Uzee umekuja ghafla kwenye maisha yangu

Uzee umekuja ghafla kwenye maisha yangu

Mi mwenyewe umri umesonga sana, nakaribia 50 kabisa ila mchezo wa kubambia (Dunga dunga) kwenye public transport ndo umeanza kunikolea.

Yaani naweza kupark kigari changu ilimradi nipande mwendokasi wa kwenda Mbagala nipate maraha njiani. Napitilizwa vituo ila sijali kabisa. Sijui nirudisheje siku nyuma?
Mbagala lini mwendo kasi umeanza?
 
Habari wakuu natumaini muko vizuri.

Maisha yangu yanaendelea kunishangaza kila siku kuhusu nyakati zangu, Nimekuwa nikiishi kama kijana mdogo wa kawaida lakini kumbe jamii hainioni kuwa ni kijana mdogo bali inaniona ni Mtu anaefukuzia uzee.

Nilizoea kupewa shkamoo na watoto wadogo lakini sasa napewa shkamoo na vijana wakubwa tuu ambao Mimi nilihisi pengine tuko sawa. Mwanzo walikuwa ni vijana wakubwa wachache lakini saizi ni vijana wengi sana wakubwa wananipa shkamoo, wengine wananiita baba kabisa.

Siku Moja ndio nilishangaa kabisa pale nilipotaka kujipatia kamchepuko majibu yake yakaniacho hoi "kalisema lakini wewe mbona kama baba yangu tuu "

Uzee umepiga hodi kwenye maisha yangu na Bado hata sikujipanga vizuri kuupokea.

NB: MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI
Kula matunda mbalimbali na kufanya mazoezi, pia kuchimba chimba migodi kunazeesha
 
Habari wakuu natumaini muko vizuri.

Maisha yangu yanaendelea kunishangaza kila siku kuhusu nyakati zangu, Nimekuwa nikiishi kama kijana mdogo wa kawaida lakini kumbe jamii hainioni kuwa ni kijana mdogo bali inaniona ni Mtu anaefukuzia uzee.

Nilizoea kupewa shkamoo na watoto wadogo lakini sasa napewa shkamoo na vijana wakubwa tuu ambao Mimi nilihisi pengine tuko sawa. Mwanzo walikuwa ni vijana wakubwa wachache lakini saizi ni vijana wengi sana wakubwa wananipa shkamoo, wengine wananiita baba kabisa.

Siku Moja ndio nilishangaa kabisa pale nilipotaka kujipatia kamchepuko majibu yake yakaniacho hoi "kalisema lakini wewe mbona kama baba yangu tuu "

Uzee umepiga hodi kwenye maisha yangu na Bado hata sikujipanga vizuri kuupokea.

NB: MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI
Uzee ni miaka 75 na kuendelea, umefika huko?
 
Mimi ninavyoupenda uzee, nasikia raha kuitwa mama, hata binti yangu wa kazi tunabishana namwambia niite mama yy anagoma. Anasema mimi ni dada yake.!!
Kuna kitoto cha kike nakaa nacho cha wifi yangu nilikigomea kuniita aunt, kinaniita mama basi nasikia raha 🥰🥰🥰

Natamani mtoto wa sisy akue haraka apate mtoto niiitwe bibi mdogo 🤣
 
Mi mwenyewe umri umesonga sana, nakaribia 50 kabisa ila mchezo wa kubambia (Dunga dunga) kwenye public transport ndo umeanza kunikolea.

Yaani naweza kupark kigari changu ilimradi nipande mwendokasi wa kwenda Mbagala nipate maraha njiani. Napitilizwa vituo ila sijali kabisa. Sijui nirudisheje siku nyuma?
Unapitilizea vituo huku una kagali kako umekaacha sehemu
 
Habari wakuu natumaini muko vizuri.

Maisha yangu yanaendelea kunishangaza kila siku kuhusu nyakati zangu, Nimekuwa nikiishi kama kijana mdogo wa kawaida lakini kumbe jamii hainioni kuwa ni kijana mdogo bali inaniona ni Mtu anaefukuzia uzee.

Nilizoea kupewa shkamoo na watoto wadogo lakini sasa napewa shkamoo na vijana wakubwa tuu ambao Mimi nilihisi pengine tuko sawa. Mwanzo walikuwa ni vijana wakubwa wachache lakini saizi ni vijana wengi sana wakubwa wananipa shkamoo, wengine wananiita baba kabisa.

Siku Moja ndio nilishangaa kabisa pale nilipotaka kujipatia kamchepuko majibu yake yakaniacho hoi "kalisema lakini wewe mbona kama baba yangu tuu "

Uzee umepiga hodi kwenye maisha yangu na Bado hata sikujipanga vizuri kuupokea.

NB: MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI
 
nipende kuwaambia enyi nyote mnaolalamika mnasalimiwa sjui mnaitwa mababu kama huna 58+ basi tafuta sana pesa upate sura yako halisi unaonekana babu kwakua huna mpunga zisake sana ukizeeka utaiwa kikongwe au hata babu mchawi maana utakua umechakaa sana...
 
Habari wakuu natumaini muko vizuri.

Maisha yangu yanaendelea kunishangaza kila siku kuhusu nyakati zangu, Nimekuwa nikiishi kama kijana mdogo wa kawaida lakini kumbe jamii hainioni kuwa ni kijana mdogo bali inaniona ni Mtu anaefukuzia uzee.

Nilizoea kupewa shkamoo na watoto wadogo lakini sasa napewa shkamoo na vijana wakubwa tuu ambao Mimi nilihisi pengine tuko sawa. Mwanzo walikuwa ni vijana wakubwa wachache lakini saizi ni vijana wengi sana wakubwa wananipa shkamoo, wengine wananiita baba kabisa.

Siku Moja ndio nilishangaa kabisa pale nilipotaka kujipatia kamchepuko majibu yake yakaniacho hoi "kalisema lakini wewe mbona kama baba yangu tuu "

Uzee umepiga hodi kwenye maisha yangu na Bado hata sikujipanga vizuri kuupokea.

NB: MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI
Acha kudeka Mzee ,andaa watu wakukuanika na kukurudisha ndani
 
Back
Top Bottom