Uzee dawa: Msikilize Jenerali Ulimwengu

Uzee dawa: Msikilize Jenerali Ulimwengu

Nimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.

Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.

Ulimwengu ana uso go wa kuuziwa uraia, wakati alitumikia TANU /CCM. Hata ange chukua Lissu urais, huyu bwana angeendelea kuuumia tu! Maana alikubali kununua uraia wa Tanzania. Anachukia watanzania wote!
 
Ulimwengu ana uso go wa kuuziwa uraia, wakati alitumikia TANU /CCM. Hata ange chukua Lissu urais, huyu bwana angeendelea kuuumia tu! Maana alikubali kununua uraia wa Tanzania. Anachukia watanzania wote!
Wacha kumlisha maneno ya hovyo kama hayo
 
Nasikitika kwamba huyu msemaji hapa nayei bado haja-connect dots vizuri mpaka muda huu, japo muda mrefu umeshapita mpaka sasa. Issue ya mtu kuokotwa jalalani ina ujumbe uliofichika ambao walio wengi bado hawajau-decode.
JALALANI+MJADALA WA MAKINIKIA+AZORY GWANDA+KAMPUNI HEWA YA KUNUNUA KOROSHO,; you connect all these and then you get a hint!
Hata mimi hapo mwanzo nilikuwa nimepigwa changa la macho, lakini siyo muda huu
Ikumbukwe kuwa kwenye awamu zote zilizokuwa zimepita kabla huyu mtu hakuwahi kutumika kabisa, iukiondoa Bunge la Katiba tu. Why?
 
Nasubiri aseme na mazuri pia.

Kila mtu ana upande wa anaoutaka. Wapenda maendeleo tuliona mazuri tuu.
Hayo yanasemwa kwa sababu ni mabaya mno hayatakiwi kurudiwa na yeyote. Kuna yake mapungufu yanatokea ambapo mtu ana nia nzuri kwa nchi. Lakini aliyofanya Magufuli mengi ni ujambazi kabisa inabidi kukemea.

Kauli kama "uliniokota jalalani" ni za kupinga kwa nguvu zote. Kwa nini mtu mzima, tena profesa wa chuo kikuu, aseme upumbavu kama huo?

Na hii habari ya kulazimisha kila annayekosoa aseme na mazuri, ni upuuzi. Mtu anayo haki ya kutoa mawazo yake, hiyo ni haki kikatiba.
 
Ulimwengu ana uso go wa kuuziwa uraia, wakati alitumikia TANU /CCM. Hata ange chukua Lissu urais, huyu bwana angeendelea kuuumia tu! Maana alikubali kununua uraia wa Tanzania. Anachukia watanzania wote!
Si kweli. Ulimwengu alianza kumkosoa Mkapa mara alipoanza kufanya madudu, japo alimkampenia sana tu. Humjui Jenerali. Mkapa kwa hasira ndio akampokonya uraia. Hapo Mkapa akawa ameanzisha mchezo mchafu sana, ambapo Magufuli kautumia sana hata kwa mapadre na Maaskofu waliomkosoa.

Kumpokonya mtu uraia, kisa anakukosoa, hasa kama anatokea mikoa ya pembezoni. Ni kweli hilo lilimuumiza sana Ulimwengu, lakini huyu ni mpigania haki, jasiri, tangu utotoni, alipokuwa chuo kikuu walikwenda Msumbiji kusaidia vita ya ukombozi. Ni mtu wa vitendo na anafanya anachoamini. Siyo mchumia tumbo. Tatizo tumezoea wazee wanafiki na wachumia tumbo. Ukiona mtu jasiri unaamini tu ana matatizo. Si mtu wa kawaida
 
Si kweli. Ulimwengu alianza kumkosoa Mkapa mara alipoanza kufanya madudu, japo alimkampenia sana tu. Humjui Jenerali. Mkapa kwa hasira ndio akampokonya uraia. Hapo Mkapa akawa ameanzisha mchezo mchafu sana, ambapo Magufuli kautumia sana hata kwa mapadre na Maaskofu waliomkosoa.

Kumpokonya mtu uraia, kisa anakukosoa, hasa kama anatokea mikoa ya pembezoni. Ni kweli hilo lilimuumiza sana Ulimwengu, lakini huyu ni mpigania haki, jasiri, tangu utotoni, alipokuwa chuo kikuu walikwenda Msumbiji kusaidia vita ya ukombozi. Ni mtu wa vitendo na anafanya anachoamini. Siyo mchumia tumbo. Tatizo tumezoea wazee wanafiki na wachumia tumbo. Ukiona mtu jasiri unaamini tu ana matatizo. Si mtu wa kawaida
Ni kweli ndugu. Ulimwengu ni "independent and free thinker" tangu zamani. Hana akili za kushikiwa kama sampuli ya wale wasomi wengine wanaosema walitolewa majalalani!
 
Nasubiri aseme na mazuri pia.

Kila mtu ana upande wa anaoutaka. Wapenda maendeleo tuliona mazuri tuu.
Mizania inaelemea kwenye mabaya

Hata shetani ibilisi alikua miongoni mwa majini wema kabisa kitambo hicho kabla hajamuasi mwenyezimungu na usifikiri kua hana jema alilolifanya kwa mwenyezimungu
 
Huyu Mzee ni mpumbavu!
Wewe na huyo mnatofauti gani?
1266136410.jpg
 
Ulimwengu ana uso go wa kuuziwa uraia, wakati alitumikia TANU /CCM. Hata ange chukua Lissu urais, huyu bwana angeendelea kuuumia tu! Maana alikubali kununua uraia wa Tanzania. Anachukia watanzania wote!
Yeyote aliyekuwepo 9/12/1961 ni rai
 
Nimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.

Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.

Ulimwengu na Ndugai
View attachment 2007881
Unapoweka uzi halafu ukataka kuambatanisha kitu then maneno weka separate na attachment kwasababu kuna simu zinakataa kuonyesha hiyo attachment.

Yaani itume separately na maelezo ya uzi
 
Back
Top Bottom