afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,150
- 9,255
We mwalimu kama unataka umbea nitafute kabla sijasahau.
Haya ngoja niingie maeneyo ..
unipe story..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mwalimu kama unataka umbea nitafute kabla sijasahau.
Haya ngoja niingie maeneyo ..
unipe story..
Kusema ukweli hili somo ni zuri sana!! Kuliko kuchoropoa viumbe wasio na hatia, kuvuruga mipango yako kwa mimba zisizotarajiwa(especially wanafunzi na wale wasiojiweza kulea ambao wengi wao huishia kutupa au kutelekeza watoto), ni bora kabisa kuchukua hatua stahiki mapema! Wimbo wa ku-abstain umeshakua sugu hata kwa hawa vijana wadogo, elimu kama hii itasaidia walau kupunguza matokeo hasi yaletwayo na mimba zisizotarajiwa. Asante sana afrodenzi, mi mependa iyo heading pia..........imebeba ujumbe mzito na wa maana sana!!!! Stay blessed dear....
Inabidi hili somo alipeleke mpaka mashuleni na mitaani.
Haya bana ladies,sie vidume tunacheki mchezo tu!Lakin wengine mashuti yetu yanachanaga nyavu!
Mkuu, umezungumzia point nzuru sana.
1. Huko mashuleni ndio balaa zaidi, walimu kama wanaeleza hii ni kwa juu juu tu kwani wakisema kwa undani (wengine) watakuwa wanafunga milango yao. Tukumbuke walimu ni sehemu kubwa ya wanaofanya mapenzi na wanafunzi.
2. Ama kwa kuona haya, au bado kuliona tendo la ngono ni taboo, wazazi wengi hawawaelezi watoto wao juu ya hizi hatari. Kama elimu ingekuwa inatolewa kwa wazazi na watu wa karibu kwanza, pengine hili tatizo lisingekuwa kubwa kiasi hiki. Kitu cha ajabu, wazazi wanashindwa kumweleza mtoto madhara ya ngono zembe lakini wanawafunda jinsi ya kumridhisha mume. Mafunzo yale wasichana wanayatumia kuwafurahisha wanaume kabla ya waume.
3. Tatizo la tatu ambalo ndio kikwazo kikubwa kwa elimu ya ngono ni shinikizo la dini. Watu wa dini wanajua tu kusema njia za kuzuwia mimba ni haramu (mkazo mkubwa ukiwa kwa matumizi ya kondom ambayo ndio salama na isiyoleta usumbufu wowote kwa watumiaji zaidi ya ulafi wao wa kutaka kutwanga kavukavu.
Ni kweli Mkuu, bado tuna safari ndefu sana.
Hiyo point ya kwanza umenikumbusha wakati mwalimu anatufundisha Biology mambo mengine alikuwa anafunika anayapitia juu juu sasa sijui alikuwa anaona soo au vipi na bado hali hii inaendelea kuwepo kwenye shule nyingi tu hapa bongo
Sasa ndio hapo mwanafunzi akiishajua inakuwa too late na mambo yanakuwa yameishaharibika....halafu yaani wewe nitakulaza kwenye mapipa kabisa hebu njoo kule kwanza la si hivyo leo ni viboko kabisa tena namwambia Lizzy akachume mpera kabisa..dahhh kama mwalimu anaona soo.. wanafunzi watajifunza vipi?
dahhh kama mwalimu anaona soo.. wanafunzi watajifunza vipi?
Sasa ndio hapo mwanafunzi akiishajua inakuwa too late na mambo yanakuwa yameishaharibika....halafu yaani wewe nitakulaza kwenye mapipa kabisa hebu njoo kule kwanza la si hivyo leo ni viboko kabisa tena namwambia Lizzy akachume mpera kabisa..
Angalieni video.
mmmh utakufa mkuumimi siwezi kumshauti msichana njia nyingine zaidi ya condom just imagine vibinti vinatumia mavidonge masindano ,sijui vitanzi jamani mida hii nooo watu watumie kondomu loh watakwepa na ukimwi piauzi umzuri sana ila tatizo lake bana haya madude yanayoitwa condom mhhh ni balaa lake ukikutana nayo ni issue nyingine
mmmh utakufa mkuumimi siwezi kumshauti msichana njia nyingine zaidi ya condom just imagine vibinti vinatumia mavidonge masindano ,sijui vitanzi jamani mida hii nooo watu watumie kondomu loh watakwepa na ukimwi pia
Video ya nini Lizzy Luu..
Halafu we hupati tena Likes zangu hii ya mwisho ..:A S-coffee:
mmmh msichana eg miaka 18-25 na misindano? Vitanzi? Vidonge? Khaaa kisa nini elimu ipo ipo bwana heri watumie condom tu izo njia zingine siziafiki kabisa
Nahisi kuwaonesha watoto, wasichana na wavulana video kama hii inaweza kuwapa mwamko na kufikiria mara kumi kabla mtu hajaamua kumpa mimba mschana au msichana kuitoa.Angalieni video.
Nahisi kuwaonesha watoto, wasichana na wavulana video kama hii inaweza kuwapa mwamko na kufikiria mara kumi kabla mtu hajaamua kumpa mimba mschana au msichana kuitoa.
ONYO: YALIYOMO KATIKA PICHA HII HAYAFURAHISHI. IKIWA MOYO WAKO MWEPESI USIANGALIE KABISA!!
Kwa kuwa maandishi yako katika Kispanish, unaweza kusogeza video mpaka dakika 1:24 ili kuepuka maandishi.