Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa siasa na uchocheziWasalaam Wakuu.
JF ni chuo kitaa. Unajifunza mengi mazuri na mabaya pia. Kama ambavyo chuo kuna kozi huwezi kuisoma, hata humu JF kuna nyuzi ambazo hutaki kuisoma kwa sababu moja ama nyingine.
Kichwa cha uzi kinabeba maana kubwa sana katika kumshawishi mtu kuusoma au kuupuzia. Na ndivyo ambavyo imekuwa kwangu.
Ukienda katika Jukwaa la JF Intelligence kuna uzi wenye kichwa 'Makosa 10 aliyofanya Mungu '
Pamoja na kuwa nauona kila siku sijawahi kuthubutu kuufungua. Binafsi, mimi ni muumi ni mkubwa sana kuwa Mungu yupo na ni muweza wa mambo yote kwa usahihi. Na hivyo, naamini Mungu hakosei katika maamuzi yake kwa utukufu alionao.
Ndiyo maana sikuona maana yeyote ya kuufatilia huo uzi. Pia, maandishi yana nguvu kubwa sana katika ushawishi. Kuusoma tu uzi ule kungeanza kujengeka picha katika ubongo wangu ni kwa namna gani Mungu alikosea na kufanya hivyo kungeanza kushusha kiwango cha imani yangu.
Hizo ndizo sababu zilizonifanya kuupuzia.
Je, wewe ni uzi upi ambao huwezi kuusoma na kwa sababu gani?
Nitakuja, usijali.Umekataa kuja kunisabahi jirani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulia usome shule kwanza mdogo wangu. Mambo ya mapenzi kwa sasa hayakufai
Mungu akubariki sana mjukuuUzi wa betting.
Uzi wowote alioanzisha kidukulilo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa bila kuisoma utajua je ni ya hvyo hovyo?
Aaha nilimu ignore so siwezi ona nyuzi zake.. ila ni utopolo mtupu yani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]ukiuona nitag
Aaha nilimu ignore so siwezi ona nyuzi zake.. ila ni utopolo mtupu yani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Kichwa cha habari na mwanzisha mada.Sasa bila kuisoma utajua je ni ya hvyo hovyo?
Eeeeh
Akati saa hizi umetoma kusoma..[emoji23][emoji23]kula tunda kimasihara... [emoji706]
can you prove!!!?Akati saa hizi umetoma kusoma..[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app