na kutokana na ugeni wangu sikuwa najua njia nyingine za panya
za kuvuka boda hivyo nililazimika kukaa kwenye ule mji kwa siku tatu, siku ya nne nikaamua kwenda kujaribu zari la kuvuka border kibandidubandindu
hivyo hivyo bila kufuata taratibu. Kwa bahati mbaya nilipofika tu border nikakamatwa na askari polisi wa inter
pole nilikamatwa kirahisi sana. Hii ilitokana na wale askali pale border kuwa na picha na taarifa zangu, walikuwa wana taarifa kuwa natafutwa na serikali za
mataifa manne yaani Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe.
Ilikuwa imeripotiwa kwamba Mimi ni jambazi na msafirishaji wa madawa ya kulevya hatari sana kutoka TZ, kwa hivyo baada ya kukamatwa tu wale
askari waliomba waongezewe nguvu na askari wa kikosi maalumu kutoka pale
Border Zimbabwe walifika mara moja.
Nikawekwa chini ya uinzi mkali kiasi kwamba sikuruhusiwa hata kugeuka nyuma wala pembeni, tukio hilo liliniumiza sana kwasababu niliona nakamatwa katika boda ya nchi ambayo nimeipigania kwa moyo wangu wote kiasi kile
wakati tayari ardhi yake naiona upande wa pili tu wa boda, pia nilijua kwa mtu kama mimi ni ngumu sana kusafiri kutoka Tanzania na kufika ile Boda, nika-
jisemea moyoni kwamba hapana sitakubali.

Itaendelea.
 
SAFARI YA KUZAMIA AFRIKA YA KUSINI KWA NJIA ZA PANYA.

Sehemu ya sita.


Tukaendelea
kushambulia kwa nguvu huku tukiwa na matumaini kwamba labda wenzetu
watarudi, tukapambana kama dk 15 hivi huku tukiwa tumefika ziwani kabisa yule mwenzangu akachukua risasi za kifuani akafa. Sasa nikabaki mwenyewe mashambulizi yote yakaelekezwa kwangu. Nilipoona hali inazidi kuwa mbaya na jamaa
wamesogea sana, nikajitosa ziwani na kuanza kutokomea ndani.

Baada ya kujitosa ziwani nilizama chini kabisa hadi kwenye mchanga wa ziwa Tanganyika katika kina kirefu kabisa, nikiwa kule chini mashambulizi yaliendelea risasi ziliendelea kupigwa ndio mana nilizama hadi chini kabisa, yale mafunzo niliyoyapata kule
Kongo yalinisaidia sana katika mkasa huu.
Baada ya muda wa kama dakika moja hivi waliacha kunishambulia walikuwa wanasubiri ama niibuke nikiwa nimekufa au mzima. Walijua kwa vovyote nitaibuka tu kwani binadamu hana uwezo wa kukaa ndani ya maji kwa muda mrefu. Walikuwa wamejidanganya wakati huo nilikuwa na uwezo wa kukaa ndani ya maji kwenye kina nikiwa nimezama kati ya dakika 10 hivi bila shida yoyote.
Wakati wanasubiri niibuke, niliendelea kupiga mbizi kutokomea ndani ya ziwa zaidi. Nilipofika umbali wa mita 500, niliibuka nikawaona kwa mbali wameelekeza mitutu ya silaha/bunduki zao ziwani. Kutokana na umbali niliokuwa
hawakuweza kuniona, mbele yangu kulikuwa na kisiwa ambacho huitwa Mada Kelenge nikaanza kukitafuta taratibu huku nikiwa naogele kwa tahadhari.

Wakati wote huo zile pesa tulizopola na wenzangu nilikuwa nimezifunga
kwenye mfuko wa Rambo na kisha kuzifunga kiunoni zilikuwa salama kabisa mahali hapo. Niliendelea kukisogelea kisiwa taratibu, wakati nakaribia kile kisiwa niliona boti ya kijeshi inakuja upande wangu nikajua kazi bado haijakwisha, walikuwa wanajeshi. Kwa hivyo ndio wakaanza kuniandama kwa kuwa nilijua natetea maisha yangu. Kwa mara nyingine huku nikiwa najua kwa kuwa wanajua nina silaha wakinikuta hawatahitaji kunikamata nikiwa hai, nitapigwa risasi nibaki mzoga wa samaki.

Nikaapa kuwa nitayatetea maisha yangu kwa hali na mali kwa hivyo niligeuka
nikaanza kuogelea huku nimelala chali, niliendelea kwenda mbele bahati nzuri wakawa wamepita pembeni yangu nilihisi itakuwa walikuwa hawajaniona lakini pia hawakutegeme kama mtu wa kawaida anaweza kuogelea umbali ule. Wale askari walienda moja kwa moja hadi kisiwani upande ambao ilikuwa
ndio wa kuingilia. Kwa hivyo nikajua kama na mimi nitaelekea huo usawa nitakamatwa au nitauawawa, kwa hivyo nilichokifanya nikakizunguka kisiwa hadi upande wa pili, nikafika kwenye ufukwe wa kisiwa nikatoka majini nikakutana
na pori kubwa sana nikatembea kama mita 70 hivi nikakaa sehemu juu ya jiwe nikapumzika pale kama masaa 2.

Baada ya kupumzika nikakata shauri nisiendelee kukaa pale kwa sababu wanaweza kuzunguka upande wapili wa kisiwa, pia nikaona nikienda kisiwani
sehemu ya watu, kwa vyovyote vile itakuwa serikali ya kijiji imesha julishwa kuhusiana na mimi. Kwa hivyo nikaamua kurejea ziwani nikiwa naelekea katika kisiwa cha jirani ambacho kinaitwa Manda Udwire, nilipoogelea umbali wa
kama km 2 hivi nikaona mtubwi ukiwa na watu wawili unakuja upande wangu. Nikatupa bunduki majini ili wakifika wasione kama mimi ni mtu mbaya. Baada
ya muda wale jamaa wakafika walikuwa vijana wadogo, wakanibeba wakaniuliza nakwenda wapi, nikawambia wanipeleke kijiji cha Kipili sehemu ambayo
Meli ya MV Liemba huwa inasimama kuna bandari ndogo pale, ambayo hutumika kupakia watu na mizigo.

Vijana walinipeleka hadi sehemu niliyokuwa na-
taka kupelekwa wakanishushia pembeni kidogo na kijiji, nikawapa Tsh 10,000
wakanishukuru wakaondoka wakaendelea na safari yao ambayo ilikuwa ni
kwenda kijiji cha Karungu. Kwa kuwa hawakuwa wakazi wa kijiji cha Kipili sikupata wasi wasi wa kunichoma kwa hivyo nikatembea hadi porini. Njaa ilikuwa imeuma Sana kwani
hadi muda huo nilikuwa na zaidi ya masaa 24 bila kula kitu chochote na nikiwa nimepitia suruba za kutisha majini nan chi kavu. Sikutaka kuingia kijijini mchana na kwa bahati pia Meli ya MV Liemba ilikuwa inapita siku hiyo hiyo majira ya saa nne usiku.

Sikuwa na uhakika kama kwa muda huo naweza kufuatiliwa na askari polisi, nikahisi bila shaka watakuwa wanadhani waliniua pale wakati wananiminia risasi. Kwa hivyo nikakaa pale porini hadi majira ya saa moja jioni kisha nikaanza kutembea kuelekea kijijini. Nikafika sehemu ya kupandia meli majira ya saa mbili usiku ikiwa kumebaki masaa mawili tu meli ifike. Muda ulipofika, Meli ikawa imefika na kwa kweli sikupata kizuizi chochote nikapanda Meli na hata
nilipofika ndani ya Meli askari wa kule ndani hawakuwa na habali wala dalili za kunifuatilia ilikuwa ni safari salama sana. Hivyo ndivyo nilivyopona kikakamavu kabisa kutoka katika mikono ya askari
wa jeshi, pia ndivyo nilivyojikuta nimeachana na wale maharamia wa Kongo ambao walikuwa wamenifanya muharifu wa kimataifa katika nchi kavu na majini. Hadi naachana nao nilikuwa naweza kutumia silaha za kivita kama mwanajeshi aliefunzwa vizuri. Kwa hivyo kwa kiasi fulani hawa kuniacha vibaya sana kwani waliniachia ujuzi japo ni ujuzi ambao jamii inaupiga vita, nilikuwa nimetoka kuwa mvuvi na kuwa komandoo wa kivita katika uwanja wa
kimapigano, bahati nyingine huja wakati huihitaji hiyo bahati.
Baada ya safari ya masaa mengi sana ya kutosha, hatimae tulifika katika mji wa Mpurungu. Kutokana na uzoefu wangu wa kwenye mipaka baada ya meli
kutia nanga ili kukwepa masuala ya uhamiaji kama passport na mengineyo nilitumia ujanja wangu nikavuka vizuizi na nikafanikiwa kuingia ndani ya mji
wa Mpulungu nchini Zambia bila tabu yoyote.

Mpango wangu ulikuwa umeiva; nilikuwa nimeamua kwa dhati ya moyo wangu kuianza safari ya kwenda afrika ya kusini kwa mara nyingine lakini, safari
hii kwa njia ya kutokea ziwa Tanganyika njia mbayo niliwahi kushauliwa na
rafiki yangu wa sumbawanga ndugu Edward Mizimu wakati ule naianza safari
ya kwanza. Tofauti na safari ya kipindi kile ni kwamba Walau safari hii nilikuwa na pesa
zaidi ya million 12, kwa kuwa nilishawahi kuwa na mamilioni yale yaliyopukutika kimaajabu kwa hivyo pesa nilikuwa na uzoefu nazo. Ili kuepuka kuwa na
mabunda makubwa nikachenji pesa zangu zote kuwa Dollar za marekani. Pia
nilichenji kwacha kiasi kwa ajiri ya matumizi nikiwa katika nchi ya Zambia. Nilikaa pale Mpulungu kwa siku nne lengo ikiwa ni kupata mapumziko ya
kutosha baada ya kukikwepa kifo na tabu nyingi. Siku ya nne nilisafiri hadi mji
wa Kasama sehemu ambayo ni mji mkuu wa jimbo la kaskazini nchini Zambia.

Nikakaa siku moja kesho yake usiku wa saa mbili nikapanda Treni ya TAZARA kuelekea Kapiri Mposhi, safari hii nilikuwa nimeamua kutumia njia ya Treni ili
kupunguza vikwazo vya polisi. Nilifika Kapiri mposhi kesho yake mchana kwa kuwa mji huo haupo mbali sana na Mkushi sehemu ambayo kulikuwa na jarada langu la uhalifu niliondoka kwenye huo mji usiku ule ule sikupata kikwazo chochote hadi pale. Safari hii nilikuwa na kibali cha kusafiri ndani ya Zambia ambacho nilikipata pale Mpurungu baada ya kutoa pesa kidogo kwa maafisa wa uhamiaji.

Kwa hivyo nilisafiri siku hiyo hiyo hadi Lusaka na kutokana na kutokuwa na historia nzuri na mji wa Lusaka niliamua kuondoka usiku huo huo kutoka mji wa Lusaka kwa gari ya kukodi hadi Livingstone mji ambao upo karibu kabisa
na boda ya Zimbabwe na Zambia. Baada ya kufika pale nikapumzika Kama siku mbili huku nasoma ramani ya namna ya kusogelea boda. Siku ya tatu nilifanya safari fupi hadi katika mji wa
Chirundu sehemu ambapo ndipo ilipo boda ya Zambia na Zimbabwe. Nikavuka boda kwa njia ya miguu hadi upande wa Zimbabwe, nilifanya hivyo ili nipandie gari upande wa kule kwa sababu Zimbabwe na Zambia hazitofautiani
sana kwenye masuala ya uhamiaji wanakuwa wagumu sana ukilinganisha na
Tanzania

Baada ya kuvuka boda nilipanda mabasi ya kuelekea Halale Zimbabwe. Kama kawaida yangu kuanzia hapo sikuwa na passport wala nyaraka
yoyote ya kuharalisha safari yangu. Safari ilikuwa haina vikwazo vyovyote hadi hatua hiyo. Hata hivyo baada ya kusafiri umbali wa zaidi ya KM 350 hivi, changamoto za safari zilianza. Nakumbuka tulipata bleck down ya gari ambapo sehemu ya injini ilipata hitirafu ambayo ilibidi tushindwe kuendelea na safari tulikaa pale kama DK 20
hivi. Ikaja gari moja kali V8, ikasimama kwa lengo la kutusaidia. Watu walio kuwa kwenye hiyo gari waliposhuka niliwafahamu bila wasiwasi kuwa ni wale
jamaa tuliokamatwa nao kwenye issue ya madawa ya kulevya kule Malawi na wao pia walinitambua vizuri kabisa. Wakashuka wakiwa kama na furaha hivi ya kufahamiana na mimi, japo kwa kweli ni furaha ya mashaka.
Tulisalimiana na kisha mmoja akaja kuongea na mimi na wengine wakawa wanaongea na abiria wengine, aliekuwa anaongea na mimi ni mkuu wao, alikuwa
amenitoa pembeni kidogo,baada ya mazungumuzo kadhaa aliniambia inabidi
niondoke nao, kwani bosi wao bado ananihitaji sana kwenye shughuli zake.

Akasema tunakwenda Halale kuna mzigo wanaufuata kisha tutarejea Chikankata Mission kwenye maskani yao. Kwa kuwa na mimi shida yangu ilikuwa nikufika Harare na nilikuwa najiamini
sana kutokana na yale mafunzo ya kule Kongo Mashariki nikakubali nikiwa nimepanga kwamba tukifika Harare nitawatoroka. Safari ikaanza kuelekea Harare kulikuwa na faida ya kupanda gari yao kwa sababu hakukuwa na urahisi wa kusumbuliwa na migration wala polisi njiani kutokana na mtandao wao na
hadhi ta Gari yenyewe ambayo sio rahisi sana kusimamishwa na askali wa doria wala wa barabarani.Tuliendelea na safari salama hadi tukafika Halale ambapo ilibidi tulale ili
kupokea mzigo kesho yake asubuhi ambao ulikuwa unasafirishwa kutoka Darban Afrika ya Kusini. Tulifikia kwenye hotel nzuri ya Nyota tano na kila mtu
alikuwa na chumba chake. Kwa kuwa nilijua kuwa asubuhi itabidi tuondoke usiku ule ule nilianza mikakati ya kutoroka kwenye ile hotel, haikuwa rahisi
kutokana na wale jamaa zangu kuniwekea ulinzi wa siri, hawa jamaa bado walikuwa hawaniamini sana kwa hivyo waliongea na walinzi wa ile hotel wahakikishe sitoki nikiwa peke yangu.

Kwa bahati nzuri kulingana na uzoefu wangu ambao nilikuwa nimeupata wa
kimafia nilikuwa najua kinachoendelea. Kwa hiyo, baada ya chakula cha usiku nikawaaga wale jamaa kuwa naenda kulala. Wakanifuatilia hadi ‘room’ kwangu, wakahakikisha nimeingia chumbani na kulala.
Hawakuwa wanajua kuwa wanashugulika na mtu hatari sana ambae ameshapitia mafunzo ya uharamia na ujambanzi wa kutumia silaha majini na nchi kavu, pia hawakujua kwamba mimi ni miongoni mwa binadamu wachache
wanaoishi, ambao wameshapambana na askari nchi kavu na majini, na zaidi
hawakujua kuwa hata wanyama wakali wa mwituni nimeshapambana nao na kuwashinda. Nilikuwa nawahurumia sana hawa jamaa, kwani walijua Mimi ni yule yule niliyeachana nao miezi tisa iliyopita kule Malawi kimaajabu.

Nilipofika chubani kwangu sikulala, nilianza moja kwa moja kuchora raketi ya namna ya kutoka pale. Nikachungulia nje, nilikuwa ghorofa ya nne juu sana,
na hivyo njia ya kuruka haikufaa. Kushuka kwa ngazi pia haikufaa kutokana na
baadhi ya korido kupita karibu na vyumba vya wale jamaa zangu.
Wakati nawaza bahati nzuri niliona njia ya kuelekea juu sehemu ya paa la hoteli. Kwa hivyo Ilipofika saa 8 usiku, nikachukua vitu vyangu nikatoka mle ndani,
nikapandisha ngazi hadi juu kwenye matanki ya maji ya hoteli ilikuwa ni juu kabisa kwenye paa la hotel. Nikashuka kwa ngazi za kupitia nje hadi chini salama na rahisi sana. Sasa kazi iliyokuwa imebaki mbele yangu ilikuwa namna
ya kutoka pale getini sehemu ambayo ilikuwa na walinzi wawili.

Sikuchagua njia ya kuruka ukuta kwa sababu ilikuwa juu sana na ukuta uliunganishwa na
umeme.Nikasogea kwa kunyatia hadi pale getini wakati nafika tu tayari wale walinzi wakawa wameshashtuka mmoja hakusubiri maelezo alirusha mshale, lakini ulinikosa kwa bahati. Kwa hivyo, akakimbia kuufuata kuuokota. Wakati anakwenda kuokota, wakati huo mlinzi mwenzie alikuwa kama kachanganyikiwa asijue nini cha kufanya, nahisi labda hakuwa mzoefu wa kazi. Mlango hawakuwa wameufunga nikafungua Geti
nikakimbia na kutokomea gizani. Huku nyuma nikisikia vilio pale getini. Kutokana na hizo purukushani kule ndani tayari watu walikuwa wameanza kuamka
wakitaharuki na kujihami kwa hayo mayowe.
Nikaondoka lile eneo mara moja na kuelekea maeneo ya stendi ya mabasi nikatafuta Gest ya hadhi ya kawaida nikalala. Asubuhi wale jamaa zangu kwa
kushirikiana na uongozi wa ile hotel walienda kuripoti polisi kuwa mimi ni jambazi na nimemuua mlinzi wa Hotel (kitu ambacho sikufanya), kisha kutokomea kusiko julikana. Basi siku hiyo hiyo nikiwa kwenye Mgahawa mmoja hivi, nilisikia taarifa ya habari ikisomwa kwa lugha ya kiingeleza ambacho nilikuwa naelewa, taarifa ilieleza kwamba kuna jambazi limevamia hoteli na kumuua mlinzi mmoja, yeyote atakae toa taarifa za kukamatwa
kwake zawadi nono itatolewa.

