DOKEZO Uzembe wa Hospitali Kuu ya Mkoa Morogoro umesababisha kifo cha Mwanafunzi wa SUA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Intestinal obstruction is always an emergency case once spotted. Kwa mfano mgonjwa akila kitu na kukitapika muda huohuo ,in projectile vomit hiyo inatosha kuhitimisha
Taratibu mkuu haya mambo Yana wenyewe waachie wewe endelea kufanya Yako.
 
Mama yake hawezi kuumia maana inaonekana kuna shortage ya madaktari na aliyekuwepo alikuwa anawafanyia upasuaji mama wajawazito,dont be judgemental kazini,mjamzito ni first priority
Hospital ya mkoa sio kituo cha afya au hospital ya wilaya
Wapo department wise, hivyo general surgery inajitegemea haingiliani na obs/Gyn, correct me if I'm wrong
Labda kuna ishu ingine lkn hiyo ya kua daktar alikua anafanya operation ya mama sidhani
 
UPUMBAVU na WAPUMBAVU kama huu utaisha lini? Mungu alitaka amuoneshe?????????????????????????????????? ........sometimes its better to remain silent.
 
Hii habari imekaa kikuda
Shida ya kua kila mtu anataka kuwa first reporter
Maana haileti maana kusema kua hospital ya rufaa mgonjwa amsubiri daktar mmoja siku mbili, eti alikua anafanya operation ya mama
Kwanza ob/Gyn kivyake na surgical department ipo kivyake
There is something missing
I second you probably pt was on non surgical intervention probably for stabilization
 
Kwanini kusiwez na madtari wa kulipwa posho
.day workers doct. yupo mtaan ikitokea dokta muajiriw hayupo aitwe yeye afanye kazi alipwe
Kufka hospital kwa wakat na ukakosa huduma kwa wakat na kupelekea mauti au madhara mengine inaumiza sana

R.i.p, go too soon
 
Pole Sana Mkuu Kwa uliyopitia japo usimuliaji wako umenichekesha,hapo kwenye kutuliza mshono nilifanyiwa OP nilivyoruhusiwa nikaja kuchukuliwa na Prado aisee gari ikipita kwenye vile vituta hayo maumivu Yake mpka nikawauliza hivi mna uhakika hii ni gari au tumepanda toroli jamani!!
Tumeingia rafu road ni karibu na nyumbani nikawaambia wanishushe nitembee Kwa miguu!!!
 
Kama hujawahi kushuhudia uzembe unaofanyika mahospitalini huwezi kuelewa hii thread!!
Lakini mkuu hapo kwenye laki nane nadhani hamkumtafuta mama yake kwanza mkafanya maamuzi ya kumhamisha!!
Maana hata muuza genge Kwa inshu hiyo angekopa hata kausha ili mtoto atibiwe!!!
Rest in peace kijana mdogo
Nb; uzembe mahospitalini upo tuchukue tahadhari!!!
 
Hospital ya mkoa sio kituo cha afya au hospital ya wilaya
Wapo department wise, hivyo general surgery inajitegemea haingiliani na obs/Gyn, correct me if I'm wrong
Labda kuna ishu ingine lkn hiyo ya kua daktar alikua anafanya operation ya mama sidhani
Uko sahihi,ila huduma zetu zaafya ziko poor,tutafute hela na network pale muhimbili au uende Agha Khan,hizi za mkoa sijui wilaya ni kudanganyana tu,hata uchunguzi ukifanyika trust me doctor itaonekana hana kosa,maana unaweza kuta kulikuwa na watu wenye emergency case wengi kuliko anavyoweza kuamini,sitaki kuamini kuwa doctor alikuwa busy anachat au anakunywa chai
 
Aisee Mungu azidi kuwatunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…