Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

Anahitaji mchongo ndugu yetu kwa yeyote mwenye connection bhasi asisite kumsaidia ndugu yetu.

Uaminifu uwe kipaumbele chetu..


Tusaidiane kwa kuwa sote hatujui kesho yetu.
 
Shukran sana kwa kutokuwa mchoyo wa michongo na kutusanua mchongo mpya utakao tusaidiane sote katika kuzidi kupata michongo zaidi.
Asante ndugu..



Tupeane michongo
Tupeane michongo
 
Habari Nina kampuni ya ulinzi nahitaji kufungua branches sehemu mbalimbali hivo mwenye interest na uzoefu anaweza nichek PM tuyajenge kwa ushirikiano wa uaminifu
Wakuu fursa hiyo.
Kwa ambaye yupo tayari kufanya kaz na ndugu yetu bhas amtafute..

Tuchangamkie fursa.
Pia kama hutojal kiongozi @mibiki ungetoa mawasiliano yako ili iwe rahisi zaidi.

Shukran sana kwa kutokuwa mchoyo wa michongo.
 
Udemy ni nn?
 
Udemy ni nn?
Udemy ni site moja inayojihusisha na maswala ya utoaji wa elimu mbalimbali.
Mfano.
Ya kiuchumi.
Kijamiii.
Siasa
Teknolojia.
Na mengine mengi.
Bila shaka nahisi ntakuwa nmekupa ufanunuzi japo kwa ufupi ila naiman utakuwa umepata mwangaza.




Tupeane michongo
Tupeane michongo
 
Wakuu mje mtuletee hata kazi za kutumia nguvu, kufanya asubuhi hadi jioni mtu anapewa ujira wake

Coz hizo kazi za professional tulizo somea imekuwa ni ngumu kuzipata kutokana na current situation ya soko la ajira hapa nchini

Nawasilisha

Wewe binafsi ulisomea nini?
 
Naomba namba yako mkuu,
 
Wakuuu mchongo huu hapa......ninabiadhaa nataka kuuza uswahilini na masokoni au nyumba kwa nyumba.....tutatumia gari kuzunguka hayo maeneo.
Vigezo wanahitajika watu WA sales
. Wawe ambaye wanaweza kushawishi watu
. Wachangamfu
. Wasio hona aibu
. Waweze kufikia taget
.malipo ni kwa mwezi....tutajadiliana
Nahitaji vijana 2 Tu....jinsia yoyote ile
Kwa mawasiliano ni PM.
 
Mkoa gani
 
Naunganisha free call tgo kwenda mitandao yote kwa muda miaka 3
Pia 72 gb ambazo KILA mwez unakuwa unapata gb 6
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Huduma zote malipo Ni baada ya kazi
[emoji115][emoji115][emoji115]Pia nakutengenezea lain ya uwakala kwa majina yako mwenye hii Ni mitandao yote sifa uwe na tin number na kitambulisho Cha taifa,lesen pia Kama ipo Ni vizur Zaid[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]malipo baada ya kazi


[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] Nahitaji wapo walio seriously TU janjajanja staki[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Shukran sana kwa kutokuwa mchoyo wa michongo.

Ila hujaelezea nu mkoa gani..?
 

Kwa wadau wanaohusika wanaweza fuata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…