Uzee dawa: Msikilize Jenerali Ulimwengu

Unapoweka uzi halafu ukataka kuambatanisha kitu then maneno weka separate na attachment kwasababu kuna simu zinakataa kuonyesha hiyo attachment.

Yaani itume separately na maelezo ya uzi
Labda sema simu yako mkuu
 
Ana nini cha kukumbukwa huyu Mrundi jamani mwee!! halafu mbona mambo yake ya uraia yaliishia hivi ivi hakuwahi kubali wala kukanusha kijijini kwao wapi kwanza, asije tuuza kwa kagame lool!

Yeye kila siku ni Dali salaama tuuuuu!! sijawahi kumsikia kuwa leo yuko kijijini kwao Msoga, au Mogabhiri walaaaa! Ulimwengu weyey km kwenu Musoma si ukasalimie?

atamke je yeye ni Mnyarwanda kweli au mburundi au mbongo wa mkoa gani? kiji? tarafa? hapo ndo tutaenda sawa! vinginevyo arudi kambini Mazimbu! au Ulyankuru! mpaka mambo yake yakae sawa! sawa!.....
 
Halafu akishatamka inakusaidia nini?wanaokuuza huwaona mpaka yeye aje akuuze mara ya pili?
 
Hebu tujikumbushe chanzo cha makasiriko ya Mheshimiwa Mbunge wa Kongwa ambae pia ni Spika wa Bunge letu TUKUFU(Kama wanavyooendelea wenyewe kuitwa)
 

Attachments

  • 2997314_chadema_in_blood_20211112_1.mp4
    3.9 MB
Na huyu Mzee hajawahi kuogopa chochote maishani mwake,ndio maana alifika pahali akavuliwa mpaka uraia wake enzi za Mkapa
Hakika huyu habari za kuramba miguu hajawahi kulifikiria maushani mwake.
 
Kumbe ndiyo maana Mkuu Ndugai akapagawa kumbe alipigwa ni kitu kizito?
 
Chadema 2025 twende na Ulimwengu.
Urais ni charisma Wala siyo wingi wa akili. Jenerali anaweza akawa mzuri kwenye critique, lakini ukamuachia Leo kazi ya Samia, utashangaa
 
Cheki hapa chini namna ambavyo MRUNDI amekuwa akitumiwa na taifa lako wakati nyie Watz (akina Ndugai mpo)
 
Mnhh...

Wakuu hata kama Magufuli alikuwa na maoungufu yake ila hii sio sahihi....

"Magufuli alikuwa hana hayaaa....
Alisagasaga kila kitu kilichokuwa mbele yake..."

Not fair...not fair ät all
 
Tatizo haya wanayasema baada ya Magufuri kufariki mtu mzima mwenye hekima na busara alitakiwa kutokuwa mwoga na akasema akiwa hai. Vinginevyo ni unafiki mtupu hata kama yana maana
Walisema wengi wakapotezwa
 
Ndio maana Nyerere alikataa haya mambo ya kuhoji hoji uraia wa watu kwani ukichunguza sana hayo unaweza ukakuta Mkapa alikuwa ni wa Msumbiji na Magufuli ndio kabisaa Mnyarwanda na Kinana Msomali piwa.

Nchi hii watu ni wanafiki sana, halafu majuzi tu kuna kijana eti anapewa uraia kirahisi tu kisa eti ni mchezaji wa mpira na wakati hata mpira wowote wa maana hana..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…