Baada ya hiyo habari nikaona Harare sio swari tena kwangu ilipofika usiku wa siku hiyo hiyo nikakodi taksi kutoka Harare kwenda boda ya Zimbabwe na Afrika ya kusini ambapo nakumbuka asubuhi mapema sana tukaondoka.
Tulikuwa tunatembea mwendo wa kasi sana ili ikiwezekana yule dereva arejee Harare siku hiyo hiyo, baada ya kutembea umbali wa zaidi ya Km 200 hivi tulisimama kuchimba dawa ilikuwa nisehemu ambayo ina kama mteremko
hivi kwa hivyo ilikuwa ni rahisi tu kuona nyuma nikaona Kwa mbali kuna gari ya polisi inakuja, nikabana porini kidogo. Nikiwa nimebana porini ile gari ya polisi ikaja kupita kwa mwendo kasi sana kwa kiasi fulani. Kutokana na uzoefu
wangu na matukio ya kipolisi nirihisi kitu fulani japo dereva alionekana anamtazamo wa kwamba ilikuwa ni safari ya kawaida tu ya wale polisi.

Tukarejea kwenye gari tukatembea kama Km 10 hivi nikaona nyuma yetu kuna gari nyingine ya polisi inakuja kwa kasi sana, nikamwambia yule deleva wangu asimame, kutokana na ukweli kwamba tayari nilikuwa nimeshajua mchezo
ambao polisi walikuwa wanajarimbu kuufanya punde tu baaada ya kusimama niliona ile gari ya polisi iliyotupita mara ya kwanza inakuja kwa kasi ya hatari
kutokea mbele yetu.
Baada ya kuona hivyo nikachukua kile kibegi changu kwenye gari kisha nikatokomea kwenye msitu mnene pembeni ya barabara nikakimbia kama umbali wa mita 20, kisha nikaanza kukimbia kuelekea mbele usawa wa barabara, nikawa nakimbia kuelekea mbele tulikokuwa tunaelekea baada ya kwenda
kama m 200 nikavuka upande wa pili wa barabara nilifanya hivyo makusudi
kwa sababu nilijua lazima polisi watakuwa wanaelekea mbele upande ule ni-
likokimbilia mwanzo bahati nzuri hawakuwa na mbwa wa polisi.
Baada ya kuvuka barabara sikuwa na haja tena ya kukimbia kwa sababu nilijua tayari nimeshawapoteza maboya. Nikatembea umbali wa Km zaidi ya 40 bila kukuta kijiji wala mji wowote nikahisi kwamba itakuwa naelekea sehemu
mbaya nikaanza kutembea kuelekea upande wa barabara kuu niliyoiacha.

Nikatembea umbali mrefu sana ikawa usiku na kwa bahati mbaya kulikuwa na wingu zito sana ambalo lilisababisha mvua kubwa sana inyeshe na kwa kuwa hapakuwa nyumba nikakaa chini ya mti mkubwa mvua ilikuwa kubwa sana,
nililowa sana na baridi ilikuwa kali sana.
Mvua iliendelea kunyesha bila kupungua kwa muda wa masaa matatu kwa hakika hali yangu ilianza kuwa mbaya mwili wangu ulianza kuzidiwa na baridi na mvua. Eneo nililokuwa ni moja ya maeneo yenye baridi kali kusini mwa Afrika.
Wale askari hawakufanikiwa hata kunisogelea kwa hivyo Ilipofika asubuhi
nikawa nimeendelea na safari yangu haikuchukua muda mrefu sana nikawa
nimetokeza barabarani yaani barabara kuu iendayo Afrika ya kusini. Haikupita muda mrefu ikaja pikipiki kubwa aina ya Baja nikasimamisha jamaa akasimama ingawa alisita sita kidogo, nikaomba usaifiri tukaelewana kisha nikapanda na kuanza safari.

Nikasafiri umbali wa kutosha ndipo tukafika boda ya Zimbabwe na Afrika ya kusini katika eneo linaloitwa Beitbridge karibu kabisa na mto Limpopo.
Nilipofika katika mji huu nilijisikia vizuri kwa sababu shauku yangu ya kufika katika nchi ya Afrika ya kusini ilikuwa inaanza kutimia, Border ya Beitbridge ni moja ya border ngumu kwa wahamiaji haramu kutokana na sehemu ya
kuvukia kuwa juu ya mto Limpopo. Wakati huo ilikuwa ni majira ya mvua za masika, kutokana na majira hayo mvua kunyesha kwa wingi mto Limpopo ulikuwa umejaa sana kwa hivyo ilikuwa si rahisi kuvuka boda kwa kupitia njia za uchochoroni, ilikuwa ni lazima uvuke kwenye daraja la pale Border, kutokana na historia ya Afrika kusini kuwa na changamoto nyingi za wahamiaji halamu, ulinzi muda wote umeimalishwa sana eneo lile, na kwa bahati mbaya nilizozitaja na kutokana na ugeni wangu sikuwa najua njia nyingine za panya
za kuvuka boda hivyo nililazimika kukaa kwenye ule mji kwa siku tatu, siku ya nne nikaamua kwenda kujaribu zari la kuvuka border kibandidubandindu
hivyo hivyo bila kufuata taratibu. Kwa bahati mbaya nilipofika tu border nikakamatwa na askari polisi wa inter
pole nilikamatwa kirahisi sana. Hii ilitokana na wale askali pale border kuwa na picha na taarifa zangu, walikuwa wana taarifa kuwa natafutwa na serikali za
mataifa manne yaani Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe.
Ilikuwa imeripotiwa kwamba Mimi ni jambazi na msafirishaji wa madawa ya kulevya hatari sana kutoka TZ, kwa hivyo baada ya kukamatwa tu wale
askari waliomba waongezewe nguvu na askari wa kikosi maalumu kutoka pale
Border Zimbabwe walifika mara moja.
Nikawekwa chini ya uinzi mkali kiasi kwamba sikuruhusiwa hata kugeuka nyuma wala pembeni, tukio hilo liliniumiza sana kwasababu niliona nakamatwa katika boda ya nchi ambayo nimeipigania kwa moyo wangu wote kiasi kile
wakati tayari ardhi yake naiona upande wa pili tu wa boda, pia nilijua kwa mtu kama mimi ni ngumu sana kusafiri kutoka Tanzania na kufika ile Boda, nika-
jisemea moyoni kwamba hapana sitakubali.

Itaendelea.

Mkuu mbona umeruka kipande?
 
SAFARI YA KUZAMIA AFRIKA YA KUSINI KWA NJIA ZA PANYA.

Sehemu ya sita.


Tukaendelea
kushambulia kwa nguvu huku tukiwa na matumaini kwamba labda wenzetu
watarudi, tukapambana kama dk 15 hivi huku tukiwa tumefika ziwani kabisa yule mwenzangu akachukua risasi za kifuani akafa. Sasa nikabaki mwenyewe mashambulizi yote yakaelekezwa kwangu. Nilipoona hali inazidi kuwa mbaya na jamaa
wamesogea sana, nikajitosa ziwani na kuanza kutokomea ndani.

Baada ya kujitosa ziwani nilizama chini kabisa hadi kwenye mchanga wa ziwa Tanganyika katika kina kirefu kabisa, nikiwa kule chini mashambulizi yaliendelea risasi ziliendelea kupigwa ndio mana nilizama hadi chini kabisa, yale mafunzo niliyoyapata kule
Kongo yalinisaidia sana katika mkasa huu.
Baada ya muda wa kama dakika moja hivi waliacha kunishambulia walikuwa wanasubiri ama niibuke nikiwa nimekufa au mzima. Walijua kwa vovyote nitaibuka tu kwani binadamu hana uwezo wa kukaa ndani ya maji kwa muda mrefu. Walikuwa wamejidanganya wakati huo nilikuwa na uwezo wa kukaa ndani ya maji kwenye kina nikiwa nimezama kati ya dakika 10 hivi bila shida yoyote.
Wakati wanasubiri niibuke, niliendelea kupiga mbizi kutokomea ndani ya ziwa zaidi. Nilipofika umbali wa mita 500, niliibuka nikawaona kwa mbali wameelekeza mitutu ya silaha/bunduki zao ziwani. Kutokana na umbali niliokuwa
hawakuweza kuniona, mbele yangu kulikuwa na kisiwa ambacho huitwa Mada Kelenge nikaanza kukitafuta taratibu huku nikiwa naogele kwa tahadhari.

