Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

huo ndo mpango mzima mkuu! but nafikiri wanawake hawaipendi hii coz unawanyima utamu wa ile kitu ikitoka! hii ipo applicabo kwa she unayemwamini koz utakuwa kavu kavu mkuu!

Madam likes it bwana.....
 
haaaa,
tubadilishane mawazo, binafi nna miaka 31....
cjaoa na thina mtoto.....

tafadhali,
katika mahusiano niko makini kutumia hii njia, nakojoa shahawa zangu nje!!!

wakati nasoma, nilishawahi kuwa na gf akawa linakuja kukaa wiki kadhaa lakin hii njia ilinisaidia, haadi naachana nae cna taabu na mimba.....

yaani ilifika hatua nikifikiria kukojoa ndani naona kero, ciwez kabisa!!

anyway, itanilazmu kufanya hvo mwaka nitapopata mke wa kuoa au nikioa....

maswali!!

1. kuna wanaume wenzangu mnaitumia hii njia? ingawa naona walio wengi wanashindwa. marafiki zangu nikiwahamasisha hawataki kabisaa.

2. vp wanadada, mnajisikiaje jamaa akichomoa na kuweka maji njee.

binafsi nilijifunzia hii mikanda ya X, enzi zile nipo boys high school!!!

ina maana wewe hutumii kondom kabisa? jiangalie kijana bado mdogo sana, acha kumuingiza nyoka wako kwenye mashimo hovyo hovyo
 
naanza kutumia soon,mpenzi wangu karidhia.

Wewe unadhani zoezi hilo ni rahisi eeeehhh, shauri yako. Inahitaji umakini mkubwa sana vinginevyo unaweza ukashtukia unachomoa wakati uji wote umemwagikia ndani. Isitoshe njia hii ikitumika muda mrefu inaweza kusababisha mtindio wa akili. Mimi nilijaribu mara kadhaa lakini baadaye niliachana nayo.
 
Mpango mzimaaaa
kaka umenigusa sana.Binafsi nina kadem kangu tangu kapo fom1 mpaka sa hv kanaingia f6 cjawah kukamwagia ndan coz naona ni kumtaftia matatzo na kama nsingekuwa nafanya hvo sa hvi cku nying ana mtoto na angekatsha masomo.Ni ngumu kuifanya but kwa tulio wachache inatusaidia kuepuka kuzaa na watu tusiowahtaj in future.Big up mkuu endeleza libeneke

wewe doyi, haufai kabisa, umenitia uchungu mno. mimi nilikuwa mwalimu huko tanzania, watu kama wewe wenye tabia ya kupenda kutombatomba watoto wetu wa shule na wachukia sana, NG'OMBE WE
 
Najua wadada lazma upinge hii k2.....
kuna utam flan mnamis!""

Mkuu Pasco, hapo mie sijazungumzia lolote kuhusu kumiss utamu wala nini. Nime imagine ni kwa kiasi gani kama wapenzi wakiiipa hii njia kipaumbele wako katika hatari kubwa ya kupata maambukizo ya magonjwa ya zinaa na ukimwi kwa ujumla.
 
Mimi naunga mkona itumike km njia mojawapo ya kupanga uzazi kwa wanandoa na hii mara nyingi inafuatana na kalenda za mzunguko wa hedhi.
 
karibuni kwenye ukurasa huuu mpya tujadili na kuongelea kwa undani zaidi
kuhusu njia zinazoweza kutumiwa na wanawake, wasichana kuzuia ujauzito. Karibuni sana.

Nilitaka kusema njia zitumikazo kwa uzazi wa mpango. Ila kuna wengi wengineo
ambao wako single kwa uchaguzi wao wa maisha, wanasubiri kuolewa, wako masomoni etc.
Kwa hiyo nikaona "uzazi wa mpango" si sahihi kutumia sababu bado hawajafikia kupanga uzazi. ..

Anyway kama wote tujuavyo njia bora kuzuia ujauzito ni moja tu kutokufanya sex(mapenzi)
ila njia hii ni wachache sana tena sana wanaoifuata. Ndio nikaona nianzishe uzi huu tujuzane na kufundishana
njia nyingine nyingi, na zipi za kutumia na kwa muda gani na ni nini madhara ya njia hizo za kuzuia ujauzito.

