Asante AD,kwa kutujali wadada hasa wale ambao hawajapata fursa ya kupata elimu ya uzazi na namna ya kujikinga,
Kwa uhakika na usalama wa afya yako na kuepuka mimba zisizotarajiwa kwa wale masingo au wasio olewa ni kutumi CONDOM tu,una uhuru wa kumshauri mweza wako(mwanaume)avae yeye au uvae ww (Binti).
ujue wasichana wengi wakiwa kwenye mahusiano akili inapotea especially hv vitoto vya shule yeye anachoangalia ni mupenzi anamfurahia yupo radhi kufanya lolote mida ile ya mihemuko haya mambo ni magumu sana liizy.kuna kabinti nakaa nacho jirani kamemaliza form 4 juzi tulikuwa tunaongea mambo haya haya ya ngono na wanafunzi , nikwamwambia halafu wanaume wanawapenda nyie watoto wadogo maana hawatumii kondomu ,akaniambia akhaa sio mimi mimi wanaume wote wa kwangu lazima nitumie kondomu eeh nikamuuliza kwani wangapi mwenzangu akasema 5 tu ila nadhani ni zaidi kalivokaa just imagine 16 yrs na wanaume watanokwahiyo wewe uko kwaajili ya kumfurahisha mwanaume au kujilinda na kitu ambacho hutaki/huna uwezo nacho?na anapokichukia anakichukia kwa vigezo gani wakati sio yeye anaemeza?
Na je huyo asiependa hicho kidonge yuko tayari kupokea mimba na kulea mtoto?kama jibu ni ndio basi ana haki ya kukichukia, if not then he doesn't.
ujue kuna vitoto vinaanza kudandiwa from 12yrs hata 10 yaani unataka vitumie masindano na mavidonge jamani watumie tu condom mweeeh?????//
asante AD kwa somo............ wangetumia njia ya uzazi wa mpango ingepunguza idadi ya wasichana wanaokufa kwa utoaji mimba.
Afro, binafsi sioni how tunaweza kuongelea Njia za kutumiwa na WANAWAKE alafu tuweke condom, au coitus interruptus (nashkuru hujaiweka).
Kama unavojua (or baybe not) hawa awenzetu ni wazito sana kutoa ushirikiano kwenye amswala ya family planing. Kuna direct correlation kati ya education na uwezekano wa wanaume kutoa ushirikiano. Na kama unavo jua in our rural communities education ni mostly primary (when there is education, that is...)
So we are left with zile njia zinazo milikiwa na wanawake wenyewe. Kwanza hizo za pills mi sizipendi sababu unaweza kuzihitaji na ukawa huna ata that moment, au usahau. It happens. Alafu zina leta too much hormones imbalances zinazo ji-express kw amood swings, kuongeza uzito, kukosa usingizi etc. Kwa kweli sizipendi.
Diaphragm siipendi kwa namna yake ya kuwekwa "in situ". kwa kweli naona kama it is not very 'comfortable' kujiwekea diaphragm na zaidi kukaa nayo for so long. Hiyo inawafaa maybe people who don't live together. sasa kama mke wa mtu unaweka 4 pm so you can havee sex at 6 pm, then at 11pm you have sex, you cant remove it neither, tou keep it. asubuhi mapema mnapasha tena, you cant remove it. By the time unaitoa saa sita mchana unajiuliza kama ile spermicide haikuzidiwa nguvu maana baba alitoa double dose...
Injection nazo zina shida: they are not reversible for the period they are set for. kama ni 3 month, ni hivo hivo, no way to reverse. the same goes (to some extent) for implants. na pia zina mood swings ingawa sio nyingi kama za pills.
To me the one way ambayo haina side effect nyingi, ambayo mwanamke anamiliki reproductive capacity yake mwenyewe na ambae na ambayo unaweza kutoa at any time you want ni... IUD.
They also have side effect/ kuna zile za copper ambazo zinaongeza sana quantity of blood during period, na zile za plastic zinapunguza sana (na sometimes kupoteza for several month). Pia sababy ya kale ka uzi kanako kaa on the cervix kuna risk ya infection. But ukiwa msafi na ukiona adverse effect ya methods zingine naadhani it is still fine.
To me it is the best way.
Ndio watajijua sasa,
Au wakadake wale wasiokuwa na masharti(jero fasta)coz pale mwenye hela ndio anayefanya maamuzi yote.
ujue wasichana wengi wakiwa kwenye mahusiano akili inapotea especially hv vitoto vya shule yeye anachoangalia ni mupenzi anamfurahia yupo radhi kufanya lolote mida ile ya mihemuko haya mambo ni magumu sana liizy.kuna kabinti nakaa nacho jirani kamemaliza form 4 juzi tulikuwa tunaongea mambo haya haya ya ngono na wanafunzi , nikwamwambia halafu wanaume wanawapenda nyie watoto wadogo maana hawatumii kondomu ,akaniambia akhaa sio mimi mimi wanaume wote wa kwangu lazima nitumie kondomu eeh nikamuuliza kwani wangapi mwenzangu akasema 5 tu ila nadhani ni zaidi kalivokaa just imagine 16 yrs na wanaume watano
Nashukuru kwa kuongeza side effects za hizi contraceptives..
Na kama mimi na wewe tujuavyo ukiwa tayari au ukitaka ku chukua
any of them lazima huyo health professional ata kueleza kila kitu unachotaka kujua
iwe kizuri au kibaya. halafu unachagua kutoka hapo..
Nia yangu ni kuonyesha kwa wasiojua kuwa kuna vitu zaidi ya
vidonge tu . asante.
Ila sijui kwanini mimi huwa ninahisi watu wanajua ili wanapuuzia tu na kufanya makusudi kwamba hawajui au wamesahau....Sasa Smiley sindo maana elimu inakuwepo ama?
Wengi unaowaongelea hawajui madhara wanayoweza kupata kiundani. Hawadhani kwamba hata wao wanaweza kupata mimba. . na hata kama wakipata wanajua watatoa tu bila kujua kwamba kutoa mimba ni process inayoweza kumuathiri afya ya mtu kimwili na kiakili.Hawajui kwamba kutoa mimba kunaweza kusababisha mtu akapoteza maisha, akapata matatizo ya uzazi na hata kushindwa kuzaa huko mbeleni au kwamba anaweza akajikuta hata akili yake inaathirika pale atakapoangalia alichofanya kwa undani.
Mtu anapokua anajua madhara makubwa yanayoweza letwa na kujiachia tu (ngono zembe) inayofuatiwa na utoaji mimba lazima atajitahidi kua mwangalifu. Na ikiwa mtu atajitahidi kua mwangalifu basi hana budi kupata elimu aliyotoa Afro ili mwenyewe achague ipi inamfaa yeye. Kama sio mpenzi wa condom (maana wapo watu wa aina hii) basi atumie namna nyingine.
Huyo binti kwa namna anavyoonekana hawajui wanaume wala hajui ni hatari ya namna gani anayochezea...kama ambavyo hata wadada wakubwa wa vyuoni nao hawajui na ndio maana kila siku wanachoropoa vichanga. So ntaendelea kuungana na Afro kwa kutoa somo la bure (sio kulazimisha watu wafuate) ili wale wanaojielewa waepuke matatizo badala ya kuyafuata.
Kwa kweli elimu hii ni nzuri sana tatizo lilipo hata hizi hospitali tulizonazo hata ukienda hawakupi extra information unazopashwa kufahamu kuhusiana na uzazi wa mpango, sintoshangaa kama kuna baadhi ya watu wanaofanya kazi kwenye mahospitali hawajui hata jinsi ya kumuelezea mtu njia hizi pindi wanapoenda hospitali.
Nakumbuka kuna shirika moja ni NGO lilikuwa linahamasisha kweli uzazi wa mpango.
Sasa naona kama hiyo project nguvu zimepungua tunaweza kusema tatizo hili na haya yaliyozungumziwa hapa watu walioko vijijini wapewe zaidi elimu hii lakini pia hata hapa mijini kuna watu still elimu hii hawajaijua na wengine haifahamu kabisa well siwezi kulaumu Wizara ya Afya kwa kutokuwa na elimu endelevu kwenye suala hili lakini hata hivyo ni jukumu letu sote as much as i hate mtu kutoa mimba basi ni bora kati ya jinsia hizi mbili kuwepo na mazungumzo na mawasiliano ya mara kwa mara how to go about kabla hamjakutana kimwili au hata mkikutana ni njia gani mnakuwa mmejiwekea kuepuka na neno "Bahati Mbaya"
Ila sijui kwanini mimi huwa ninahisi watu wanajua ili wanapuuzia tu na kufanya makusudi kwamba hawajui au wamesahau....