Wakati wote huo zile pesa tulizopola na wenzangu nilikuwa nimezifunga
kwenye mfuko wa Rambo na kisha kuzifunga kiunoni zilikuwa salama kabisa mahali hapo. Niliendelea kukisogelea kisiwa taratibu, wakati nakaribia kile kisiwa niliona boti ya kijeshi inakuja upande wangu nikajua kazi bado haijakwisha, walikuwa wanajeshi. Kwa hivyo ndio wakaanza kuniandama kwa kuwa nilijua natetea maisha yangu. Kwa mara nyingine huku nikiwa najua kwa kuwa wanajua nina silaha wakinikuta hawatahitaji kunikamata nikiwa hai, nitapigwa risasi nibaki mzoga wa samaki.

Nikaapa kuwa nitayatetea maisha yangu kwa hali na mali kwa hivyo niligeuka
nikaanza kuogelea huku nimelala chali, niliendelea kwenda mbele bahati nzuri wakawa wamepita pembeni yangu nilihisi itakuwa walikuwa hawajaniona lakini pia hawakutegeme kama mtu wa kawaida anaweza kuogelea umbali ule. Wale askari walienda moja kwa moja hadi kisiwani upande ambao ilikuwa
ndio wa kuingilia. Kwa hivyo nikajua kama na mimi nitaelekea huo usawa nitakamatwa au nitauawawa, kwa hivyo nilichokifanya nikakizunguka kisiwa hadi upande wa pili, nikafika kwenye ufukwe wa kisiwa nikatoka majini nikakutana
na pori kubwa sana nikatembea kama mita 70 hivi nikakaa sehemu juu ya jiwe nikapumzika pale kama masaa 2.

Baada ya kupumzika nikakata shauri nisiendelee kukaa pale kwa sababu wanaweza kuzunguka upande wapili wa kisiwa, pia nikaona nikienda kisiwani
sehemu ya watu, kwa vyovyote vile itakuwa serikali ya kijiji imesha julishwa kuhusiana na mimi. Kwa hivyo nikaamua kurejea ziwani nikiwa naelekea katika kisiwa cha jirani ambacho kinaitwa Manda Udwire, nilipoogelea umbali wa
kama km 2 hivi nikaona mtubwi ukiwa na watu wawili unakuja upande wangu. Nikatupa bunduki majini ili wakifika wasione kama mimi ni mtu mbaya. Baada
ya muda wale jamaa wakafika walikuwa vijana wadogo, wakanibeba wakaniuliza nakwenda wapi, nikawambia wanipeleke kijiji cha Kipili sehemu ambayo
Meli ya MV Liemba huwa inasimama kuna bandari ndogo pale, ambayo hutumika kupakia watu na mizigo.

Vijana walinipeleka hadi sehemu niliyokuwa na-
taka kupelekwa wakanishushia pembeni kidogo na kijiji, nikawapa Tsh 10,000
wakanishukuru wakaondoka wakaendelea na safari yao ambayo ilikuwa ni
kwenda kijiji cha Karungu. Kwa kuwa hawakuwa wakazi wa kijiji cha Kipili sikupata wasi wasi wa kunichoma kwa hivyo nikatembea hadi porini. Njaa ilikuwa imeuma Sana kwani
hadi muda huo nilikuwa na zaidi ya masaa 24 bila kula kitu chochote na nikiwa nimepitia suruba za kutisha majini nan chi kavu. Sikutaka kuingia kijijini mchana na kwa bahati pia Meli ya MV Liemba ilikuwa inapita siku hiyo hiyo majira ya saa nne usiku.

Sikuwa na uhakika kama kwa muda huo naweza kufuatiliwa na askari polisi, nikahisi bila shaka watakuwa wanadhani waliniua pale wakati wananiminia risasi. Kwa hivyo nikakaa pale porini hadi majira ya saa moja jioni kisha nikaanza kutembea kuelekea kijijini. Nikafika sehemu ya kupandia meli majira ya saa mbili usiku ikiwa kumebaki masaa mawili tu meli ifike. Muda ulipofika, Meli ikawa imefika na kwa kweli sikupata kizuizi chochote nikapanda Meli na hata
nilipofika ndani ya Meli askari wa kule ndani hawakuwa na habali wala dalili za kunifuatilia ilikuwa ni safari salama sana. Hivyo ndivyo nilivyopona kikakamavu kabisa kutoka katika mikono ya askari
wa jeshi, pia ndivyo nilivyojikuta nimeachana na wale maharamia wa Kongo ambao walikuwa wamenifanya muharifu wa kimataifa katika nchi kavu na majini. Hadi naachana nao nilikuwa naweza kutumia silaha za kivita kama mwanajeshi aliefunzwa vizuri. Kwa hivyo kwa kiasi fulani hawa kuniacha vibaya sana kwani waliniachia ujuzi japo ni ujuzi ambao jamii inaupiga vita, nilikuwa nimetoka kuwa mvuvi na kuwa komandoo wa kivita katika uwanja wa
kimapigano, bahati nyingine huja wakati huihitaji hiyo bahati.
Baada ya safari ya masaa mengi sana ya kutosha, hatimae tulifika katika mji wa Mpurungu. Kutokana na uzoefu wangu wa kwenye mipaka baada ya meli
kutia nanga ili kukwepa masuala ya uhamiaji kama passport na mengineyo nilitumia ujanja wangu nikavuka vizuizi na nikafanikiwa kuingia ndani ya mji
wa Mpulungu nchini Zambia bila tabu yoyote.

Mpango wangu ulikuwa umeiva; nilikuwa nimeamua kwa dhati ya moyo wangu kuianza safari ya kwenda afrika ya kusini kwa mara nyingine lakini, safari
hii kwa njia ya kutokea ziwa Tanganyika njia mbayo niliwahi kushauliwa na
rafiki yangu wa sumbawanga ndugu Edward Mizimu wakati ule naianza safari
ya kwanza. Tofauti na safari ya kipindi kile ni kwamba Walau safari hii nilikuwa na pesa
zaidi ya million 12, kwa kuwa nilishawahi kuwa na mamilioni yale yaliyopukutika kimaajabu kwa hivyo pesa nilikuwa na uzoefu nazo. Ili kuepuka kuwa na
mabunda makubwa nikachenji pesa zangu zote kuwa Dollar za marekani. Pia
nilichenji kwacha kiasi kwa ajiri ya matumizi nikiwa katika nchi ya Zambia. Nilikaa pale Mpulungu kwa siku nne lengo ikiwa ni kupata mapumziko ya
kutosha baada ya kukikwepa kifo na tabu nyingi. Siku ya nne nilisafiri hadi mji
wa Kasama sehemu ambayo ni mji mkuu wa jimbo la kaskazini nchini Zambia.

Nikakaa siku moja kesho yake usiku wa saa mbili nikapanda Treni ya TAZARA kuelekea Kapiri Mposhi, safari hii nilikuwa nimeamua kutumia njia ya Treni ili
kupunguza vikwazo vya polisi. Nilifika Kapiri mposhi kesho yake mchana kwa kuwa mji huo haupo mbali sana na Mkushi sehemu ambayo kulikuwa na jarada langu la uhalifu niliondoka kwenye huo mji usiku ule ule sikupata kikwazo chochote hadi pale. Safari hii nilikuwa na kibali cha kusafiri ndani ya Zambia ambacho nilikipata pale Mpurungu baada ya kutoa pesa kidogo kwa maafisa wa uhamiaji.

Kwa hivyo nilisafiri siku hiyo hiyo hadi Lusaka na kutokana na kutokuwa na historia nzuri na mji wa Lusaka niliamua kuondoka usiku huo huo kutoka mji wa Lusaka kwa gari ya kukodi hadi Livingstone mji ambao upo karibu kabisa
na boda ya Zimbabwe na Zambia. Baada ya kufika pale nikapumzika Kama siku mbili huku nasoma ramani ya namna ya kusogelea boda. Siku ya tatu nilifanya safari fupi hadi katika mji wa
Chirundu sehemu ambapo ndipo ilipo boda ya Zambia na Zimbabwe. Nikavuka boda kwa njia ya miguu hadi upande wa Zimbabwe, nilifanya hivyo ili nipandie gari upande wa kule kwa sababu Zimbabwe na Zambia hazitofautiani
sana kwenye masuala ya uhamiaji wanakuwa wagumu sana ukilinganisha na
Tanzania

Baada ya kuvuka boda nilipanda mabasi ya kuelekea Halale Zimbabwe. Kama kawaida yangu kuanzia hapo sikuwa na passport wala nyaraka
yoyote ya kuharalisha safari yangu. Safari ilikuwa haina vikwazo vyovyote hadi hatua hiyo. Hata hivyo baada ya kusafiri umbali wa zaidi ya KM 350 hivi, changamoto za safari zilianza. Nakumbuka tulipata bleck down ya gari ambapo sehemu ya injini ilipata hitirafu ambayo ilibidi tushindwe kuendelea na safari tulikaa pale kama DK 20
hivi. Ikaja gari moja kali V8, ikasimama kwa lengo la kutusaidia. Watu walio kuwa kwenye hiyo gari waliposhuka niliwafahamu bila wasiwasi kuwa ni wale
jamaa tuliokamatwa nao kwenye issue ya madawa ya kulevya kule Malawi na wao pia walinitambua vizuri kabisa. Wakashuka wakiwa kama na furaha hivi ya kufahamiana na mimi, japo kwa kweli ni furaha ya mashaka.
Tulisalimiana na kisha mmoja akaja kuongea na mimi na wengine wakawa wanaongea na abiria wengine, aliekuwa anaongea na mimi ni mkuu wao, alikuwa
amenitoa pembeni kidogo,baada ya mazungumuzo kadhaa aliniambia inabidi
niondoke nao, kwani bosi wao bado ananihitaji sana kwenye shughuli zake.

Akasema tunakwenda Halale kuna mzigo wanaufuata kisha tutarejea Chikankata Mission kwenye maskani yao. Kwa kuwa na mimi shida yangu ilikuwa nikufika Harare na nilikuwa najiamini
sana kutokana na yale mafunzo ya kule Kongo Mashariki nikakubali nikiwa nimepanga kwamba tukifika Harare nitawatoroka. Safari ikaanza kuelekea Harare kulikuwa na faida ya kupanda gari yao kwa sababu hakukuwa na urahisi wa kusumbuliwa na migration wala polisi njiani kutokana na mtandao wao na
hadhi ta Gari yenyewe ambayo sio rahisi sana kusimamishwa na askali wa doria wala wa barabarani.Tuliendelea na safari salama hadi tukafika Halale ambapo ilibidi tulale ili
kupokea mzigo kesho yake asubuhi ambao ulikuwa unasafirishwa kutoka Darban Afrika ya Kusini. Tulifikia kwenye hotel nzuri ya Nyota tano na kila mtu
alikuwa na chumba chake. Kwa kuwa nilijua kuwa asubuhi itabidi tuondoke usiku ule ule nilianza mikakati ya kutoroka kwenye ile hotel, haikuwa rahisi
kutokana na wale jamaa zangu kuniwekea ulinzi wa siri, hawa jamaa bado walikuwa hawaniamini sana kwa hivyo waliongea na walinzi wa ile hotel wahakikishe sitoki nikiwa peke yangu.

Kwa bahati nzuri kulingana na uzoefu wangu ambao nilikuwa nimeupata wa
kimafia nilikuwa najua kinachoendelea. Kwa hiyo, baada ya chakula cha usiku nikawaaga wale jamaa kuwa naenda kulala. Wakanifuatilia hadi ‘room’ kwangu, wakahakikisha nimeingia chumbani na kulala.
Hawakuwa wanajua kuwa wanashugulika na mtu hatari sana ambae ameshapitia mafunzo ya uharamia na ujambanzi wa kutumia silaha majini na nchi kavu, pia hawakujua kwamba mimi ni miongoni mwa binadamu wachache
wanaoishi, ambao wameshapambana na askari nchi kavu na majini, na zaidi
hawakujua kuwa hata wanyama wakali wa mwituni nimeshapambana nao na kuwashinda. Nilikuwa nawahurumia sana hawa jamaa, kwani walijua Mimi ni yule yule niliyeachana nao miezi tisa iliyopita kule Malawi kimaajabu.

Nilipofika chubani kwangu sikulala, nilianza moja kwa moja kuchora raketi ya namna ya kutoka pale. Nikachungulia nje, nilikuwa ghorofa ya nne juu sana,
na hivyo njia ya kuruka haikufaa. Kushuka kwa ngazi pia haikufaa kutokana na
baadhi ya korido kupita karibu na vyumba vya wale jamaa zangu.
Wakati nawaza bahati nzuri niliona njia ya kuelekea juu sehemu ya paa la hoteli. Kwa hivyo Ilipofika saa 8 usiku, nikachukua vitu vyangu nikatoka mle ndani,
nikapandisha ngazi hadi juu kwenye matanki ya maji ya hoteli ilikuwa ni juu kabisa kwenye paa la hotel. Nikashuka kwa ngazi za kupitia nje hadi chini salama na rahisi sana. Sasa kazi iliyokuwa imebaki mbele yangu ilikuwa namna
ya kutoka pale getini sehemu ambayo ilikuwa na walinzi wawili.

Sikuchagua njia ya kuruka ukuta kwa sababu ilikuwa juu sana na ukuta uliunganishwa na
umeme.Nikasogea kwa kunyatia hadi pale getini wakati nafika tu tayari wale walinzi wakawa wameshashtuka mmoja hakusubiri maelezo alirusha mshale, lakini ulinikosa kwa bahati. Kwa hivyo, akakimbia kuufuata kuuokota. Wakati anakwenda kuokota, wakati huo mlinzi mwenzie alikuwa kama kachanganyikiwa asijue nini cha kufanya, nahisi labda hakuwa mzoefu wa kazi. Mlango hawakuwa wameufunga nikafungua Geti
nikakimbia na kutokomea gizani. Huku nyuma nikisikia vilio pale getini. Kutokana na hizo purukushani kule ndani tayari watu walikuwa wameanza kuamka
wakitaharuki na kujihami kwa hayo mayowe.
Nikaondoka lile eneo mara moja na kuelekea maeneo ya stendi ya mabasi nikatafuta Gest ya hadhi ya kawaida nikalala. Asubuhi wale jamaa zangu kwa
kushirikiana na uongozi wa ile hotel walienda kuripoti polisi kuwa mimi ni jambazi na nimemuua mlinzi wa Hotel (kitu ambacho sikufanya), kisha kutokomea kusiko julikana. Basi siku hiyo hiyo nikiwa kwenye Mgahawa mmoja hivi, nilisikia taarifa ya habari ikisomwa kwa lugha ya kiingeleza ambacho nilikuwa naelewa, taarifa ilieleza kwamba kuna jambazi limevamia hoteli na kumuua mlinzi mmoja, yeyote atakae toa taarifa za kukamatwa
kwake zawadi nono itatolewa.

Baada ya hiyo habari nikaona Harare sio swari tena kwangu ilipofika usiku wa siku hiyo hiyo nikakodi taksi kutoka Harare kwenda boda ya Zimbabwe na Afrika ya kusini ambapo nakumbuka asubuhi mapema sana tukaondoka.
Tulikuwa tunatembea mwendo wa kasi sana ili ikiwezekana yule dereva arejee Harare siku hiyo hiyo, baada ya kutembea umbali wa zaidi ya Km 200 hivi tulisimama kuchimba dawa ilikuwa nisehemu ambayo ina kama mteremko
hivi kwa hivyo ilikuwa ni rahisi tu kuona nyuma nikaona Kwa mbali kuna gari ya polisi inakuja, nikabana porini kidogo. Nikiwa nimebana porini ile gari ya polisi ikaja kupita kwa mwendo kasi sana kwa kiasi fulani. Kutokana na uzoefu
wangu na matukio ya kipolisi nirihisi kitu fulani japo dereva alionekana anamtazamo wa kwamba ilikuwa ni safari ya kawaida tu ya wale polisi.

Tukarejea kwenye gari tukatembea kama Km 10 hivi nikaona nyuma yetu kuna gari nyingine ya polisi inakuja kwa kasi sana, nikamwambia yule deleva wangu asimame, kutokana na ukweli kwamba tayari nilikuwa nimeshajua mchezo
ambao polisi walikuwa wanajarimbu kuufanya punde tu baaada ya kusimama niliona ile gari ya polisi iliyotupita mara ya kwanza inakuja kwa kasi ya hatari
kutokea mbele yetu.
Baada ya kuona hivyo nikachukua kile kibegi changu kwenye gari kisha nikatokomea kwenye msitu mnene pembeni ya barabara nikakimbia kama umbali wa mita 20, kisha nikaanza kukimbia kuelekea mbele usawa wa barabara, nikawa nakimbia kuelekea mbele tulikokuwa tunaelekea baada ya kwenda
kama m 200 nikavuka upande wa pili wa barabara nilifanya hivyo makusudi
kwa sababu nilijua lazima polisi watakuwa wanaelekea mbele upande ule ni-
likokimbilia mwanzo bahati nzuri hawakuwa na mbwa wa polisi.
Baada ya kuvuka barabara sikuwa na haja tena ya kukimbia kwa sababu nilijua tayari nimeshawapoteza maboya. Nikatembea umbali wa Km zaidi ya 40 bila kukuta kijiji wala mji wowote nikahisi kwamba itakuwa naelekea sehemu
mbaya nikaanza kutembea kuelekea upande wa barabara kuu niliyoiacha.

Nikatembea umbali mrefu sana ikawa usiku na kwa bahati mbaya kulikuwa na wingu zito sana ambalo lilisababisha mvua kubwa sana inyeshe na kwa kuwa hapakuwa nyumba nikakaa chini ya mti mkubwa mvua ilikuwa kubwa sana,
nililowa sana na baridi ilikuwa kali sana.
Mvua iliendelea kunyesha bila kupungua kwa muda wa masaa matatu kwa hakika hali yangu ilianza kuwa mbaya mwili wangu ulianza kuzidiwa na baridi na mvua. Eneo nililokuwa ni moja ya maeneo yenye baridi kali kusini mwa Afrika.
Wale askari hawakufanikiwa hata kunisogelea kwa hivyo Ilipofika asubuhi
nikawa nimeendelea na safari yangu haikuchukua muda mrefu sana nikawa
nimetokeza barabarani yaani barabara kuu iendayo Afrika ya kusini. Haikupita muda mrefu ikaja pikipiki kubwa aina ya Baja nikasimamisha jamaa akasimama ingawa alisita sita kidogo, nikaomba usaifiri tukaelewana kisha nikapanda na kuanza safari.

Nikasafiri umbali wa kutosha ndipo tukafika boda ya Zimbabwe na Afrika ya kusini katika eneo linaloitwa Beitbridge karibu kabisa na mto Limpopo.
Nilipofika katika mji huu nilijisikia vizuri kwa sababu shauku yangu ya kufika katika nchi ya Afrika ya kusini ilikuwa inaanza kutimia, Border ya Beitbridge ni moja ya border ngumu kwa wahamiaji haramu kutokana na sehemu ya
kuvukia kuwa juu ya mto Limpopo. Wakati huo ilikuwa ni majira ya mvua za masika, kutokana na majira hayo mvua kunyesha kwa wingi mto Limpopo ulikuwa umejaa sana kwa hivyo ilikuwa si rahisi kuvuka boda kwa kupitia njia za uchochoroni, ilikuwa ni lazima uvuke kwenye daraja la pale Border, kutokana na historia ya Afrika kusini kuwa na changamoto nyingi za wahamiaji halamu, ulinzi muda wote umeimalishwa sana eneo lile, na kwa bahati mbaya nilizozitaja na kutokana na ugeni wangu sikuwa najua njia nyingine za panya
za kuvuka boda hivyo nililazimika kukaa kwenye ule mji kwa siku tatu, siku ya nne nikaamua kwenda kujaribu zari la kuvuka border kibandidubandindu
hivyo hivyo bila kufuata taratibu. Kwa bahati mbaya nilipofika tu border nikakamatwa na askari polisi wa inter
pole nilikamatwa kirahisi sana. Hii ilitokana na wale askali pale border kuwa na picha na taarifa zangu, walikuwa wana taarifa kuwa natafutwa na serikali za
mataifa manne yaani Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe.
Ilikuwa imeripotiwa kwamba Mimi ni jambazi na msafirishaji wa madawa ya kulevya hatari sana kutoka TZ, kwa hivyo baada ya kukamatwa tu wale
askari waliomba waongezewe nguvu na askari wa kikosi maalumu kutoka pale
Border Zimbabwe walifika mara moja.
Nikawekwa chini ya uinzi mkali kiasi kwamba sikuruhusiwa hata kugeuka nyuma wala pembeni, tukio hilo liliniumiza sana kwasababu niliona nakamatwa katika boda ya nchi ambayo nimeipigania kwa moyo wangu wote kiasi kile
wakati tayari ardhi yake naiona upande wa pili tu wa boda, pia nilijua kwa mtu kama mimi ni ngumu sana kusafiri kutoka Tanzania na kufika ile Boda, nika-
jisemea moyoni kwamba hapana sitakubali.

Itaendelea.
Safi Sana Tena wew ndio unajuwa kushusha vzr
 
Hii story ni chai iliyojaa tangawizi ya kutosha.Huyu muandishi hana weledi, tungo yake imejaa maswali Kama yote.Me nimeishia pale walipopata ajali askari wote wakafa wahalifu wakapona.
 
SAFARI YA KUZAMIA AFRIKA YA KUSINI KWA NJIA ZA PANYA.

Sehemu ya sita.


Tukaendelea
kushambulia kwa nguvu huku tukiwa na matumaini kwamba labda wenzetu
watarudi, tukapambana kama dk 15 hivi huku tukiwa tumefika ziwani kabisa yule mwenzangu akachukua risasi za kifuani akafa. Sasa nikabaki mwenyewe mashambulizi yote yakaelekezwa kwangu. Nilipoona hali inazidi kuwa mbaya na jamaa
wamesogea sana, nikajitosa ziwani na kuanza kutokomea ndani.

Baada ya kujitosa ziwani nilizama chini kabisa hadi kwenye mchanga wa ziwa Tanganyika katika kina kirefu kabisa, nikiwa kule chini mashambulizi yaliendelea risasi ziliendelea kupigwa ndio mana nilizama hadi chini kabisa, yale mafunzo niliyoyapata kule
Kongo yalinisaidia sana katika mkasa huu.
Baada ya muda wa kama dakika moja hivi waliacha kunishambulia walikuwa wanasubiri ama niibuke nikiwa nimekufa au mzima. Walijua kwa vovyote nitaibuka tu kwani binadamu hana uwezo wa kukaa ndani ya maji kwa muda mrefu. Walikuwa wamejidanganya wakati huo nilikuwa na uwezo wa kukaa ndani ya maji kwenye kina nikiwa nimezama kati ya dakika 10 hivi bila shida yoyote.
Wakati wanasubiri niibuke, niliendelea kupiga mbizi kutokomea ndani ya ziwa zaidi. Nilipofika umbali wa mita 500, niliibuka nikawaona kwa mbali wameelekeza mitutu ya silaha/bunduki zao ziwani. Kutokana na umbali niliokuwa
hawakuweza kuniona, mbele yangu kulikuwa na kisiwa ambacho huitwa Mada Kelenge nikaanza kukitafuta taratibu huku nikiwa naogele kwa tahadhari.

Wakati wote huo zile pesa tulizopola na wenzangu nilikuwa nimezifunga
kwenye mfuko wa Rambo na kisha kuzifunga kiunoni zilikuwa salama kabisa mahali hapo. Niliendelea kukisogelea kisiwa taratibu, wakati nakaribia kile kisiwa niliona boti ya kijeshi inakuja upande wangu nikajua kazi bado haijakwisha, walikuwa wanajeshi. Kwa hivyo ndio wakaanza kuniandama kwa kuwa nilijua natetea maisha yangu. Kwa mara nyingine huku nikiwa najua kwa kuwa wanajua nina silaha wakinikuta hawatahitaji kunikamata nikiwa hai, nitapigwa risasi nibaki mzoga wa samaki.

Nikaapa kuwa nitayatetea maisha yangu kwa hali na mali kwa hivyo niligeuka
nikaanza kuogelea huku nimelala chali, niliendelea kwenda mbele bahati nzuri wakawa wamepita pembeni yangu nilihisi itakuwa walikuwa hawajaniona lakini pia hawakutegeme kama mtu wa kawaida anaweza kuogelea umbali ule. Wale askari walienda moja kwa moja hadi kisiwani upande ambao ilikuwa
ndio wa kuingilia. Kwa hivyo nikajua kama na mimi nitaelekea huo usawa nitakamatwa au nitauawawa, kwa hivyo nilichokifanya nikakizunguka kisiwa hadi upande wa pili, nikafika kwenye ufukwe wa kisiwa nikatoka majini nikakutana
na pori kubwa sana nikatembea kama mita 70 hivi nikakaa sehemu juu ya jiwe nikapumzika pale kama masaa 2.

Baada ya kupumzika nikakata shauri nisiendelee kukaa pale kwa sababu wanaweza kuzunguka upande wapili wa kisiwa, pia nikaona nikienda kisiwani
sehemu ya watu, kwa vyovyote vile itakuwa serikali ya kijiji imesha julishwa kuhusiana na mimi. Kwa hivyo nikaamua kurejea ziwani nikiwa naelekea katika kisiwa cha jirani ambacho kinaitwa Manda Udwire, nilipoogelea umbali wa
kama km 2 hivi nikaona mtubwi ukiwa na watu wawili unakuja upande wangu. Nikatupa bunduki majini ili wakifika wasione kama mimi ni mtu mbaya. Baada
ya muda wale jamaa wakafika walikuwa vijana wadogo, wakanibeba wakaniuliza nakwenda wapi, nikawambia wanipeleke kijiji cha Kipili sehemu ambayo
Meli ya MV Liemba huwa inasimama kuna bandari ndogo pale, ambayo hutumika kupakia watu na mizigo.

Vijana walinipeleka hadi sehemu niliyokuwa na-
taka kupelekwa wakanishushia pembeni kidogo na kijiji, nikawapa Tsh 10,000
wakanishukuru wakaondoka wakaendelea na safari yao ambayo ilikuwa ni
kwenda kijiji cha Karungu. Kwa kuwa hawakuwa wakazi wa kijiji cha Kipili sikupata wasi wasi wa kunichoma kwa hivyo nikatembea hadi porini. Njaa ilikuwa imeuma Sana kwani
hadi muda huo nilikuwa na zaidi ya masaa 24 bila kula kitu chochote na nikiwa nimepitia suruba za kutisha majini nan chi kavu. Sikutaka kuingia kijijini mchana na kwa bahati pia Meli ya MV Liemba ilikuwa inapita siku hiyo hiyo majira ya saa nne usiku.