1. condom.
Condom ni njia ya kwanza kabisa ninayoipendekeza kama sote tujuavyo inasaidia kuzuia
maambukizo ya virusi na pia kuzuia ujauzito. Ni vema kujifunza jinsi ya kutumia condom.
Ni rahisi sana kutumia condomo za kiume , pia ni rahisi sana kutumia condom za kike .
080000-female-condom.jpg
female condoms. (tuta ongelea zaidi kuhusu hili as we go on )

2.emergency contraception. Or ( morning after pill)
hivi ni vidonge ambavyo vinatakiwa kuchukuliwa massa 72 . Baada ya kufanya sex bila protection ya aina ye yote. Ila ni vema kuchukua mapema zaidi. Wengi hupendekeza kuchukua ndani ya masaa 24 baada ya sex.. Hii ni back up system kama condom ikibasti, umesahau kuchukua vidongo. Na zaidi ni kwa wale waliolzamishwa kufanya tendo la ndoa bila ihari yao, au kama unawasiwasi u mjamzito na hauko tayari . Huwa inapatika kwenye maduka ya dawa baridi. Na inategemea ni muda gani umepita tangu umefanye sex. Kama ni ndani ya masaa kumi na mbili huwa unapewa kidonge kimoja tu basi .

3. Vidonge
kuna aina nyingi ya vidonge vya uzazi wa mpango . Vidonge hivi unatakiwa kuchukua kila siku kama ulivyoa agizwa
na doctor . Vidonge huwa havifanyi kazi kama umetapika tu baadaya kuchukua au kama una diarrhea. Vidonge pia vina
side effects mfano, kuongeza uzito, kuumwa na kichwa , na wengine huvimba matiti. Vidonge vina athari tofauti kwa
kila mtu.

4.depo- provera ( injection )
kama hutaki usumbufu wa vidongo , injection ni njia nyingine unaoweza kutumia. Injection inazuia ujauzito
kwa miezi mitatu . Kila baada ya miezi mitatu unatakiwa kupata dozi tena.( kwa hiyo mara nne kwa mwaka) . Injection
ina side effects pia, period huwa chache na nyepesi sana na baada ya kutumia injection kwa mwaka waeza usione tena period yako. Na kuna wengine ni kinyume kabisa nikimaanisa wanakuwa na period nzito lakini inatoka kama nukta , nukta , haiko mfululizo.haya yote hutoka na vitu kama uzito wa mwili pamoja na lishe .


5.diaphragm/ cervical cup
hii ni njia nyingine ya kuzuia ujauzito . Lazima iwe saizi yako . Maana ikiwa kubwa au ndogo haitafanya kazi. Kwa hiyo
doctor atakaye kupa hii atakueleza maelezo yote jinsi ya kutumia . Nieleze kidogo jinsi ya kutumia huwa inakuja na na gelly
inayoitwa spermicide. Hiyo unaweka kuzungungukana na pia katikati ya diaphragm au cervical cup, baada ya hapo unaikandamiza iliupate shape ya
kama pembe nne . Unaingizaa ikulu kwa kutumia kidole au videle. Unaweza kuiweka masaa kadhaa kabla ya sex. Ila unatakiwa kuiacha hapo kwa masaa sita baada ya kujamiiana. Uzuri wa hii unatoa na kuiosha na kutumia tena na tena. Tatizo kubwa ya hii ni kuweka
inapotakiwa. Ila doctor atakaye prescribe hii atakupa instraction zote na pia atakuonyosha jinsi ya kuweka.
080000-diaphragm.jpg
hii ndiyo diaphragm. na hivi ndivyo inavyokaa.


6. Implants
hii njia huwa inatumia na wanawake wengi ambao hawataki kupata ujauzito kwa muda mrefu. Pia hutumiwa zaidi
na wanawake ambao hawataki usumbufu wa vidonge, diaphragm/cervical cup au injuctions. Inaonekana kama kama kijiti
kidogo sana cha plastiki. Huwa kinaweka chini ya nyama ya mkono "upper arm" ambapo ina release the contraceptive steroid .
Inazuia ujauzito kwa muda wa miaka mitatu mpaka mitano. Uzuri wa hii kitu unaeweza kuondolewa saa yeyote ukiamua kupata ujauzito. Side sffects, mzunguku utabadilka, kuongeza uzito etc.
health-061012-implanon.jpg
implanon/ implants.

7. Iud (intra-uterine device) or t shape.
hii ni kwa wale ambao hawataki kufunga kizazi au wale ambao hawana mpango wa kuwa na mwana kwa muda mrefu zaidi . Nikimaanisha kuanzia miaka mitano mpaka kumi na mbili . Hichi ni kitu ambacho kina t shape kinaweka ndani ya uterus huwa unawekewa na health-care professional kama ilivyo implants. Uzuri wa hii pia ni kama ya implants . Wanaweza kuiondoa muda wowote upendao. Ni vizuri kuangalia kila mara moja kwa mwezi kuona kama bado iko wima. Ni rahisi sana kuangalia. Kidole tu.
Huwa utahisi maumivu baada tu ya kuweka . Masaa machache baadaye hutahisi kitu , kawaida tu .






kama nilivyosema hapo mwanzoni njia bora ya kutokupata ujauzito ni kutokufanya sex. Lakini kwa dunia tunayoishi ni bora kupeana elimu kuliko ku protend kila mtu ni mtakatifu. Kuanzia njia ya pili mpaka ya saba haizuii maambukizo ya ukimwi bali mimba tu. Kwa hiyo unaweza kutumia condom pamoja na hizi contraceptives kwa pamoja..

