Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Mimi sio mteja wenu.Ndugu mteja,
Soma hapo juu tumetoa maelezo ya kina hakuna nguzo ilioanguka wala kusababisha kifo
Mimi natumia solar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio mteja wenu.Ndugu mteja,
Soma hapo juu tumetoa maelezo ya kina hakuna nguzo ilioanguka wala kusababisha kifo
Tatizo ni nini hasa?We jamaa huwa unajibu kama roboti, yaani unaudhi sana, unakera mna jinsi unavyojibu, laiti ningekujua niknhekufuata ulipo nikutandike vinao, jibu kama binadamu mwenye utashi na ubongo kichwani kwake, damn it!
Umeshindwa kabisa hata kuweka picha ya nguzo iliyodondoka?Wilayani Kyela, Katika kata ya Serengeti siku ya jumamosi 27-02-2021 ilipata kuanguka nguzo mojawapo ya umeme wa Tanesco Hata kukapelekea kukosekana kwa umeme katika katika kata hiyo. Ikumbukwe leo ni Ijumaa ya tarehe 05-03-2021.
Wana-Serengeti wakafanya jitihada ya kuwasiliana na mamlaka za umeme (Tanesco Kyela - 0787028355) ili waweze kufanya marekebishi ya nguzo hiyo kwa sababu ilikuwa imedondoka katika maeneo ambapo watoto wanapenda kucheza cheza na pia kuweza kurejesha huduma za umeme haraka kwa wakaazi wa eneo hilo.
Cha kushangaza tangu wapewe taarifa ya kudondoka kwa nguzo hiyo wameshindwa kuchukua hatua stahiki na haraka zaidi. Ukijaribu kuwasiliana nao wanatoa majibu ya ajabu ajabu wa wananchi. Tangu jumapili ya wiki iliyopita mpaka leo hii ni siku 6 zimepita hawajafika katika eneo ili kutimiza wajibu wao. Wananchi wamekuwa wakidhani labda idara ya tanesco ya umeme haina pesa ili kuweza kulipa mafundi waje kutimiza wajibu hata wakajaribu kuona uwezekano wa kuchangisha mapema ili zoezi lianze.
Jioni ya leo mmoja wa mwanafunzi wa shule ya msingi ajulikanaye kawa jina la Albert Mwakajila (6) amefariki kutokana na kuchezea nyaya ya umeme ambayo imedondoka na nguzo hiyo.
Wananchi wa kata ya Serengeti wanaomba msaada kutoka ofisi za Tanesco mkoani mbeya ili kufuatilia suala hili mapema iwezekanavyo ili kuondoa hatari ya umeme kwa watoto wa eneo hilo.
Kata ya Serengeti wilayani Kyela imekosa umeme tangu siku ya jumamosi usiku wa tarehe 27-02-2021
Nawasilisha.
Ndugu mpendwa mteja wetu
Tumefatilia kwa kina mpaka kwa uongozi wa eneo husika hakuna nguzo iliyoanguka bali ziliinamana na kazi ya kuzibadilisha ilishindikana kutokana na uwepo wa nyuki wengi kwenye nguzo hizo.Usiku wa kuamkia leo tumefanikiwa kuondoa nyuki na sasa zitabadilishwa.Aidha hakuna kifo chochote kilichotowe taarifa au kutokea eneo husika hivyo kama una taarifa ya ziada weka hapa na namba yako tukusikilize.
Yaani Tanesco hawawezi kuua Nyuki eti.Tanesco mnathibitisha udhaifu wenu hadharani.
Ina maana baada ya malalamiko ya kuwa nguzo imeua ndiyo mkaja na majibu ya kukanusha?
Kama malalamiko hayo yasingekuwepo maana yake hakuna kazi ingefanyika.
Hao nyuki waliwashinda akili hapo kabla. Ila leo dawa ndiyo imepatikana. Rungu Spray iliwashinda kununua?
Pathetic!...
Ni kipi hasa hujaelewa katika nilichoandika? Hujui kusoma au una shida ya kuelewa? Huyu jamaa huwa kuna nyuzi nyingi sana humu huwa anajibu kuhusu Tanesco, nenda kazisome walau chache tu, then uone jinsi anavyojibu, ni kama roboti.Tatizo ni nini hasa?
Huyu bwana amefanya follow-up na kuleta mrejesho kuwa hakuna ajali yoyote iliyotokea zaidi ya nguzo kuinama, na aliyeleta tuhuma athibitishe beyond reasonable doubt. Sasa weye povu linakutoka, why??
Tunashukuru sanaNi kipi hasa hujaelewa katika nilichoandika? Hujui kusoma au una shida ya kuelewa? Huyu jamaa huwa kuna nyuzi nyingi sana humu huwa anajibu kuhusu Tanesco, nenda kazisome walau chache tu, then uone jinsi anavyojibu, ni kama roboti.
Mnazingua sana tena sana,,swala la nguzo kuanguka ni la haraka mno maana madhara yake ni makubwa sn,,kweli hamkujua yanayoweza kutokea,,maana hii ni sawa na jengo linaloungua kwa watu wa fire,,,ukweli mnakeraTumepokea taarifa kwa ufatiliaji na hatua zaidi.
Namba za simu?? Si ametaja eneo huduma na man watu hapo,,why msiwatafute wait kuhakiki jambo hiloTafadhali tusaidie namba yako ya simu kwa hatua zaidi
Hivi sasa unajibu kama binadamu, hivi ndivyo unatakiwa uwe unajibu na kuzungumza na watu, sio kutoa majibu mafupi ya mkato na yasiyo na mantiki kama preprogrammed computer isiyo na utashi.Tunashukuru sana
Taarifa imejibiwa aliyejibiwa hakutoa ushahidi au kukanusha je robot gani angweza kufatilia na kujibu
Wakati mwingine tushukuru hata Shirika kuona umuhimu wa kuwajibu taarifa zenu humu
Kama usemacho ni kweli, basi wanahitaji kujirekebisha fasta. Watu wa emergency ni sawa na zimamoto huwezi kuwapa kazi nyingine kwa sababu yoyote ile.Tanesco wana structure mbovu kiutendaji na ndio maana emmergence nyingi wanashindwa kizitatua mapema.
On other side workers wao wana schedule nzito mno, inawezekana idara ya construction ikawa na kazi kama 23 kwa siku moja, hata kitengo cha emmergence kinaweza kuhusishw a kwenye kazi za magroup mengine ili kufidia gap la idadi ya kazi.
I see nothing done after this
Tunashukuru sana
Taarifa imejibiwa aliyejibiwa hakutoa ushahidi au kukanusha je robot gani angweza kufatilia na kujibu
Wakati mwingine tushukuru hata Shirika kuona umuhimu wa kuwajibu taarifa zenu humu
Baada ya mwanafunzi kupoteza maisha?Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji na hatua zaidi.
Ndugu mteja,
Soma hapo juu tumetoa maelezo ya kina hakuna nguzo ilioanguka wala kusababisha kifo
Aisee wewe ni afisa habari na huduma kwa wateja TANESCO??Tunashukuru sana
Taarifa imejibiwa aliyejibiwa hakutoa ushahidi au kukanusha je robot gani angweza kufatilia na kujibu
Wakati mwingine tushukuru hata Shirika kuona umuhimu wa kuwajibu taarifa zenu humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanini?
Yani nimecheka mno..dah[emoji23][emoji23][emoji23]..Daah,kazi ya customer care ni ngumu kwelikweli.