Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba hapana.Sasa namba yake ya simu ya nini? Mmeelekezwa tukio lilipo, magari mnayo na mna mawasiliano ya viongozi wa serikali wa maeneo hayo au mtoa taarifa wenu wa eneo hilo. Kwanini msiwasiliane na hao hadi mtake namba ya simu ya mtoa taarifa humu?
Kwani T&C za JF hamzijui?
Je unaweza kudhibitisha taarifa zako?Namba hapana.
Kwaiyo mdau wetu kaleta taarifa za uongo?Ndugu mpendwa mteja wetu
Tumefatilia kwa kina mpaka kwa uongozi wa eneo husika hakuna nguzo iliyoanguka bali ziliinamana na kazi ya kuzibadilisha ilishindikana kutokana na uwepo wa nyuki wengi kwenye nguzo hizo.Usiku wa kuamkia leo tumefanikiwa kuondoa nyuki na sasa zitabadilishwa.Aidha hakuna kifo chochote kilichotowe taarifa au kutokea eneo husika hivyo kama una taarifa ya ziada weka hapa na namba yako tukusikilize.
Tunashukuru kuleta taarifa hapa lakini tunawasihi wapendwa wateja wetu kuzingatia usahihi wa taarifa ili kuondoa taharuki kwa wateja wengineKwaiyo mdau wetu kaleta taarifa za uongo?
[emoji23][emoji23][emoji23] nyie ni watu wasiojulikanaTafadhali tusaidie namba yako ya simu kwa hatua zaidi
Kwaiyo eneo tajwa mlifika?Tunashukuru kuleta taarifa hapa lakini tunawasihi wapendwa wateja wetu kuzingatia usahihi wa taarifa ili kuondoa taharuki kwa wateja wengine
Tanesco Mkoa mzima wa Mbeya ni ovyo sana inatakiwa waamishwe au Kaleman aje kuwatumbua kuanzia meneja wa Kanda mpaka msaidizi wa hr , they are poor one. Ovyo kabisa. Wote wanao usika na administration wapanguliwe, otherwise wapelekwe mikoa mingine ambayo wataimudu.Kuna sticky thread yao humu imewekwa kumukoga Rais na Waziri wa Nishati kuwa wanafanya kazi kumbe hovyo kabisa, ningekuwa mimi ningewafumua kuanzia Mkurugenzi wao mpaka mpika chai wao
Nini haswa unalalamikia?Tanesco Mkoa mzima wa Mbeya ni ovyo sana inatakiwa waamishwe au Kaleman aje kuwatumbua kuanzia meneja wa Kanda mpaka msaidizi wa hr , they are poor one. Ovyo kabisa. Wote wanao usika na administration wapanguliwe, otherwise wapelekwe mikoa mingine ambayo wataimudu.
Point , saa tatu wanakula supu mda wa kazi?Hii iwe funzo iondoke na meneja wa taa mi siko mkoa, wilaya na hata taifa, wameweka namba za simu hadharani wakati hazipatikani, zikipatikana hazipokelewi, zikipokelewa hazifanyiwi kazi, cha kushangaza unakuta magari yao yameegesha kwa mamalishe wanakula supu
Wapi? Tutumie namba za gari tufanyie kaziPoint , saa tatu wanakula supu mda wa kazi?
Ha haa aisee mi leo nacheka tu majibu yenuWapi? Tutumie namba za gari tufanyie kazi
Tunapenda kufanyia kazi taarifa za wateja wetu hivyo unapolalamika weka taarifa kamili sisi tuofanyie kaziHa haa aisee mi leo nacheka tu majibu yenu
Ni shirika la hovyo kabisa kuwahi kutokeaPoint , saa tatu wanakula supu mda wa kazi?
Kwanini?Ni shirika la hovyo kabisa kuwahi kutokea
Wafukuzwe kabisa!!!!inatakiwa waamishwe
Sawa. Leo msitukatie umeme maana siku tatu alizowapa waziri zimepita.Tunapenda kufanyia kazi taarifa za wateja wetu hivyo unapolalamika weka taarifa kamili sisi tuofanyie kazi
Kama hujui hata chanzo cha mjadala huu maana yake ni wa hovyo, hujui wajibu wakoKwanini?
Kwa nini nyie msiwape namba zenu za uhakika wakipiga wawapate wa wakatiTafadhali tusaidie namba yako ya simu kwa hatua zaidi
Je umepitia majibu yetu ya kukanusha hii taarifa?Kama hujui hata chanzo cha mjadala huu maana yake ni wa hovyo, hujui wajibu wako