DOKEZO Uzembe wa Hospitali Kuu ya Mkoa Morogoro umesababisha kifo cha Mwanafunzi wa SUA

DOKEZO Uzembe wa Hospitali Kuu ya Mkoa Morogoro umesababisha kifo cha Mwanafunzi wa SUA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sema Bongo swala la afya tunalichulia poa sana aise.Jamaa alikuwa anamaliza Chuo na hii imeenda ukishambiwa ni "yalikuwa mapenzi ya Mungu" hakuna mtu atataka kutafutwe solution ya kudumu tena. Nilionaga pia case ya vifo vya watoto pia, inasikitisha sana.
Hakuna uwajibikaji
 
Asante sana mama kwa kuupiga mwingi yaani hospital ya morogoro ina daktari mmoja tu wa upasuaji?
 
Mama yake hawezi kuumia maana inaonekana kuna shortage ya madaktari na aliyekuwepo alikuwa anawafanyia upasuaji mama wajawazito,dont be judgemental kazini,mjamzito ni first priority
Du! Wewe ni kilaza wa kutupwa
 
Hospital ya mkoa hiyo, hakuna huo ulazima na uwezekano.
Nipo hospital( doctor) pia najua taratibu.
Wewe unaongea nini mzee..? Au mgeni nchi hii..??
Hospitali za rufaa za kanda hazina madaktari bingwa ndo sembuse hospitali za mkoa..? Karibu Tanzania mkuu
 
Daktari alikosa TZS 800,00.00 za kumtibia mwanaye private hospital? Anyways, apumzike kwa amani. Taifa limepoteza nguvu kazi kizembe sana.
Shangaa na wewe, mama kakosa 800k na wanafunzi wenzake wapandisha uzi wameshindwa kuchangishana wapate hata 400k ikamsaidie mwenzao.
 
Gazeti lote hili na simulizi hii imenidurahisha...mkuu mkeo akijifungua huwa unamuhudumia ww au unamsend off kwao akajifungue?

Mambo wayapendayo wanaume kuhudumiwa kama hivyo safi kabisa ila wake zao wakitaka kujifungua hawataki kabisa kuwahudumia madai yao wako busy..hawaezi kufanya kazi hizo japo wapo wachache wanaojielewa.
Mwanamke akijifungua mimba ya kwanza mara nyingi wote mnakuwa hamjui jinsi ya kuhudumia ndo maana wengi wanaenda kuhudumiwa,

mimba ya pili wife alivojifungua sikuruhusu aende, alinifundisha vile alikuwa anahudumiwa kwenye mimba ya kwanza nikawa namuhudumia mimi kwa kufuata maelekezo anayonipa ndo kujua vile wanahudumiwa.
 
Mwanamke akijifungua mimba ya kwanza mara nyingi wote mnakuwa hamjui jinsi ya kuhudumia ndo maana wengi wanaenda kuhudumiwa,

mimba ya pili wife alivojifungua sikuruhusu aende, alinifundisha vile alikuwa anahudumiwa kwenye mimba ya kwanza nikawa namuhudumia mimi kwa kufuata maelekezo anayonipa ndo kujua vile wanahudumiwa.
Chai.
 
Intestinal Obstruction aint that life threatening condition unless otherwise with complications.

Kwa scenerio ya hapo juu ni kwamba mgonjwa alikua amewekwa kwenye matibabu ambayo ni non surgical kama kuendelea kufanya Iv resuscitation na monitoring.

Mpaka wanasema anaweza kusubiri that means hakua kwenye first priority
Lazima tukubali kwamba wataaluma tunapata shida sana na mazingira ya kazi

Doctor patient ratio mpaka sasa kwa nchi yetu bado hairidhishi kabisa

Kuhusu Mama kumpasua mwanaye ni Against code of ethics za kitabibu na sio kila daktari anaweza ku intervene IO
Mimi sio Dr ila naomba nikuulize. Utumbo kujikunja ndio intestinal obstruction au intestinal volvulus( which is medical emergency)?
 
Juzi usiku tulimpeleka hospitali ya Nanguji mwanachuo mwenzetu ambae alizidiwa, wakamfanyia vipimo na kusema utumbo umejikunja hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji kwa haraka, kwa pale gharama zilikuwa ni laki 8 hivyo tukaombwa kupelekwa hospitali ya mkoa kwasababu ya unafuu wa matibabu, tukapewa ambulance ikatupeleka hadi Hospitali Kuu ya mkoa Morogoro, pia tukawasiliana na mama wa mwenzetu nae akaanza safari ya kuja.

Baada ya kufika pale na jinsi situation ilivyokuwa ya dharura lakini tuliambiwa Daktari wa upasuaji hayupo available kwa muda huo kwasababu anahudumia wagonjwa wengine, tulisubiri pale mpaka asubuhi ilipofika na mama wa mwenzetu pia akawa ameshafika, still situation ya kumkosa Daktari ikaendelea, uzuri mama wa mtoto alikua ni Daktari pia hivyo baada ya kuangalia vipimo alivyokuja navyo mwanae kutoka hospitali ya Nanguji vilikuwa very clear kwamba hii ni emergency situation inayopaswa ishughulikiwe kwa haraka zaidi, wao wakazidi kusema Daktari wa upasuaji hayupo available.

Mama wa mwenzetu akaomba apewe room afanye upasuaji mwenyewe, niliondoka nilipoona wanampa vifaa kweli, na hiyo ilikuwa inaelekea jioni sasa, usiku nikampigia yule mama akasema hawakumruhusu na wamemwahidi kesho yake ndio atafanyiwa upasuaji.

Basi nikalala kwa amani nikijua asubuhi mwenzetu atapata huduma, lakini asubuhi nikapokea simu kwamba ndugu yetu, rafiki yetu ameaga dunia.

Kwakweli jambo hili limeniliza sana na nimeshindwa nikalia kimya.

Amefariki tarehe 4/Jul/ 2024 yaan leo.

Siku mbili zote mwenzetu anaishi kwa mateso mpaka umauti wake unamkuta, alikuwa bado wiki moja afanye final exams katika chuo cha SUA na alikuwa mwaka wake wa mwisho, kwakweli imeniuma naomba mpige sauti juu ya hili.

Halafu anatokea mjinga anakwambia bongo kama ulaya ,sijui ulaya ipi wenzetu wanaizungumzia huku ni third world lazima tukumbushane
 
sasa sijui nikupigie picha mshono au discharge form maana iko kwenye makabrasha. sidhani kama ntafaidika chochote ukiamini kwamba sio chai. tufanye tu iwe chai ili mambo yawe simple.
Nachokataa ni wewe kusema unampa post delivery management mkeo hapo nyumbani kwako.

Je unafahamu nini na nini anachoangaliwa anaporudi tena hospitali baada ya kujifungua?
 
Juzi usiku tulimpeleka hospitali ya Nanguji mwanachuo mwenzetu ambae alizidiwa, wakamfanyia vipimo na kusema utumbo umejikunja hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji kwa haraka, kwa pale gharama zilikuwa ni laki 8 hivyo tukaombwa kupelekwa hospitali ya mkoa kwasababu ya unafuu wa matibabu, tukapewa ambulance ikatupeleka hadi Hospitali Kuu ya mkoa Morogoro, pia tukawasiliana na mama wa mwenzetu nae akaanza safari ya kuja.

Baada ya kufika pale na jinsi situation ilivyokuwa ya dharura lakini tuliambiwa Daktari wa upasuaji hayupo available kwa muda huo kwasababu anahudumia wagonjwa wengine, tulisubiri pale mpaka asubuhi ilipofika na mama wa mwenzetu pia akawa ameshafika, still situation ya kumkosa Daktari ikaendelea, uzuri mama wa mtoto alikua ni Daktari pia hivyo baada ya kuangalia vipimo alivyokuja navyo mwanae kutoka hospitali ya Nanguji vilikuwa very clear kwamba hii ni emergency situation inayopaswa ishughulikiwe kwa haraka zaidi, wao wakazidi kusema Daktari wa upasuaji hayupo available.

Mama wa mwenzetu akaomba apewe room afanye upasuaji mwenyewe, niliondoka nilipoona wanampa vifaa kweli, na hiyo ilikuwa inaelekea jioni sasa, usiku nikampigia yule mama akasema hawakumruhusu na wamemwahidi kesho yake ndio atafanyiwa upasuaji.

Basi nikalala kwa amani nikijua asubuhi mwenzetu atapata huduma, lakini asubuhi nikapokea simu kwamba ndugu yetu, rafiki yetu ameaga dunia.

Kwakweli jambo hili limeniliza sana na nimeshindwa nikalia kimya.

Amefariki tarehe 4/Jul/ 2024 yaan leo.

Siku mbili zote mwenzetu anaishi kwa mateso mpaka umauti wake unamkuta, alikuwa bado wiki moja afanye final exams katika chuo cha SUA na alikuwa mwaka wake wa mwisho, kwakweli imeniuma naomba mpige sauti juu ya hili.

Wamekosa laki 8 ya matibabu ila bajeti za mamilioni za mazishi watapata jamii yetu hii shida kweli utakuta hapi mchango wa wanchuo millioni sasa si mngemchangia hospitali huko.
 
Lazima waangalie ni kweli huyo daktari alikuwa na kazi kiasa cha kushindwa kuhudumia wengine. Inawezekana kuna upungufu kweli wa madaktari.
Kama kulikua na upungufu wa madaktari wangewaeleza ukweli na wangeona cha kufanya,Intestinal obstruction ni surgical emergency na inahitaji immediate surgical intervention siku 2 halafu mtu abaki haipo hiyo uzembe,uzembe,uzembe..rest in peace young academician
 
Back
Top Bottom