Uzembe nchi hii utaisha kwa mzembe kuhukumiwa kwa kupigwa risasi hadharani

Uzembe nchi hii utaisha kwa mzembe kuhukumiwa kwa kupigwa risasi hadharani

Kididimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
4,153
Reaction score
3,800
Tunakuwa na mgawo wa umeme wa kutisha na unaodhoofisha uchumi wa wananchi huku tukiwa na:-
1. Gesi asilia ya kutosha
2. Makaa ya mawe ya kutosha
3. Mwanga wa jua wa kutosha
4. Nk nk

Leo tunaishia kubadilishiwa viongozi bila kuelezwa aliyetolewa ameharibu nini na kwa nini hapelekwi mahakamani ikibidi auwawe.

Tunaambiwa miunfombinu ni mibovu, wakati miaka michache hapo nyuma ilikarabatiwa na hatukusikia mgawo wa umeme.

Ninarudia, kwa kadhia hii ya ukataji hovyo umeme hata bila taarifa yoyote,bila fidia kwa wansoharibu biashara zao, Seriksli kuona ni jambo soft tuu, kuns haja jambo lifanyike.

Ninaamini kwa kilio chetu waathirika, na dharau tunayofanyiwa Mungu ataamua kabla hatujaamua. Haiwezekani, haiwezekani.
 
Mbona wanaandika kwenye vitabu vyao madudu yote halafu tunashangilia.

Yaan sio makosa ya kibinadamu ni upuuzi wa wazi kabisa
 
Tatizo ni IQ hafifu matumbo ndio imekuwa sehemu ya kufikiria.
 
Tunakuwa na mgawo wa umeme wa kutisha na unaodhoofisha uchumi wa wananchi huku tukiwa na:-
1. Gesi asilia ya kutosha
2. Makaa ya mawe ya kutosha
3. Mwanga wa jua wa kutosha
4. Nk nk

Leo tunaishia kubadilishiwa viongozi bila kuelezwa aliyetolewa ameharibu nini na kwa nini hapelekwi mahakamani ikibidi auwawe.

Tunaambiwa miunfombinu ni mibovu, wakati miaka michache hapo nyuma ilikarabatiwa na hatukusikia mgawo wa umeme.

Ninarudia, kwa kadhia hii ya ukataji hovyo umeme hata bila taarifa yoyote,bila fidia kwa wansoharibu biashara zao, Seriksli kuona ni jambo soft tuu, kuns haja jambo lifanyike.

Ninaamini kwa kilio chetu waathirika, na dharau tunayofanyiwa Mungu ataamua kabla hatujaamua. Haiwezekani, haiwezekani.
Nakuunga mkono
 
Tunakuwa na mgawo wa umeme wa kutisha na unaodhoofisha uchumi wa wananchi huku tukiwa na:-
1. Gesi asilia ya kutosha
2. Makaa ya mawe ya kutosha
3. Mwanga wa jua wa kutosha
4. Nk nk

Leo tunaishia kubadilishiwa viongozi bila kuelezwa aliyetolewa ameharibu nini na kwa nini hapelekwi mahakamani ikibidi auwawe.

Tunaambiwa miunfombinu ni mibovu, wakati miaka michache hapo nyuma ilikarabatiwa na hatukusikia mgawo wa umeme.

Ninarudia, kwa kadhia hii ya ukataji hovyo umeme hata bila taarifa yoyote,bila fidia kwa wansoharibu biashara zao, Seriksli kuona ni jambo soft tuu, kuns haja jambo lifanyike.

Ninaamini kwa kilio chetu waathirika, na dharau tunayofanyiwa Mungu ataamua kabla hatujaamua. Haiwezekani, haiwezekani.
Kwani tatizo ni wazembe kupewa adhabu ndogo? Tatizo ni wazembe kutopewa adhabu au kuwajibishwa hivyo hata ukisema ni kupiga risasi, wataokaopigwa watakuwa watu wadogo sana na wasio na nyadhifa tena kwa kusingiziwa. Kina Makamba hawataguswa kama ambvyo hawaguswi sasa hivi.
 
Hii nchi imefika hapa kwa sababu ya kuoneana aibu na kutokuwajibishana.
Wala sio kuoneana aibu.
Tatizo Raia tumeyazeoa na tumeyakubali maisha tunayoishi.
Watawala kwa umoja wao, wanaulinzi wa kutosha na hakuna wanachoogopa, wanatenda na kufanya vile wanavyopenda wao.
 
Huku wamekata toka asubuhi naingia youtube waziri yupo anashuhudia DP World wakilamba dume, akimaliza nadhani ndio atarudi ofisini awaambie warudishe umeme.
 
Wapo "bize" kwanza wanampa "Dipii werdi" bandari chochote tutakacho sema ni kelele kwenye maskio yao, Mungu wa mbinguni aendelee kutuamulia kesi kwa kumchukua mmoja baada ya mwingine
 
Back
Top Bottom