Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Dingi yupo poa snNakumbuka hiyo misimamo yake iliwahi kumponza hadi akahojiwa uraia wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dingi yupo poa snNakumbuka hiyo misimamo yake iliwahi kumponza hadi akahojiwa uraia wake
Alikua anafichua uuzaji wa mashirika ya umma na migodi kwa Bei Chee,mkapa akampora uraia,gazeti lake la Rai liliandika ubinafsishaji Kama si wa shirika la ndege Basi uwanja wa ndege,kwa thamani ya beberu 11Nakumbuka hiyo misimamo yake iliwahi kumponza hadi akahojiwa uraia wake
Yap dingi yupo poa snMungu azidi kumlinda na kumuongezea maisha marefu na kujiamini
Mzee wetu yupo vizuri na bado anajiamini kuliko wale wa kusifia sifia hata maovuAlikua anafichua uuzaji wa mashirika ya umma na migodi kwa Bei Chee,mkapa akampora uraia,gazeti lake la Rai liliandika ubinafsishaji Kama si wa shirika la ndege Basi uwanja wa ndege,kwa thamani ya beberu 11
Kweli mkuuHakika
Kila nikipita pale Ubungo natamani jamaa arudi tu aendelee na kazi yake.Maendeleo gani wacha kudemka hapo lumumba
Kibaka anaiba kidogo haya ni majangili tupuVibaka
Mfuate ShatoKila nikipita pale Ubungo natamani jamaa arudi tu aendelee na kazi yake.
Unakaa wilaya gani kwanza. Ili nikutajie ya wilayani kwako.Yap?
Wazee wa aporojo kama Ulimwengu sinaga mda nao.Wazee kama hawa wamebakia wachache sana hapa nchini
Ukifika wakati wake ataondoka tuUnaonaje ukinywa sumu ukaungana naye huko?
Hakuna umuhimu wa maendeleo kama mwanadamu hana furaha ya maisha yakeNasubiri aseme na mazuri pia.
Kila mtu ana upande wa anaoutaka. Wapenda maendeleo tuliona mazuri tuu.