Sikuwa na uhakika kama kwa muda huo naweza kufuatiliwa na askari polisi, nikahisi bila shaka watakuwa wanadhani waliniua pale wakati wananiminia risasi. Kwa hivyo nikakaa pale porini hadi majira ya saa moja jioni kisha nikaanza kutembea kuelekea kijijini. Nikafika sehemu ya kupandia meli majira ya saa mbili usiku ikiwa kumebaki masaa mawili tu meli ifike. Muda ulipofika, Meli ikawa imefika na kwa kweli sikupata kizuizi chochote nikapanda Meli na hata
nilipofika ndani ya Meli askari wa kule ndani hawakuwa na habali wala dalili za kunifuatilia ilikuwa ni safari salama sana. Hivyo ndivyo nilivyopona kikakamavu kabisa kutoka katika mikono ya askari
wa jeshi, pia ndivyo nilivyojikuta nimeachana na wale maharamia wa Kongo ambao walikuwa wamenifanya muharifu wa kimataifa katika nchi kavu na majini. Hadi naachana nao nilikuwa naweza kutumia silaha za kivita kama mwanajeshi aliefunzwa vizuri. Kwa hivyo kwa kiasi fulani hawa kuniacha vibaya sana kwani waliniachia ujuzi japo ni ujuzi ambao jamii inaupiga vita, nilikuwa nimetoka kuwa mvuvi na kuwa komandoo wa kivita katika uwanja wa
kimapigano, bahati nyingine huja wakati huihitaji hiyo bahati.
Baada ya safari ya masaa mengi sana ya kutosha, hatimae tulifika katika mji wa Mpurungu. Kutokana na uzoefu wangu wa kwenye mipaka baada ya meli
kutia nanga ili kukwepa masuala ya uhamiaji kama passport na mengineyo nilitumia ujanja wangu nikavuka vizuizi na nikafanikiwa kuingia ndani ya mji
wa Mpulungu nchini Zambia bila tabu yoyote.

Mpango wangu ulikuwa umeiva; nilikuwa nimeamua kwa dhati ya moyo wangu kuianza safari ya kwenda afrika ya kusini kwa mara nyingine lakini, safari
hii kwa njia ya kutokea ziwa Tanganyika njia mbayo niliwahi kushauliwa na
rafiki yangu wa sumbawanga ndugu Edward Mizimu wakati ule naianza safari
ya kwanza. Tofauti na safari ya kipindi kile ni kwamba Walau safari hii nilikuwa na pesa
zaidi ya million 12, kwa kuwa nilishawahi kuwa na mamilioni yale yaliyopukutika kimaajabu kwa hivyo pesa nilikuwa na uzoefu nazo. Ili kuepuka kuwa na
mabunda makubwa nikachenji pesa zangu zote kuwa Dollar za marekani. Pia
nilichenji kwacha kiasi kwa ajiri ya matumizi nikiwa katika nchi ya Zambia. Nilikaa pale Mpulungu kwa siku nne lengo ikiwa ni kupata mapumziko ya
kutosha baada ya kukikwepa kifo na tabu nyingi. Siku ya nne nilisafiri hadi mji
wa Kasama sehemu ambayo ni mji mkuu wa jimbo la kaskazini nchini Zambia.

Nikakaa siku moja kesho yake usiku wa saa mbili nikapanda Treni ya TAZARA kuelekea Kapiri Mposhi, safari hii nilikuwa nimeamua kutumia njia ya Treni ili
kupunguza vikwazo vya polisi. Nilifika Kapiri mposhi kesho yake mchana kwa kuwa mji huo haupo mbali sana na Mkushi sehemu ambayo kulikuwa na jarada langu la uhalifu niliondoka kwenye huo mji usiku ule ule sikupata kikwazo chochote hadi pale. Safari hii nilikuwa na kibali cha kusafiri ndani ya Zambia ambacho nilikipata pale Mpurungu baada ya kutoa pesa kidogo kwa maafisa wa uhamiaji.

Kwa hivyo nilisafiri siku hiyo hiyo hadi Lusaka na kutokana na kutokuwa na historia nzuri na mji wa Lusaka niliamua kuondoka usiku huo huo kutoka mji wa Lusaka kwa gari ya kukodi hadi Livingstone mji ambao upo karibu kabisa
na boda ya Zimbabwe na Zambia. Baada ya kufika pale nikapumzika Kama siku mbili huku nasoma ramani ya namna ya kusogelea boda. Siku ya tatu nilifanya safari fupi hadi katika mji wa
Chirundu sehemu ambapo ndipo ilipo boda ya Zambia na Zimbabwe. Nikavuka boda kwa njia ya miguu hadi upande wa Zimbabwe, nilifanya hivyo ili nipandie gari upande wa kule kwa sababu Zimbabwe na Zambia hazitofautiani
sana kwenye masuala ya uhamiaji wanakuwa wagumu sana ukilinganisha na
Tanzania

Baada ya kuvuka boda nilipanda mabasi ya kuelekea Halale Zimbabwe. Kama kawaida yangu kuanzia hapo sikuwa na passport wala nyaraka
yoyote ya kuharalisha safari yangu. Safari ilikuwa haina vikwazo vyovyote hadi hatua hiyo. Hata hivyo baada ya kusafiri umbali wa zaidi ya KM 350 hivi, changamoto za safari zilianza. Nakumbuka tulipata bleck down ya gari ambapo sehemu ya injini ilipata hitirafu ambayo ilibidi tushindwe kuendelea na safari tulikaa pale kama DK 20
hivi. Ikaja gari moja kali V8, ikasimama kwa lengo la kutusaidia. Watu walio kuwa kwenye hiyo gari waliposhuka niliwafahamu bila wasiwasi kuwa ni wale
jamaa tuliokamatwa nao kwenye issue ya madawa ya kulevya kule Malawi na wao pia walinitambua vizuri kabisa. Wakashuka wakiwa kama na furaha hivi ya kufahamiana na mimi, japo kwa kweli ni furaha ya mashaka.
Tulisalimiana na kisha mmoja akaja kuongea na mimi na wengine wakawa wanaongea na abiria wengine, aliekuwa anaongea na mimi ni mkuu wao, alikuwa
amenitoa pembeni kidogo,baada ya mazungumuzo kadhaa aliniambia inabidi
niondoke nao, kwani bosi wao bado ananihitaji sana kwenye shughuli zake.

Akasema tunakwenda Halale kuna mzigo wanaufuata kisha tutarejea Chikankata Mission kwenye maskani yao. Kwa kuwa na mimi shida yangu ilikuwa nikufika Harare na nilikuwa najiamini
sana kutokana na yale mafunzo ya kule Kongo Mashariki nikakubali nikiwa nimepanga kwamba tukifika Harare nitawatoroka. Safari ikaanza kuelekea Harare kulikuwa na faida ya kupanda gari yao kwa sababu hakukuwa na urahisi wa kusumbuliwa na migration wala polisi njiani kutokana na mtandao wao na
hadhi ta Gari yenyewe ambayo sio rahisi sana kusimamishwa na askali wa doria wala wa barabarani.Tuliendelea na safari salama hadi tukafika Halale ambapo ilibidi tulale ili
kupokea mzigo kesho yake asubuhi ambao ulikuwa unasafirishwa kutoka Darban Afrika ya Kusini. Tulifikia kwenye hotel nzuri ya Nyota tano na kila mtu
alikuwa na chumba chake. Kwa kuwa nilijua kuwa asubuhi itabidi tuondoke usiku ule ule nilianza mikakati ya kutoroka kwenye ile hotel, haikuwa rahisi
kutokana na wale jamaa zangu kuniwekea ulinzi wa siri, hawa jamaa bado walikuwa hawaniamini sana kwa hivyo waliongea na walinzi wa ile hotel wahakikishe sitoki nikiwa peke yangu.

Kwa bahati nzuri kulingana na uzoefu wangu ambao nilikuwa nimeupata wa
kimafia nilikuwa najua kinachoendelea. Kwa hiyo, baada ya chakula cha usiku nikawaaga wale jamaa kuwa naenda kulala. Wakanifuatilia hadi ‘room’ kwangu, wakahakikisha nimeingia chumbani na kulala.
Hawakuwa wanajua kuwa wanashugulika na mtu hatari sana ambae ameshapitia mafunzo ya uharamia na ujambanzi wa kutumia silaha majini na nchi kavu, pia hawakujua kwamba mimi ni miongoni mwa binadamu wachache
wanaoishi, ambao wameshapambana na askari nchi kavu na majini, na zaidi
hawakujua kuwa hata wanyama wakali wa mwituni nimeshapambana nao na kuwashinda. Nilikuwa nawahurumia sana hawa jamaa, kwani walijua Mimi ni yule yule niliyeachana nao miezi tisa iliyopita kule Malawi kimaajabu.

Nilipofika chubani kwangu sikulala, nilianza moja kwa moja kuchora raketi ya namna ya kutoka pale. Nikachungulia nje, nilikuwa ghorofa ya nne juu sana,
na hivyo njia ya kuruka haikufaa. Kushuka kwa ngazi pia haikufaa kutokana na
baadhi ya korido kupita karibu na vyumba vya wale jamaa zangu.
Wakati nawaza bahati nzuri niliona njia ya kuelekea juu sehemu ya paa la hoteli. Kwa hivyo Ilipofika saa 8 usiku, nikachukua vitu vyangu nikatoka mle ndani,
nikapandisha ngazi hadi juu kwenye matanki ya maji ya hoteli ilikuwa ni juu kabisa kwenye paa la hotel. Nikashuka kwa ngazi za kupitia nje hadi chini salama na rahisi sana. Sasa kazi iliyokuwa imebaki mbele yangu ilikuwa namna
ya kutoka pale getini sehemu ambayo ilikuwa na walinzi wawili.

Sikuchagua njia ya kuruka ukuta kwa sababu ilikuwa juu sana na ukuta uliunganishwa na
umeme.Nikasogea kwa kunyatia hadi pale getini wakati nafika tu tayari wale walinzi wakawa wameshashtuka mmoja hakusubiri maelezo alirusha mshale, lakini ulinikosa kwa bahati. Kwa hivyo, akakimbia kuufuata kuuokota. Wakati anakwenda kuokota, wakati huo mlinzi mwenzie alikuwa kama kachanganyikiwa asijue nini cha kufanya, nahisi labda hakuwa mzoefu wa kazi. Mlango hawakuwa wameufunga nikafungua Geti
nikakimbia na kutokomea gizani. Huku nyuma nikisikia vilio pale getini. Kutokana na hizo purukushani kule ndani tayari watu walikuwa wameanza kuamka
wakitaharuki na kujihami kwa hayo mayowe.
Nikaondoka lile eneo mara moja na kuelekea maeneo ya stendi ya mabasi nikatafuta Gest ya hadhi ya kawaida nikalala. Asubuhi wale jamaa zangu kwa
kushirikiana na uongozi wa ile hotel walienda kuripoti polisi kuwa mimi ni jambazi na nimemuua mlinzi wa Hotel (kitu ambacho sikufanya), kisha kutokomea kusiko julikana. Basi siku hiyo hiyo nikiwa kwenye Mgahawa mmoja hivi, nilisikia taarifa ya habari ikisomwa kwa lugha ya kiingeleza ambacho nilikuwa naelewa, taarifa ilieleza kwamba kuna jambazi limevamia hoteli na kumuua mlinzi mmoja, yeyote atakae toa taarifa za kukamatwa
kwake zawadi nono itatolewa.

Baada ya hiyo habari nikaona Harare sio swari tena kwangu ilipofika usiku wa siku hiyo hiyo nikakodi taksi kutoka Harare kwenda boda ya Zimbabwe na Afrika ya kusini ambapo nakumbuka asubuhi mapema sana tukaondoka.
Tulikuwa tunatembea mwendo wa kasi sana ili ikiwezekana yule dereva arejee Harare siku hiyo hiyo, baada ya kutembea umbali wa zaidi ya Km 200 hivi tulisimama kuchimba dawa ilikuwa nisehemu ambayo ina kama mteremko
hivi kwa hivyo ilikuwa ni rahisi tu kuona nyuma nikaona Kwa mbali kuna gari ya polisi inakuja, nikabana porini kidogo. Nikiwa nimebana porini ile gari ya polisi ikaja kupita kwa mwendo kasi sana kwa kiasi fulani. Kutokana na uzoefu
wangu na matukio ya kipolisi nirihisi kitu fulani japo dereva alionekana anamtazamo wa kwamba ilikuwa ni safari ya kawaida tu ya wale polisi.

Tukarejea kwenye gari tukatembea kama Km 10 hivi nikaona nyuma yetu kuna gari nyingine ya polisi inakuja kwa kasi sana, nikamwambia yule deleva wangu asimame, kutokana na ukweli kwamba tayari nilikuwa nimeshajua mchezo
ambao polisi walikuwa wanajarimbu kuufanya punde tu baaada ya kusimama niliona ile gari ya polisi iliyotupita mara ya kwanza inakuja kwa kasi ya hatari
kutokea mbele yetu.
Baada ya kuona hivyo nikachukua kile kibegi changu kwenye gari kisha nikatokomea kwenye msitu mnene pembeni ya barabara nikakimbia kama umbali wa mita 20, kisha nikaanza kukimbia kuelekea mbele usawa wa barabara, nikawa nakimbia kuelekea mbele tulikokuwa tunaelekea baada ya kwenda
kama m 200 nikavuka upande wa pili wa barabara nilifanya hivyo makusudi
kwa sababu nilijua lazima polisi watakuwa wanaelekea mbele upande ule ni-
likokimbilia mwanzo bahati nzuri hawakuwa na mbwa wa polisi.
Baada ya kuvuka barabara sikuwa na haja tena ya kukimbia kwa sababu nilijua tayari nimeshawapoteza maboya. Nikatembea umbali wa Km zaidi ya 40 bila kukuta kijiji wala mji wowote nikahisi kwamba itakuwa naelekea sehemu
mbaya nikaanza kutembea kuelekea upande wa barabara kuu niliyoiacha.

Nikatembea umbali mrefu sana ikawa usiku na kwa bahati mbaya kulikuwa na wingu zito sana ambalo lilisababisha mvua kubwa sana inyeshe na kwa kuwa hapakuwa nyumba nikakaa chini ya mti mkubwa mvua ilikuwa kubwa sana,
nililowa sana na baridi ilikuwa kali sana.
Mvua iliendelea kunyesha bila kupungua kwa muda wa masaa matatu kwa hakika hali yangu ilianza kuwa mbaya mwili wangu ulianza kuzidiwa na baridi na mvua. Eneo nililokuwa ni moja ya maeneo yenye baridi kali kusini mwa Afrika.
Wale askari hawakufanikiwa hata kunisogelea kwa hivyo Ilipofika asubuhi
nikawa nimeendelea na safari yangu haikuchukua muda mrefu sana nikawa
nimetokeza barabarani yaani barabara kuu iendayo Afrika ya kusini. Haikupita muda mrefu ikaja pikipiki kubwa aina ya Baja nikasimamisha jamaa akasimama ingawa alisita sita kidogo, nikaomba usaifiri tukaelewana kisha nikapanda na kuanza safari.

Nikasafiri umbali wa kutosha ndipo tukafika boda ya Zimbabwe na Afrika ya kusini katika eneo linaloitwa Beitbridge karibu kabisa na mto Limpopo.
Nilipofika katika mji huu nilijisikia vizuri kwa sababu shauku yangu ya kufika katika nchi ya Afrika ya kusini ilikuwa inaanza kutimia, Border ya Beitbridge ni moja ya border ngumu kwa wahamiaji haramu kutokana na sehemu ya
kuvukia kuwa juu ya mto Limpopo. Wakati huo ilikuwa ni majira ya mvua za masika, kutokana na majira hayo mvua kunyesha kwa wingi mto Limpopo ulikuwa umejaa sana kwa hivyo ilikuwa si rahisi kuvuka boda kwa kupitia njia za uchochoroni, ilikuwa ni lazima uvuke kwenye daraja la pale Border, kutokana na historia ya Afrika kusini kuwa na changamoto nyingi za wahamiaji halamu, ulinzi muda wote umeimalishwa sana eneo lile, na kwa bahati mbaya nilizozitaja na kutokana na ugeni wangu sikuwa najua njia nyingine za panya
za kuvuka boda hivyo nililazimika kukaa kwenye ule mji kwa siku tatu, siku ya nne nikaamua kwenda kujaribu zari la kuvuka border kibandidubandindu
hivyo hivyo bila kufuata taratibu. Kwa bahati mbaya nilipofika tu border nikakamatwa na askari polisi wa inter
pole nilikamatwa kirahisi sana. Hii ilitokana na wale askali pale border kuwa na picha na taarifa zangu, walikuwa wana taarifa kuwa natafutwa na serikali za
mataifa manne yaani Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe.
Ilikuwa imeripotiwa kwamba Mimi ni jambazi na msafirishaji wa madawa ya kulevya hatari sana kutoka TZ, kwa hivyo baada ya kukamatwa tu wale
askari waliomba waongezewe nguvu na askari wa kikosi maalumu kutoka pale
Border Zimbabwe walifika mara moja.
Nikawekwa chini ya uinzi mkali kiasi kwamba sikuruhusiwa hata kugeuka nyuma wala pembeni, tukio hilo liliniumiza sana kwasababu niliona nakamatwa katika boda ya nchi ambayo nimeipigania kwa moyo wangu wote kiasi kile
wakati tayari ardhi yake naiona upande wa pili tu wa boda, pia nilijua kwa mtu kama mimi ni ngumu sana kusafiri kutoka Tanzania na kufika ile Boda, nika-
jisemea moyoni kwamba hapana sitakubali.

Itaendelea.
Sio mchezo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom