Uzembe Bandarini na TRA-Mwakyembe Chukua Hatua Please


pole sana mkuu mi nilifanikiwa lakini kwa mbinde mi walinipiga siku 3 za ziada wakati ilizidi moja tu nikakubali matokeo, msala mwingine tra walichaji kodi kutokana na bei zao siyo ile niliyonunulia
 
pole sana mkuu mi nilifanikiwa lakini kwa mbinde mi walinipiga siku 3 za ziada wakati ilizidi moja tu nikakubali matokeo, msala mwingine tra walichaji kodi kutokana na bei zao siyo ile niliyonunulia

Pole mkuu kibongobongo tutabanana nao hakuna kuretreat lakini pia wakituchemshia tutaendelea kuwasema huenda siku moja watasikia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…