concrete15
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 882
- 323
kuchomoa dudu inaleta tabu sana,hasa mrembo anapokuwa kwenye harakati na kufika kileleni,nnakuwa nimemkatisha,vile vile mda mwingine unanogewa kwamba ntachomoa tu sekunde ijayo,kwa kweli binafsi hili jambo la uzazi wa mpango linanisumbua sana,daktari anakwambia hawezi kumshauri mtu atumie sindano/vidonge,anashauri kalenda ihusike,mtihani mwingine mrembo wangu hapendi kondom,inamuumiza na baada ya siku mbili anakojoa kwa maumivu.
Ni issue kiongozi tena mda mwingine anakwambia analia akisema toa nje huku kakushikilia huwezi toa. Ila calenda iko pouwa tatizo wanakuwa wanabadilika badilika leo sio kesho na kesho sio leo unaweza fuata vizuri ukashangaa imekamata tuu taaap. Ukitaka kujua kalenda ina risk kubwa sana kuna ambayo naitumia ya online ambayo nimeingiza details zote za mke wangu huko then na compare na yangu ya kichwani lazima kunakuwa na tofauti sasa hapo ndo kichwa kinaniuma na condom ndo hizo zingine mafuta ya reaction, nyingine bad smell hata mtu akioga baada ya muda harufu ya rubber tena:confused2::confused2::confused2::confused2::doh: