Uzembe wa TANESCO, Nguzo iliyo anguka yaua Mwanafunzi Kyela

We jamaa huwa unajibu kama roboti, yaani unaudhi sana, unakera mna jinsi unavyojibu, laiti ningekujua niknhekufuata ulipo nikutandike vinao, jibu kama binadamu mwenye utashi na ubongo kichwani kwake, damn it!
Tatizo ni nini hasa?
Huyu bwana amefanya follow-up na kuleta mrejesho kuwa hakuna ajali yoyote iliyotokea zaidi ya nguzo kuinama, na aliyeleta tuhuma athibitishe beyond reasonable doubt. Sasa weye povu linakutoka, why??
 
Umeshindwa kabisa hata kuweka picha ya nguzo iliyodondoka?
Tupia hapa jukwaani hata picha ya msiba.
 
Umeshindwa kabisa hata kuweka picha ya nguzo iliyodondoka?
Tupia hapa jukwaani hata picha ya msiba.
Nimekuelewa ulivyohitaji picha ya eneo.

Ila umenishangaza ulipo hitaji hadi picha za msibani. Mungu akuongezee hekima kijana.
 

Imagine TANESCO wanakwambia walishindwa kufanya kazi kwa sababu ya Nyuki, yaani TANESCO wanaogopa nyuki kuliko umeme.

Yaani nisinge weka hili bandiko hapa basi bila shaka wananchi wa kata ya serengeti wangekaa bila umeme kwa zaidi ya mwezi & pengine watoto zaidi wangekufa kutokana na nyaya za umeme zilizokuwa wazi njiani.
 
Kwaiyo mdau wetu kaleta taarifa za uongo?
Kama wanabisha waende kwenye uwanja wa kaisi mkabala na nyumba ya blue watakuta msiba pale.
 
Yaani Tanesco hawawezi kuua Nyuki eti.
 
Tatizo ni nini hasa?
Huyu bwana amefanya follow-up na kuleta mrejesho kuwa hakuna ajali yoyote iliyotokea zaidi ya nguzo kuinama, na aliyeleta tuhuma athibitishe beyond reasonable doubt. Sasa weye povu linakutoka, why??
Ni kipi hasa hujaelewa katika nilichoandika? Hujui kusoma au una shida ya kuelewa? Huyu jamaa huwa kuna nyuzi nyingi sana humu huwa anajibu kuhusu Tanesco, nenda kazisome walau chache tu, then uone jinsi anavyojibu, ni kama roboti.
 
Ni kipi hasa hujaelewa katika nilichoandika? Hujui kusoma au una shida ya kuelewa? Huyu jamaa huwa kuna nyuzi nyingi sana humu huwa anajibu kuhusu Tanesco, nenda kazisome walau chache tu, then uone jinsi anavyojibu, ni kama roboti.
Tunashukuru sana

Taarifa imejibiwa aliyejibiwa hakutoa ushahidi au kukanusha je robot gani angweza kufatilia na kujibu

Wakati mwingine tushukuru hata Shirika kuona umuhimu wa kuwajibu taarifa zenu humu
 
Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji na hatua zaidi.
Mnazingua sana tena sana,,swala la nguzo kuanguka ni la haraka mno maana madhara yake ni makubwa sn,,kweli hamkujua yanayoweza kutokea,,maana hii ni sawa na jengo linaloungua kwa watu wa fire,,,ukweli mnakera
 
Tunashukuru sana

Taarifa imejibiwa aliyejibiwa hakutoa ushahidi au kukanusha je robot gani angweza kufatilia na kujibu

Wakati mwingine tushukuru hata Shirika kuona umuhimu wa kuwajibu taarifa zenu humu
Hivi sasa unajibu kama binadamu, hivi ndivyo unatakiwa uwe unajibu na kuzungumza na watu, sio kutoa majibu mafupi ya mkato na yasiyo na mantiki kama preprogrammed computer isiyo na utashi.
Cha zaidi, kujibu hoja zinazowahusu ni wajibu na si favor kuwa mshukuriwe, kuna kitengo cha mawasiliano na mnalipwa. Na usinijibu tena, yaishe.
 
Kama usemacho ni kweli, basi wanahitaji kujirekebisha fasta. Watu wa emergency ni sawa na zimamoto huwezi kuwapa kazi nyingine kwa sababu yoyote ile.
 
Tunashukuru sana

Taarifa imejibiwa aliyejibiwa hakutoa ushahidi au kukanusha je robot gani angweza kufatilia na kujibu

Wakati mwingine tushukuru hata Shirika kuona umuhimu wa kuwajibu taarifa zenu humu

Tuwashukuru kwa kutujibu taarifa zetu? Mkuu unatudharau.. Kutujibu ni lazima na sio ombi, mnalipwa mshahara kwa kazi hiyo.
Na umeme hamtupi bure tunanunua kwa gharama kubwa iliyopitiliza.
 
Ndugu mteja,
Soma hapo juu tumetoa maelezo ya kina hakuna nguzo ilioanguka wala kusababisha kifo

Tunashukuru sana

Taarifa imejibiwa aliyejibiwa hakutoa ushahidi au kukanusha je robot gani angweza kufatilia na kujibu

Wakati mwingine tushukuru hata Shirika kuona umuhimu wa kuwajibu taarifa zenu humu
Aisee wewe ni afisa habari na huduma kwa wateja TANESCO??

Tumia akili kidogo nana busara na hekima, hata kama hujapata mafunzo stahiki, wacha kuliaibisha shirika, kwa kujibizana na wateja walio nyuma ya keyboard.

Tatizo limekwishatatuliwa hilo ndiyo la msingi, kujibizana humu ni kuliharibia shirika image. ACHA TAFADHALI!
Unaanza kuonekana rude, obnoxious, pompous & arrogant.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…