Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

hii nzuri kama unapenda dry ila kama unatumia ndomu hata kwa dawa ndani mwanzo mwenga..
 

kumbe kale katoto hukahitaji in future? Duh!
 
chomoeni tu ila msiambukizane vvu na herpatitis B

napita tu, kuna mtu namtafuta.
 
hahahaaaa iyo wanaweza wanaume wenyenguvu zao,mana wengne kidogo tu wako hoi namaucngz atatoa sangap
 
Ofkoz ndio njia ninayoitumia almost two for years.....ila mama watoto nowdays anadai anamiss mtekenyo wa volcanic eruption...but ni safe kwa uzazi wa mpango ukiitumia vizuri..
 
ushawahi kata gogo pembeni ya tundu la choo???
Mi namwaga ndani,ishu ya mtoto tutajua baadaye coz mpaka imefika stage nafanya naye unprotected sex it means namwamini na nipo tayari kuwa naye na kulea mtoto
point mkuu.
 
mi nadhani we need to do research on that area tuone manake inaonekana inawashabiki wengi mi naitumia pia
 
Hapa mnajidanganya ndugu, msije mkajikuta mnakana damu zenu. Tumieni google basi,kha! Pre-ejaculation, ule ute unaotangulia wakati wa erection unaweza kubeba sperms pamoja na virusi vya ukimwi. Tumieni mtandao kwa manufaa. Haya,sikukuu njema, namtafuta kongosho.
 
Reactions: BAK
Usichokijua ni kuwa wakati wa tendo,uume hutoa majimaji[ute] ambayo huwa na mbegu za kiume,kama hao wanawake hajapata ujauzito kutakua na sababu nyingine tofauti!
 
i cant believe this... Hao manzi mnao - waamini ni wepi hasa na mnatumia kipimo gani kupima uaminifu wao? Hadi kupendekeza matumizi ya hii njia. Yashinda wenye ndoa uaminifu ni suala tete ndo hao wasionazo? Waulizeni wazee wa MIPANGO ya KANDO l.o.l

EE MUNGU TUEPUSHE NA MARADHI HAYA
 



Mkuuu,
hapo hapo, huo ute mbona mimi sielewi. binafsi hamna ute unaotoka. sure, najua tu madem wanatoa hyo ki2.........

shaskia, mtu akiangalia X anasmamisha hadi maji anatoa! mi sina hayo mautee.... ni zile mbegu zenye madhiwa namwaga... tena unamminia kwenye matiti!!!
 



Najua wadada lazma upinge hii k2.....
kuna utam flan mnamis!""
 

ndugu punguza pilau. .Zina ku affect. .Ushaanza kuongelea kumwagiana vifuani. . .Kibongo bongo rarely applicable,ata kama applicable sana sana mabafuni. .{kwa wenye mabafu ye2}. .Co kama kwnye pilau. .Mixa kupease kitandan tena kifuani kwa mwenzio. .
 
Mkuu,hii method kwa kitaalam inajulikana kama coitus interuptus. it is among the list being discussed regularly by family planning councelors to couples.
 
Hapo kukojoa nje unapiga bao moja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…