Halafu wewe Mkuu bana!!! sijui ndo Generali Mwenyewe wewe??? yaani wewe kwenda kubwabwaja paleee UNO kwa hela yetu ndo umetusaidia??? Badala ya kutushukuru umepata exposure kupitia kodi za Babu zetu unatukejeli eti umetusaidia!! wewe? kuwa serious bana?... vinginevo utakuwa Mrundi kweli!!
eti umetusaidia kwa Elimu uliyopata kwetu Bure, majengo yetu, walimu wtu!!! Nauli yetu, bure!!! hukuwa na hela ya kwenda UNO wewe!!! kataa!! afadhali hataMchonga yeye Babake alikuwa Chief wa Butiama pale angewaza pata hiyo hela! kwa wananchi wa Butiama wanakamuliwa tu kodi!
Sasa huyu kwanza angekaa kimya tu!! utushukuru!! amekuta Tanzania Huru!! akala matunda ya uhuru bure! sasa kukaa tu na Machel ilitusaidia nini sisi!! Sioni huyu kukamata Bunduki km wakurya nenda mstari wa mbele ufe wewe au upone km Nyerere!! sioni!!!
heri mara mia hawa madogo kwa uchache komandoo!Tito okello, Ujwuku, Mahafudhi waalishiriki ktk kuikomboa Africa/Msumbiji! kiukweli wafe wao au Mkoloni ang'oke!! na waliyo yafanya tunayajua mpaka kesho Mungu awalaze mahali pema peponi!! Ameeni
Ebu kuwa serious Bana ''sasa huyu eti kupiga umbea baraza la usalama UNO! Ndo umesacrify maisha yako ajili yetu serously?? ya ukweli hayo?? ndo alivo kudanganya!! sasa ebu jiulize swali rahisi tu!! aliandaliwa na nani ku deliver speech hiyo pale Baraza la usalama?
Jibu rahisi tu ni waalimu wazuri wa Tanzania huru chini ya Mwalimu julius .......weeee!! usinifanye nilie wewe mzee!!! Ulimwengu unapaswa kushukuru Bongo! Kodi za babu zetu ulifika UNO! acha masimango!
kina Ndugai kukupa kipao umbele ''na huyu mkimbizi muacheni jamani asonge!! akapate uzoefu akawakomboe ndugu zake!! akasema ''kiukweli jamani sisi Bongo kwa sasa tuko vizuri!'''! tukiamni baada ya shule utarudi kwenu baada ya kuiva!!!
huyo umeganda mpaka leo! Ok! tumekuacha sasa unatukoga! eti tupicha twa kubwabwaja General Assembly!! kwa wema wetu! kwani hotel, Nauli, nguo,chakula, malazi in general ulipewa bure huko? hapo bado hujanishawishi kuwa umefanya kitu ila ni sisi hao!
sasa jamani leo unasema hivi kweli umesahau? nafasi wende weye Mrundi unawaona waliokuachia nafasi iyo, fursa, pesa majiiinga ya mwisho! ...mbona sisi Bongo tumewapa wengi tu!! kabila joseph! Mandela, Mseven! mwee na wengine weeengi tu!
Tuli tii Maamuzi yetu ya OAU kwa vitendo ikiwa ni pamoja na kuwasaidia watu km nyie!! kuuumbe sasa nimejua kuwa ndo maana teuzi nyingi sana ulitemwa!!
sasa unalia lia na vipicha vya UNO tena kwa hela zetu hizo tulizo kupa ukatanulie! inaonyesha ulitumia pesa vibaya na show off!! labda ufe mapema nikikamata mie unazilipa!! hizo fweza siyo za Rwanda wala Burundi! bali ni jasho letu!
km mie muongo sema hapa hapa wote wakusikie hela za kwenda huko G/assembly ulizitoa wapi!! na umaskini kunuka ule?! wa ukimbizini??
Ama kweli... wema ....u..inga!! wahenga walisema nimeamini!! wewe Jenerali wakutusema hivi leo!!baada ya shibe? na heshima ya bure?? haya mapicha yako ungeficha tu! inaonyesha jinsi ulivokuwa Lifist penye hatare,
wakati Babu zetu wana tokwa jasho la Damu katka Ukombozi wa Bara la AFRICA, weye unatukejeli na tupicha twa UNO??!! ningefurahi na kukuona bingwa km ungeonekana umepigwa risasi na kaburu ukapona kibabe!! au basi
ukaponea chupu chupu hapo sawa sasa!!! weye kule Msumbiji ulienda uza sura tu! kwenye uwanja wa mapambano??? hata kovu ya risasi hunaa! teeetetetet!!!! eti unataka tukujali mweee!! Musoma wanaume hoyeeeee!!
huna umesahau ulivo kuwa unapita na kopo pale ngara karibu na uwanja wa ndege?? ........ndipo mlipofikia na mkaishi hapo ukaanza shule !! uongo? Ok! Baba nyerere wa Musoma kakupa Elimu bureeeee! basi heshimu tuu! hutaki!! mie kwanza sioni njoo na mengine!!
Kwanza Mtukura ulienda kukamata mtutu weye? Zimbabwe, usheli sheli, Ngazija, zambia, angola, South wewe ulienda kamata mtutu huko?!! hao ndo wanume ngangari!! onyesha Makovu hapa! siyo hizo one man show!!!