Wape hawa wa majalalani sio mimiHahahahah atake asitake 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wape hawa wa majalalani sio mimiHahahahah atake asitake 😅
Wape hao wa majalalani sio mimiChadema 2025 twende na Ulimwengu.
Wewe ni wa jalalaniWazee wa aporojo kama Ulimwengu sinaga mda nao.
Mi nina mda na watu wa kazi kazi kama JPM-R.I.P.
Nyumbu za ufipa kwa kudandia ni noma kweli twende nae [emoji23][emoji1787]Chadema 2025 twende na Ulimwengu.
Ajiandae kuitwa maadilini na salia la shujaa bwana Jobmzee bana ameamua kutema nyongoo
Wajalalani mwingine huyuNyumbu za ufipa kwa kudandia ni noma kweli twende nae [emoji23][emoji1787]
Jobu ni kitukoAjiandae kuitwa maadilini na salia la shujaa bwana Job
Hawa wazee akina Jenerali wameisaidia nini nchi? Zaidi ya kupiga domo na siasa hakuna chochote cha maana. Ni kupiga stori tu no actions.Nimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.
Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.
Nawewe kunywa sumu basi mkaungane hukoHawa wazee akina Jenerali wameisaidia nini nchi? Zaidi ya kupiga domo na siasa hakuna chochote cha maana. Ni kupiga stori tu no actions.
Magufuli alikataa kuwa rais mediocre wa kuwa bora liende, alikuwa pale kufanya kazi na vitu vitokee na kazi aliifanya. Ndiyo hatupo nae kimwili lakini kazi zake zinaiishi. Na Jenerali yupo sahihi katika utabiri wake, nchi hii bado kuna watu kibao wenye mapenzi mema na nchi yao ambao kwao siasa ni vitendo, waliovaa na kuishiba nia na falsafa ya Magufuli kuiona Tanzania inapiga hatua fasta. Tanzania inawahitaji sana watu kama hawa!
Hahah imebidi nicheke kwa sauti tu
Hahaha aiseeeChadema 2025 twende na Ulimwengu.
Alisimama hivyo hivyo wakati wa Chuma?Huyu mzee ana misimamo yake tangu kitambo sn
Uzuri umesema wengi sio woteHuyu mzee ugali wake wa Gazeti la Raia Mwema ulitingishwa kidogo ndiyo maana anahaha. Wengi wanaoponda serikali ya awamu ya tano walikuwa wanafanya biashara za kanjanja kanjanja wakazinguliwa.
UsinikeleWewe ni wa jalalani
Jifunze kuandika basiUsinikele
Wala siyo uzee nadhani nchi yetu inaongoza kwa kuwa na wazee wajinga na wanafiki kuliko nchi zote duniani, ni hawa wachache tu ndiyo wanaojielewa
Kweli!! Ndo maana wanauimba sana wimbo wa "Uchumi wa Kati, Nchi ya Vi-wonder". Wanakaa mijini wakiyaimba hayo mapambio huku wakirukaruka toka mji hadi mji, nchi hadi nchi na wakiugua hawatibiwi hapa kwa kuwa level yao haiko hapa.Wao wakishiba wanaona kila mtu ana maendeleo