Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu amekupa details hapo kwa picha kwambaMkuu ungetoa full details ili watu tuchangamkie fursa
Anahitaji mchongo ndugu yetu tumpatie mchongo aweze kujikimuMwalimu wa masomo ya economics na geography, nahitaji shule ya kufundisha.
Kingine kama kuna mtu anakopesha au taasisi nahitaji ufadhili kwenye kilimo cha nyanya ekari moja kuanzia mwezi oktoba. mawasiliano : 0786898066
Mfumo wa ajira kaka ndio umekuwa wa ovyo sana imekuwa kupata ajira lazima uwe na connection.Kwanini kazi zimekuwa hadimu sana kipindi hiki !?
Anaefahamu amsaidie ndugu yetu.Wakuu natafuta chimbo wanalouza polish, wax, air freshner za magari kwa bei ya jumla
Anahitaji mchongo ana diploma ya pharmacy.Ndugu zangu jamii forum nahitaji mtu anayeweza kunipa ajira yoyote halali maeneo ya shinyanga mjini nina diploma ya pharmacy lakin sina lesseni nategemea kupata mwezi wa kum huu
Tupeane michongoNiko na ujuzi wa mambo ya fuatayo.
[emoji117]Kuandaa matangazo ya kupost kwenye mitandao ya kijamii kwa ajiri ya kujitangaza(Posters),
[emoji117]Design ya Mabango ya biashara, Stickers kwa ajili ya Ofisi mbali mbali
[emoji117]Pia naweza kufanya Social media management.
Mwenye connection ya kazi tajwa hapo juu. Naomba shavu...[emoji849][emoji849]
MO GFX
Tell +255 766 348 089
Shukran sana[emoji120]Ili kuufanya uzi uzidi kuwa hai,kwa wale mliopata mchongo kupitia uzi huu sio mbaya kuleta mrejesho hapa
Anatafuta mchongo ndugu yetu.Natafta kazi/internship nina degree ya uchumi na fedha
Tupeane michongoHellow Habari, mimi ni fundi umeme wa magari natumia mashine za kisasa kufanya kazi na pia narudusha/programming kwa funguo zilizopotea zinazotumia sensor. Nitakufuata popote kama gari yako inashida ya umeme, wasiliana Nami 0659-717838
View attachment 1946249
View attachment 1946250
Upo mkoa gani Kaka ? Gali yangu Ina shida flani ya kutowaka coz imekaa ground almost a yearHellow Habari, mimi ni fundi umeme wa magari natumia mashine za kisasa kufanya kazi na pia narudusha/programming kwa funguo zilizopotea zinazotumia sensor. Nitakufuata popote kama gari yako inashida ya umeme, wasiliana Nami 0659-717838
View attachment 1946249
View attachment 1946250
Tafadhali kwa yeyote mwenye kufahamu sehemu yenye uhitaji nicheki DMNina shahada ya kwanza ya Electronics and Telecommunications.
Nina ujuzi pia wa troubleshooting electrical and electronic systems.
Nina ujuzi pia wa networking na namiliki vyeti kadhaa vya kitaalamu.
Tupeane michongo
Tupeane michongo