Uzi gani hutakaa uusome JamiiForums?

Uzi wowote uliiandikwa kwa kiingereza huwa sihangaiki nao, naona ni ukosefu wa uzalendo.

(Basi kuna watu watawaza eti sijui kiingereza).
 
Siasa siasa na uchochezi
 
Kuna zile sjui zinaitwa CHOMBEZO... nazipitaga tuu
 
Uzi wowote wenye neno "tumpongeze Joni josefu"
 
Sijui mtu aliwaza nini kuanzisha, thread eti makosa aliyofanya MUNGU,niliusoma kwakuwa nilimuhurumia sana aliyeandika

Hata contents zenyewe hazina hata mashiko,ni vile tu watu kujitafutia laana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…