maruudaniel
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 888
- 1,073
Mku Mmawia anaongelea ni ili nimsikilize ktk yutub kwani nimejitahidi kufungua inakataa.Hakika
Asante
Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mku Mmawia anaongelea ni ili nimsikilize ktk yutub kwani nimejitahidi kufungua inakataa.Hakika
Na hapa ndipo vazi la suti nililidharau rasmi.
nyie ndo ambao vita ikitokea mnaulizana kuna nini kwani..Nasubiri aseme na mazuri pia.
Kila mtu ana upande wa anaoutaka. Wapenda maendeleo tuliona mazuri tuu.
Anaongelea utawala wa awamu ya 5Mku Mmawia anaongelea ni ili nimsikilize ktk yutub kwani nimejitahidi kufungua inakataa.
Asante
Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Unaishi nchi gani kwenye vita wewe?nyie ndo ambao vita ikitokea mnaulizana kuna nini kwani..
good sayHakuna umuhimu wa maendeleo kama mwanadamu hana furaha ya maisha yake
Mdogo wake Adv Alute ni nani?Nimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.
Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.
kuna mtu kakwambia yupo vitani?Unaishi nchi gani kwenye vita wewe?
Na mbabe aliyemtingisha Yuko wapi Siku hizi?sikamsikia Muda Sasa.Huyu mzee ugali wake wa Gazeti la Raia Mwema ulitingishwa kidogo ndiyo maana anahaha. Wengi wanaoponda serikali ya awamu ya tano walikuwa wanafanya biashara za kanjanja kanjanja wakazinguliwa.
Huyo jamaa alisemaga viongozi wetu hua wanapataga akili wakishastaafu.Mzee wetu yupo vizuri na bado anajiamini kuliko wale wa kusifia sifia hata maovu
Tatizo haya wanayasema baada ya Magufuri kufariki mtu mzima mwenye hekima na busara alitakiwa kutokuwa mwoga na akasema akiwa hai. Vinginevyo ni unafiki mtupu hata kama yana maanaNimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.
Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.
Ha ha ha ha !Nimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.
Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.
Usibishane na kichaa mwenye panga!Kasubiri JPM kafa ndio kaamua kumsema Kabudi akiamini hana mtetezi. Anaweza kuwa mkweli lakini ni muoga pia.
😁😁 Jamaa aliacha legacy ya hovyo hovyo tu,acha wampe vyake kiroho Safi.Kasubiri JPM kafa ndio kaamua kumsema Kabudi akiamini hana mtetezi. Anaweza kuwa mkweli lakini ni muoga pia.
Ndiyo amesema Sasa, mtamfanyaje?faida za legacy za hovyo ndio hizi Sasa.Tatizo haya wanayasema baada ya Magufuri kufariki mtu mzima mwenye hekima na busara alitakiwa kutokuwa mwoga na akasema akiwa hai. Vinginevyo ni unafiki mtupu hata kama yana maana