Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
😆🤣🤣🤣Kweli hili jambo hata mimi kuna vijana wengi tu wananisalimia .....shikamoo shikamoo...washike wao kama ni mali.
Mbagala lini mwendo kasi umeanza?Mi mwenyewe umri umesonga sana, nakaribia 50 kabisa ila mchezo wa kubambia (Dunga dunga) kwenye public transport ndo umeanza kunikolea.
Yaani naweza kupark kigari changu ilimradi nipande mwendokasi wa kwenda Mbagala nipate maraha njiani. Napitilizwa vituo ila sijali kabisa. Sijui nirudisheje siku nyuma?
Kula matunda mbalimbali na kufanya mazoezi, pia kuchimba chimba migodi kunazeeshaHabari wakuu natumaini muko vizuri.
Maisha yangu yanaendelea kunishangaza kila siku kuhusu nyakati zangu, Nimekuwa nikiishi kama kijana mdogo wa kawaida lakini kumbe jamii hainioni kuwa ni kijana mdogo bali inaniona ni Mtu anaefukuzia uzee.
Nilizoea kupewa shkamoo na watoto wadogo lakini sasa napewa shkamoo na vijana wakubwa tuu ambao Mimi nilihisi pengine tuko sawa. Mwanzo walikuwa ni vijana wakubwa wachache lakini saizi ni vijana wengi sana wakubwa wananipa shkamoo, wengine wananiita baba kabisa.
Siku Moja ndio nilishangaa kabisa pale nilipotaka kujipatia kamchepuko majibu yake yakaniacho hoi "kalisema lakini wewe mbona kama baba yangu tuu "
Uzee umepiga hodi kwenye maisha yangu na Bado hata sikujipanga vizuri kuupokea.
NB: MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI
Uzee ni miaka 75 na kuendelea, umefika huko?Habari wakuu natumaini muko vizuri.
Maisha yangu yanaendelea kunishangaza kila siku kuhusu nyakati zangu, Nimekuwa nikiishi kama kijana mdogo wa kawaida lakini kumbe jamii hainioni kuwa ni kijana mdogo bali inaniona ni Mtu anaefukuzia uzee.
Nilizoea kupewa shkamoo na watoto wadogo lakini sasa napewa shkamoo na vijana wakubwa tuu ambao Mimi nilihisi pengine tuko sawa. Mwanzo walikuwa ni vijana wakubwa wachache lakini saizi ni vijana wengi sana wakubwa wananipa shkamoo, wengine wananiita baba kabisa.
Siku Moja ndio nilishangaa kabisa pale nilipotaka kujipatia kamchepuko majibu yake yakaniacho hoi "kalisema lakini wewe mbona kama baba yangu tuu "
Uzee umepiga hodi kwenye maisha yangu na Bado hata sikujipanga vizuri kuupokea.
NB: MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI
Atafute Hela atakuwa kijana tena mwenye mvuto, handsomeUmekomaa hakuna mzee mwenye hela. Ukizipata mbona pisi hazitakusalimia shkamoo ni mwendo wa mambo!
Mkuu pesa inatakatishaAtafute Hela atakuwa kijana tena mwenye mvuto, handsome
Ndiyo Kwanza unakuwa na furaha pia unajiaminiMkuu pesa inatakatisha
Unapitilizea vituo huku una kagali kako umekaacha sehemuMi mwenyewe umri umesonga sana, nakaribia 50 kabisa ila mchezo wa kubambia (Dunga dunga) kwenye public transport ndo umeanza kunikolea.
Yaani naweza kupark kigari changu ilimradi nipande mwendokasi wa kwenda Mbagala nipate maraha njiani. Napitilizwa vituo ila sijali kabisa. Sijui nirudisheje siku nyuma?
Habari wakuu natumaini muko vizuri.
Maisha yangu yanaendelea kunishangaza kila siku kuhusu nyakati zangu, Nimekuwa nikiishi kama kijana mdogo wa kawaida lakini kumbe jamii hainioni kuwa ni kijana mdogo bali inaniona ni Mtu anaefukuzia uzee.
Nilizoea kupewa shkamoo na watoto wadogo lakini sasa napewa shkamoo na vijana wakubwa tuu ambao Mimi nilihisi pengine tuko sawa. Mwanzo walikuwa ni vijana wakubwa wachache lakini saizi ni vijana wengi sana wakubwa wananipa shkamoo, wengine wananiita baba kabisa.
Siku Moja ndio nilishangaa kabisa pale nilipotaka kujipatia kamchepuko majibu yake yakaniacho hoi "kalisema lakini wewe mbona kama baba yangu tuu "
Uzee umepiga hodi kwenye maisha yangu na Bado hata sikujipanga vizuri kuupokea.
NB: MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI
Acha kudeka Mzee ,andaa watu wakukuanika na kukurudisha ndaniHabari wakuu natumaini muko vizuri.
Maisha yangu yanaendelea kunishangaza kila siku kuhusu nyakati zangu, Nimekuwa nikiishi kama kijana mdogo wa kawaida lakini kumbe jamii hainioni kuwa ni kijana mdogo bali inaniona ni Mtu anaefukuzia uzee.
Nilizoea kupewa shkamoo na watoto wadogo lakini sasa napewa shkamoo na vijana wakubwa tuu ambao Mimi nilihisi pengine tuko sawa. Mwanzo walikuwa ni vijana wakubwa wachache lakini saizi ni vijana wengi sana wakubwa wananipa shkamoo, wengine wananiita baba kabisa.
Siku Moja ndio nilishangaa kabisa pale nilipotaka kujipatia kamchepuko majibu yake yakaniacho hoi "kalisema lakini wewe mbona kama baba yangu tuu "
Uzee umepiga hodi kwenye maisha yangu na Bado hata sikujipanga vizuri kuupokea.
NB: MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI