Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo la kheri kaka.Asalaam Alekyum!
Alhamdulillah, sijambo kabisa. Super mama naye yu buheri wa afya tele.
Mambo mengi, ila nipo. Kheri?
Hata wewe [emoji16]Makosa 10 aliyofanya Mungu '.....sijawahi kuugusa nauogopa sana sijui kwanini
Happy New Year.Sijawahi ogopa / kutotaka kufungua Uzi fulani, nafungua nasoma partially au siusomi kabisa ila nitapitia comments mbili tatu then naupotezea mazima.
Kula tunda kimasiharaWasalaam Wakuu.
JF ni chuo kitaa. Unajifunza mengi mazuri na mabaya pia. Kama ambavyo chuo kuna kozi huwezi kuisoma, hata humu JF kuna nyuzi ambazo hutaki kuisoma kwa sababu moja ama nyingine.
Kichwa cha uzi kinabeba maana kubwa sana katika kumshawishi mtu kuusoma au kuupuzia. Na ndivyo ambavyo imekuwa kwangu.
Ukienda katika Jukwaa la JF Intelligence kuna uzi wenye kichwa 'Makosa 10 aliyofanya Mungu '
Pamoja na kuwa nauona kila siku sijawahi kuthubutu kuufungua. Binafsi, mimi ni muumi ni mkubwa sana kuwa Mungu yupo na ni muweza wa mambo yote kwa usahihi. Na hivyo, naamini Mungu hakosei katika maamuzi yake kwa utukufu alionao.
Ndiyo maana sikuona maana yeyote ya kuufatilia huo uzi. Pia, maandishi yana nguvu kubwa sana katika ushawishi. Kuusoma tu uzi ule kungeanza kujengeka picha katika ubongo wangu ni kwa namna gani Mungu alikosea na kufanya hivyo kungeanza kushusha kiwango cha imani yangu.
Hizo ndizo sababu zilizonifanya kuupuzia.
Je, wewe ni uzi upi ambao huwezi kuusoma na kwa sababu gani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huoni maana yake akati nshaonaga Hadi kisa chako ulivyo kula kimasihara
Happy New year too jiraniiHappy New Year.
Sasa mimi kusoma partially siwezi. Lazima niusome vema. Kama naona hauna maana naupotezea tu.
Jibu la kibabe sana hili kama.kesho utaniona😂😂😂 Hata sijui tena kama nipo au sipo. Maana mara ya mwisho kuwasiliana sikumbuki nilikuwa wapi. Ko, huenda nipo ama nisiwepo.
[emoji1533]...0Sefuli....
Maana yake ni nini Mkuu?
Sifuri.
O
Tigo
[emoji16][emoji16][emoji16]Kwa mpalange
Kinyeo
Udnukm
[emoji3064][emoji39][emoji2839]Ndogo
Augustinoung'wabi
Tope
Nimemfahamu Mungu wangu kwa namna ya kipekee kabisa... Nina imani thabiti juu yake na uwezo wake wa uumbaji.... Kumkejeli ama kum challenge kwangu ni kitu cha kuogofya mno...!!!Hata wewe [emoji16]