Na nilitaka tu kuonyesha si lazima tu vidonge kuna njia nyingi nyinginezo za uzazi wa mpango pamoja na kuzuia ujauzito. Binafsi si
support abortion kabisa. Kwahiyo nasema ni bora ku zuia kuliko kutoa.

Asanteni na karibuni tena.
Afrodenzi

nimekusoma mkuu, nitarudia tena na tena ili kujiimarisha. Thx in advance
 
Na shukuru kwa ushauri wako mzuri .
Lakini kumbuka si lazima ndoa kufanya mapenzi na si wenye
ndoa tu ndo wanafamilia. Kwa kweli nimependa hapo ulipo pendekeza condom.
Ila kwa wale ambao wako kwenye relation na wamepima wako clean hawataki kutumia
condom nataka tu kuwaonyeshea kuna njia nyingine asante .. ..

condom noma sana, unakuwa kama umevaa mpira, inadunda. nakubaliana na wewe kuwa kama watu wako kwenye mahusiano, wamepima, condom ya nini kama unadunda mpira?
 
condom noma sana, unakuwa kama umevaa mpira, inadunda. nakubaliana na wewe kuwa kama watu wako kwenye mahusiano, wamepima, condom ya nini kama unadunda mpira?

Ntamaholo wewe noma,tafuta Strawbell ipo poa sana kama unapiga kavu vile
 
Wakuu salamuni.

Baada ya kusoma michango ya wadau mabalimbali katika uzi huu
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/207732-kwa-akinamama-tu-na-wababa-wazoefu.html, baada ya kutafuta na vyanzo vingine vya suala husika nje ya JF, ushauri msimamo na ushauri wangui ni huu hapa.

(I) Nawashukuru wote waliochangia, lakini pia niwashukuru zaidi walioshauri tusubiri mpaka atleast 2 months ndo tuanze kufahamiana na wife. Nawashukuru sana kwa ushauri huo.

(ii) Ni nyongeza ya kiimani juu ya suala husika.

Kwa mjibu wa BIBLIA, mwanamke aliyejifungua lazima akae hali ametenngwa kwa mda wa siku saba. Siku ya nane, kama amezaa mtoto mme, anatakiwa ampeleke kwa utakaso, atahiriwe nyama ya govi lake, baada ya hapo akae kwa mda wa siku 33 bila kufanya lolote wala kukutana na mwanamme.

Na kama ni mtoto wa kike, mwanamke anatakiwa akae hali ya kutengwa kwa wiki mbili, baada ya hapo ampeleke kutakaswa kisha akae bila kufanya chochote hasa kujamiana kwa mda wa siku 66. Haya yote yanapatikana WALAWI 12:1-10.

UZAZI WA MPANGO.

Kwa mjibu wa Biblia, njia za uzazi wa mpango tunazozitumia hivi leo, ni kukosoa njia aliyoianzisha MUNGU, kama unaamini. Hivyo, kwa muamini, ni mwiko kutumia uzazi wa mpango nje ya utaratibu wa MUNGU.

Iwapo mtu atakaa kwa mda wa siku zilizoamriwa kujitenga na mke/mme wake kwa mda ulioamriwa na MUNGU, mwanamke akawa ananyonyesha full time, basi homoni zinazowajibika kutengeneza mayai kwa ajili ya urutubishaji, zitaacha kazi hiyo na kujikita kutengeneza maziwa ya mtoto. Hivyo baada ya hapo, hakuna haja ya kutumia kondomu wala njia yoyote ile kwani MUNGU kesaha maliza hesabu zake tayari mpaka mtoto afikishe miaka miwili hadi mitatu.

Utata ulioopo ni kwa kizazi cha leo ambapo mama naye anawajibika kufanya kazi ili kuongeza lishe ya nyumbani, lakini kwa serikalini ndio maana hupewa likizo ya uzazi takribani siku 90 ili kuwezesha suala hilo kufanikiwa.

Mie nimeaacha kabisa, na najuta kwa nini sikufahamu suala hili mapema, hata hivyo najilaumu kwani yawezekana mazingira ya ndoa yangu ndiyo yaliyosababisha yote haya, kama ningehudhuria mafunzo ya ndoa kanisani yawezekana yasingenikuta haya.