Thanx love..aisee ngoja niongee na Invizibo aelete love button kwa ajili ya yetu wawili tu...halafu hebu fanya haraka uwahi kutoka kazini leo uje unipe hii elimu zaidiNakupeenda bure..
Hata like haitoshi eti LOVE batoniiii iko wapi ?
sante kwa point ulizotoa..
you are Great thinker..
Halafu umeongelea sehemu ambayo nilikuwa nimeisahau kuigusia huku mashuleni ni kweli mashuleni wanaongea kijuujuu tu na hawaelezei kiundani madhara pia kuna wengine huwa wanaona aibu hata kuwaelezea watoto wao madhara na hali halisi..bado tuna safari ndefu sana kufikia huko tunakotaka kufika..sasa kama mtu anasema wanaopata mimba mashuleni ni kiherehere chao unategemea niniFynest wangekua wanajua kiundani wasingethubutu kurisk maisha yao. Mashuleni hua wanasema tu kujaamiina kunasababisha mimba na sio madhara ya mimba wasiyoweza kuilea/itaka. Yani hua wanaishia kwenye kushika mimba na sio what might happen afterwards.
Halafu umeongelea sehemu ambayo nilikuwa nimeisahau kuigusia huku mashuleni ni kweli mashuleni wanaongea kijuujuu tu na hawaelezei kiundani madhara pia kuna wengine huwa wanaona aibu hata kuwaelezea watoto wao madhara na hali halisi..bado tuna safari ndefu sana kufikia huko tunakotaka kufika..sasa kama mtu anasema wanaopata mimba mashuleni ni kiherehere chao unategemea nini
Hivi mimba ina madhara?
Shida ni kwamba miradi ya k7upanga uzazi hazimilikiwi na serikali bali ni NGO, na kila NGO ina donnors wao. Malteser ipo funded na Malta, na order of Malta ndio vatica, kwa hiyo hawawezi kukubaliana na diaphragm ama IUD sababu kwa upande wa dini ni "waste". watapendekeza zaidi vidonge na sindano. sasa 7ukizingatia sindano zina gharama ya kuwalipa ma nesi wanaona ni bora kutumia vidonge.Kwa kweli elimu hii ni nzuri sana tatizo lilipo hata hizi hospitali tulizonazo hata ukienda hawakupi extra information unazopashwa kufahamu kuhusiana na uzazi wa mpango, sintoshangaa kama kuna baadhi ya watu wanaofanya kazi kwenye mahospitali hawajui hata jinsi ya kumuelezea mtu njia hizi pindi wanapoenda hospitali.
Nakumbuka kuna shirika moja ni NGO lilikuwa linahamasisha kweli uzazi wa mpango.
Sasa naona kama hiyo project nguvu zimepungua tunaweza kusema tatizo hili na haya yaliyozungumziwa hapa watu walioko vijijini wapewe zaidi elimu hii lakini pia hata hapa mijini kuna watu still elimu hii hawajaijua na wengine haifahamu kabisa well siwezi kulaumu Wizara ya Afya kwa kutokuwa na elimu endelevu kwenye suala hili lakini hata hivyo ni jukumu letu sote as much as i hate mtu kutoa mimba basi ni bora kati ya jinsia hizi mbili kuwepo na mazungumzo na mawasiliano ya mara kwa mara how to go about kabla hamjakutana kimwili au hata mkikutana ni njia gani mnakuwa mmejiwekea kuepuka na neno "Bahati Mbaya"
useful thread mydia... mi like this. LAKINI!!! Madaktari wengi huwa wanashauri sana wasichana ambao hawajapata watoto kutotumia hizi njia "au niseme ambao hawako ktk marriage". Kila njia ina athari zake kama nawe ulivyoainisha baadhi. Nyingine huwa zinakuja kusababisha usumbufu pale mhusika anapotaka kupata mtoto. I think Condom is best kwa wasiokuwa na ndoa.
Sio madhara kiafya ila madhara pale wanapopata ili hali hakutarajia, kwa wale ambao bado wako mashuleni bado ni tatizo hawana elimu ya kutoshaHivi mimba ina madhara?