Uzembe wa TANESCO, Nguzo iliyo anguka yaua Mwanafunzi Kyela

Uzembe wa TANESCO, Nguzo iliyo anguka yaua Mwanafunzi Kyela

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Wilayani Kyela, Katika kata ya Serengeti siku ya jumamosi 27-02-2021 ilipata kuanguka nguzo mojawapo ya umeme wa Tanesco Hata kukapelekea kukosekana kwa umeme katika katika kata hiyo. Ikumbukwe leo ni Ijumaa ya tarehe 05-03-2021.

Wana-Serengeti wakafanya jitihada ya kuwasiliana na mamlaka za umeme (Tanesco Kyela - 0787028355) ili waweze kufanya marekebishi ya nguzo hiyo kwa sababu ilikuwa imedondoka katika maeneo ambapo watoto wanapenda kucheza cheza na pia kuweza kurejesha huduma za umeme haraka kwa wakaazi wa eneo hilo.

Cha kushangaza tangu wapewe taarifa ya kudondoka kwa nguzo hiyo wameshindwa kuchukua hatua stahiki na haraka zaidi. Ukijaribu kuwasiliana nao wanatoa majibu ya ajabu ajabu wa wananchi. Tangu jumapili ya wiki iliyopita mpaka leo hii ni siku 6 zimepita hawajafika katika eneo ili kutimiza wajibu wao. Wananchi wamekuwa wakidhani labda idara ya tanesco ya umeme haina pesa ili kuweza kulipa mafundi waje kutimiza wajibu hata wakajaribu kuona uwezekano wa kuchangisha mapema ili zoezi lianze.

Jioni ya leo mmoja wa mwanafunzi wa shule ya msingi ajulikanaye kawa jina la Albert Mwakajila (6) amefariki kutokana na kuchezea nyaya ya umeme ambayo imedondoka na nguzo hiyo.

Wananchi wa kata ya Serengeti wanaomba msaada kutoka ofisi za Tanesco mkoani mbeya ili kufuatilia suala hili mapema iwezekanavyo ili kuondoa hatari ya umeme kwa watoto wa eneo hilo.

Kata ya Serengeti wilayani Kyela imekosa umeme tangu siku ya jumamosi usiku wa tarehe 27-02-2021
Nawasilisha.

UPDATES:

Baadaya ya kubandikwa kwa bandiko hili. Leo mchana tanesco wamefika enelo la tukio na kuanza kuchimba mashimo ya kusimamisha nguzo 2 zilizo anguka wiki iliyopita.
 
Tanesco wana structure mbovu kiutendaji na ndio maana emmergence nyingi wanashindwa kizitatua mapema.

On other side workers wao wana schedule nzito mno, inawezekana idara ya construction ikawa na kazi kama 23 kwa siku moja, hata kitengo cha emmergence kinaweza kuhusishw a kwenye kazi za magroup mengine ili kufidia gap la idadi ya kazi.

I see nothing done after this
 
Wilayani Kyela, Katika kata ya Serengeti siku ya jumamosi 27-02-2021 ilipata kuanguka nguzo mojawapo ya umeme wa Tanesco Hata kukapelekea kukosekana kwa umeme katika katika kata hiyo. Ikumbukwe leo ni Ijumaa ya tarehe 05-03-2021.

Wana-Serengeti wakafanya jitihada ya kuwasiliana na mamlaka za umeme (Tanesco Kyela - 0787028355) ili waweze kufanya marekebishi ya nguzo hiyo kwa sababu ilikuwa imedondoka katika maeneo ambapo watoto wanapenda kucheza cheza na pia kuweza kurejesha huduma za umeme haraka kwa wakaazi wa eneo hilo.

Cha kushangaza tangu wapewe taarifa ya kudondoka kwa nguzo hiyo wameshindwa kuchukua hatua stahiki na haraka zaidi. Ukijaribu kuwasiliana nao wanatoa majibu ya ajabu ajabu wa wananchi. Tangu jumapili ya wiki iliyopita mpaka leo hii ni siku 6 zimepita hawajafika katika eneo ili kutimiza wajibu wao. Wananchi wamekuwa wakidhani labda idara ya tanesco ya umeme haina pesa ili kuweza kulipa mafundi waje kutimiza wajibu hata wakajaribu kuona uwezekano wa kuchangisha mapema ili zoezi lianze.

Jioni ya leo mmoja wa mwanafunzi wa shule ya msingi ajulikanaye kawa jina la Albert Mwakajila (6) amefariki kutokana na kuchezea nyaya ya umeme ambayo imedondoka na nguzo hiyo.

Wananchi wa kata ya Serengeti wanaomba msaada kutoka ofisi za Tanesco mkoani mbeya ili kufuatilia suala hili mapema iwezekanavyo ili kuondoa hatari ya umeme kwa watoto wa eneo hilo.

Kata ya Serengeti wilayani Kyela imekosa umeme tangu siku ya jumamosi usiku wa tarehe 27-02-2021
Nawasilisha.
Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji na hatua zaidi.
 
Wilayani Kyela, Katika kata ya Serengeti siku ya jumamosi 27-02-2021 ilipata kuanguka nguzo mojawapo ya umeme wa Tanesco Hata kukapelekea kukosekana kwa umeme katika katika kata hiyo. Ikumbukwe leo ni Ijumaa ya tarehe 05-03-2021.

Wana-Serengeti wakafanya jitihada ya kuwasiliana na mamlaka za umeme (Tanesco Kyela - 0787028355) ili waweze kufanya marekebishi ya nguzo hiyo kwa sababu ilikuwa imedondoka katika maeneo ambapo watoto wanapenda kucheza cheza na pia kuweza kurejesha huduma za umeme haraka kwa wakaazi wa eneo hilo.

Cha kushangaza tangu wapewe taarifa ya kudondoka kwa nguzo hiyo wameshindwa kuchukua hatua stahiki na haraka zaidi. Ukijaribu kuwasiliana nao wanatoa majibu ya ajabu ajabu wa wananchi. Tangu jumapili ya wiki iliyopita mpaka leo hii ni siku 6 zimepita hawajafika katika eneo ili kutimiza wajibu wao. Wananchi wamekuwa wakidhani labda idara ya tanesco ya umeme haina pesa ili kuweza kulipa mafundi waje kutimiza wajibu hata wakajaribu kuona uwezekano wa kuchangisha mapema ili zoezi lianze.

Jioni ya leo mmoja wa mwanafunzi wa shule ya msingi ajulikanaye kawa jina la Albert Mwakajila (6) amefariki kutokana na kuchezea nyaya ya umeme ambayo imedondoka na nguzo hiyo.

Wananchi wa kata ya Serengeti wanaomba msaada kutoka ofisi za Tanesco mkoani mbeya ili kufuatilia suala hili mapema iwezekanavyo ili kuondoa hatari ya umeme kwa watoto wa eneo hilo.

Kata ya Serengeti wilayani Kyela imekosa umeme tangu siku ya jumamosi usiku wa tarehe 27-02-2021
Nawasilisha.
Tafadhali tusaidie namba yako ya simu kwa hatua zaidi
 
Wana-Serengeti wakafanya jitihada ya kuwasiliana na mamlaka za umeme (Tanesco Kyela - 0787028355) ili waweze kufanya marekebishi ya nguzo hiyo kwa sababu ilikuwa imedondoka katika maeneo ambapo watoto wanapenda kucheza cheza na pia kuweza kurejesha huduma za umeme haraka kwa wakaazi wa eneo hilo.

Cha kushangaza tangu wapewe taarifa ya kudondoka kwa nguzo hiyo wameshindwa kuchukua hatua stahiki na haraka zaidi. Ukijaribu kuwasiliana nao wanatoa majibu ya ajabu ajabu wa wananchi. Tangu jumapili ya wiki iliyopita mpaka leo hii ni siku 6 zimepita hawajafika katika eneo ili kutimiza wajibu wao. Wananchi wamekuwa wakidhani labda idara ya tanesco ya umeme haina pesa ili kuweza kulipa mafundi waje kutimiza wajibu hata wakajaribu kuona uwezekano wa kuchangisha mapema ili zoezi lianze.
Hii iwe funzo iondoke na meneja wa taa mi siko mkoa, wilaya na hata taifa, wameweka namba za simu hadharani wakati hazipatikani, zikipatikana hazipokelewi, zikipokelewa hazifanyiwi kazi, cha kushangaza unakuta magari yao yameegesha kwa mamalishe wanakula supu
 
Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji na hatua zaidi.
Politics, ungefuatilia si ungekuwa ulirekebisha tatizo six days ago!!!

Tuliwaambia Tanesco mikoani na Wilayani ni walevi watupu, wekeni namba moja makao makuu, wananchi wawapigie makao makuu, ninyi wa makao makuu ndiyo muwafuatilie hao subordinates wenu mkaona sisi wazushi, leo mmeua mnahaha!!!! Shame on you, I hate Tanesco staff
 
6 days nguzo ipo chini? Hivi hawa viongozi wa Tanesco Mbeya hasa Kyela wanauelewa wowote kuhusiana na safety, zile safety meeting mnazofanyaga kila siku asubuhi huwa mnazizingatia au ni mazoea tu. Hili la kifo cha huyu mwanafunzi inabadi liondoke na vyeo vya watu hasa wakuu mbalili ili iwe funzo.

Tatizo kubwa la tanesco huwa ni viongozi hasa wasimamizi usije kuta hata vijana wa STE walitaka kwenda kunyanyua hiyo nguzo ila viongozi wakawakwamisha, tanesco msipokuwa makini na hawa mnaowapa kazi za usimamizi mtakwamishwa sana na wanaweza kuwaingiza kwenye hasara kubwa. Fanyeni uchunguzi wenu na huko Katoro Geita ni kama nako kuna shida fulani hivi ya usimamizi. Ikiwa msimamizi anawataka vijana wa STE waache kazi waende nyumbani mpaka atakapo waita yeye je, muda watao ondoka hao vijana ni hasara kiasi gani kampuni itapata?
 
Wilayani Kyela, Katika kata ya Serengeti siku ya jumamosi 27-02-2021 ilipata kuanguka nguzo mojawapo ya umeme wa Tanesco Hata kukapelekea kukosekana kwa umeme katika katika kata hiyo. Ikumbukwe leo ni Ijumaa ya tarehe 05-03-2021.

Wana-Serengeti wakafanya jitihada ya kuwasiliana na mamlaka za umeme (Tanesco Kyela - 0787028355) ili waweze kufanya marekebishi ya nguzo hiyo kwa sababu ilikuwa imedondoka katika maeneo ambapo watoto wanapenda kucheza cheza na pia kuweza kurejesha huduma za umeme haraka kwa wakaazi wa eneo hilo.

Cha kushangaza tangu wapewe taarifa ya kudondoka kwa nguzo hiyo wameshindwa kuchukua hatua stahiki na haraka zaidi. Ukijaribu kuwasiliana nao wanatoa majibu ya ajabu ajabu wa wananchi. Tangu jumapili ya wiki iliyopita mpaka leo hii ni siku 6 zimepita hawajafika katika eneo ili kutimiza wajibu wao. Wananchi wamekuwa wakidhani labda idara ya tanesco ya umeme haina pesa ili kuweza kulipa mafundi waje kutimiza wajibu hata wakajaribu kuona uwezekano wa kuchangisha mapema ili zoezi lianze.

Jioni ya leo mmoja wa mwanafunzi wa shule ya msingi ajulikanaye kawa jina la Albert Mwakajila (6) amefariki kutokana na kuchezea nyaya ya umeme ambayo imedondoka na nguzo hiyo.

Wananchi wa kata ya Serengeti wanaomba msaada kutoka ofisi za Tanesco mkoani mbeya ili kufuatilia suala hili mapema iwezekanavyo ili kuondoa hatari ya umeme kwa watoto wa eneo hilo.

Kata ya Serengeti wilayani Kyela imekosa umeme tangu siku ya jumamosi usiku wa tarehe 27-02-2021
Nawasilisha.
Ndugu mpendwa mteja wetu

Tumefatilia kwa kina mpaka kwa uongozi wa eneo husika hakuna nguzo iliyoanguka bali ziliinamana na kazi ya kuzibadilisha ilishindikana kutokana na uwepo wa nyuki wengi kwenye nguzo hizo.Usiku wa kuamkia leo tumefanikiwa kuondoa nyuki na sasa zitabadilishwa.Aidha hakuna kifo chochote kilichotowe taarifa au kutokea eneo husika hivyo kama una taarifa ya ziada weka hapa na namba yako tukusikilize.
 
Tafadhali tusaidie namba yako ya simu kwa hatua zaidi
Sasa namba yake ya simu ya nini? Mmeelekezwa tukio lilipo, magari mnayo na mna mawasiliano ya viongozi wa serikali wa maeneo hayo au mtoa taarifa wenu wa eneo hilo. Kwanini msiwasiliane na hao hadi mtake namba ya simu ya mtoa taarifa humu?

Kwani T&C za JF hamzijui?
 
Ndugu mpendwa mteja wetu

Tumefatilia kwa kina mpaka kwa uongozi wa eneo husika hakuna nguzo iliyoanguka bali ziliinamana na kazi ya kuzibadilisha ilishindikana kutokana na uwepo wa nyuki wengi kwenye nguzo hizo.Usiku wa kuamkia leo tumefanikiwa kuondoa nyuki na sasa zitabadilishwa.Aidha hakuna kifo chochote kilichotowe taarifa au kutokea eneo husika hivyo kama una taarifa ya ziada weka hapa na namba yako tukusikilize.
Majibu ya uongo uongo hayotaosaidia kitu ,TANESCO mnawajibika kwa kifo cha mtoto Albert ,ningekuwa mwanasheria ningewashikisha adabu nyie.
 
Ndugu mpendwa mteja wetu

Tumefatilia kwa kina mpaka kwa uongozi wa eneo husika hakuna nguzo iliyoanguka bali ziliinamana na kazi ya kuzibadilisha ilishindikana kutokana na uwepo wa nyuki wengi kwenye nguzo hizo.Usiku wa kuamkia leo tumefanikiwa kuondoa nyuki na sasa zitabadilishwa.Aidha hakuna kifo chochote kilichotowe taarifa au kutokea eneo husika hivyo kama una taarifa ya ziada weka hapa na namba yako tukusikilize.
mh! taa mi siko! Ya kweli haya? Basi sawa tukubali maana hatuko eneo la tukio.

Ila umejitahidi lujibu vema. Hongera.
 
Back
Top Bottom