Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpango mzimaaaa
kaka umenigusa sana.Binafsi nina kadem kangu tangu kapo fom1 mpaka sa hv kanaingia f6 cjawah kukamwagia ndan coz naona ni kumtaftia matatzo na kama nsingekuwa nafanya hvo sa hvi cku nying ana mtoto na angekatsha masomo.Ni ngumu kuifanya but kwa tulio wachache inatusaidia kuepuka kuzaa na watu tusiowahtaj in future.Big up mkuu endeleza libeneke
Acha hzo, fungua macho.....
Say samthing!!
naanza kutumia soon,mpenzi wangu karidhia.
point mkuu.ushawahi kata gogo pembeni ya tundu la choo???
Mi namwaga ndani,ishu ya mtoto tutajua baadaye coz mpaka imefika stage nafanya naye unprotected sex it means namwamini na nipo tayari kuwa naye na kulea mtoto
Hapa mnajidanganya ndugu, msije mkajikuta mnakana damu zenu. Tumieni google basi,kha! Pre-ejaculation, ule ute unaotangulia wakati wa erection unaweza kubeba sperms pamoja na virusi vya ukimwi. Tumieni mtandao kwa manufaa. Haya,sikukuu njema, namtafuta kongosho.
i cant believe this... Hao manzi mnao - waamini ni wepi hasa na mnatumia kipimo gani kupima uaminifu wao? Hadi kupendekeza matumizi ya hii njia. Yashinda wenye ndoa uaminifu ni suala tete ndo hao wasionazo? Waulizeni wazee wa MIPANGO ya KANDO l.o.l
EE MUNGU TUEPUSHE NA MARADHI HAYA
Mkuuu,
hapo hapo, huo ute mbona mimi sielewi. binafsi hamna ute unaotoka. sure, najua tu madem wanatoa hyo ki2.........
shaskia, mtu akiangalia X anasmamisha hadi maji anatoa! mi sina hayo mautee.... ni zile mbegu zenye madhiwa namwaga... tena unamminia kwenye matiti!!!