Ebrania 13:4 "... ndoa na iheshimiwe na watu wote, na yawepo malazi safi kwa kuwa wazinzi na waasherati, atawahukumia adhabu....". Kwa mjibu wa andiko hili, ndiyo chanzo cha neno linalotumika KUBEMENDA. Kwamba iwapo mtu akifanya ngono nje ya ndoa yake, madhara ya ngono humpata mtoto aliyezaliwa, na kama hakutibiwa anaweza kufa.

Nawashukuruni sana.
 
Unataka kuacha kutumia uzazi wa mpango una uwezo wa kulea watoto 5-10? Mkeo akipata mimba wakati mtoto mliyenae hajafikisha hata mwaka mtafanyaje? Au ndo mtawahi Maria Stopes?Mkeo ana nguvu ya kuzaa kila mwaka?

Mungu alitupa akili ili tuweze kubuni mambo yanayoweza kutusaidia na sio tukae tu tukisema "kashatufanyia hesabu". Ingekua ni kweli usingekuta kuna watu wanapata mimba kabla hata vichanga vyao havijaacha kunyonya.
 
Ni majuzi nilikuwa hospital, niloyaona na niliyoyasikia yananipa wasiwasi mkubwa kwa hizi njia za kisasa za kuzuia mimba.
Wenye uelewa zaidi naombeni mnijuze,
 
  • Kuna vidonge vya majira vinamezwa kila siku na wanawake. Hapewi mpaka afanyiwe hormone assay.
  • Kuna IUCD za aina nyingi na hizi zinaingizwa ndani ya uterus. Kidogo ni salama.
  • Kuna implants ambazo anawekewa mwanamke chini ya ngozi. Hizi ni Long term.
  • Kuna shindano anadungwa mwanamke mara 1 kwa mwezi.
  • Kama amesha zaa watoto watatu mwanamke anaweza kufanyiwa tubul ligation. Anafungw felopian tubes. Relatively safe.
  • Mwanamume anaweza kufanyiwa minor operation ya kufungwa njia za mbegu ya kiume. safe lakini huwei kumtia mimba yeyote. Ni ipi uliyo sikia?
 
Ni majuzi nilikuwa hospital, niloyaona na niliyoyasikia yananipa wasiwasi mkubwa kwa hizi njia za kisasa za kuzuia mimba.
Wenye uelewa zaidi naombeni mnijuze,

Mdau kwa jinsi umeleta mada bila kufunguka vizuri inatuwia vigumu kujua ni njia ipi hasa unamaanisha au njia zote za uzazi wa mpango zimekupa wasiwasi na ni wasiwasi upi.Doctorz amezitaja njia za uzazi wa mpango vizuri.

Kwa kweli siyo njia zote za uzazi wa mpango zina madhara mwilini,na zingine zipo zenye effect mbaya ni vema mtumiaji akajua mapema aamue vizuri na si kuficha ukweli mtu akaja kushangaa yakimkuta bila kujua.Hata hivyo si lazima kila mama anayetumia lazima apate side effects hizi,kumbuka kila mtu ana hormone tofauti,na njia zile zenye effects ni zenye hormone ndani yake.

Njia za uzazi wa mpango zilizotengenezwa kwa hormone(hormonal method) hormone hizo ni progesterone au estrogen,njia hizo ni pamoja na contraceptive injection(sindano),contraceptive pills(vidonge),implants(kuwekewa njiti chini ya ngozi).hizi ndo mara nyingi hutumika japo zipo na zingine.

Madhara yake.
kuongezeka uzito kupita kiasi wengine wanakuwa wembamba kupita kiasi,kuvuja damu nyingi wakati wa hezi kuliko kawaida,kuvurugika kwa mentrual cycle/irregular menstrual cycle,kuwa at risk ya blood clot ambayo huja kusababisha matatizo ya moyo au heart attack,wengine kutoshika mimba kabisa nk.kumbuka kama nilivyosema zinatokana na hormone ambazo inaweza zisikubalike kwenye mwili wa mtumiaji na kusababisha haya.

Njia kama condom,calendar,withdrawal kumwaga mbebu nje ya uke, kama utaiweza kumwaga maji ya uzima chini, wewe mwenye sasa japo ni ngumu,tubal ligation(kukata na kufunga mirija ya kizazi cha mwanamke kuzuia mbegu na yai kukutana).vasectomy(kukata mrija unaosafirisha mbegu kutoka kwa mwanaume) hizi mbili zinahitaji upasuaji mdogo na wanafanyiwa watu ambao hawategemei kupata watoto tena.hizi madhara yake ni kidogo sana ama hakuna kabisa.
 
Back
Top Bottom