Hallow Mr ambition plusLinkedIn ina michongo mingi ila watanzania ni wa kuesabika tena wanashidwa kuweka wasifu wao vyema/sawia inavyotakikana. TZ tumechelewa hebu tuamke mazee.
Inategemea na wewe umebobea kwenye nini,ama umesoma nini na unatafuta kaz ya aina gani,Hallow Mr ambition plus
Naomba unisaidie kwa kunitajia page au watu ambao wanashare michongo ya kueleweka mjini LinkedIn ili na mm niwafollow
Inategemea na wewe umebobea kwenye nini,ama umesoma nini na unatafuta kaz ya aina gani,
Mfano ukiangalia michongo yangu mingi ni kazi hospitality industry,uko ndio kwangu na nime follow watu wa aina hio
ooh kumbeInategemea na wewe umebobea kwenye nini,ama umesoma nini na unatafuta kaz ya aina gani,
Mfano ukiangalia michongo yangu mingi ni kazi hospitality industry,uko ndio kwangu na nime follow watu wa aina hio.
Nimepigiwa simu,hawa jamaa wanataka kulipwa...Changamkia fursa! Anahitajika receptionist anayejua computer, kingereza na pia anajua kutatua matatizo ya wateja haraka sana! Kazi iko masaki, nipigie 0714217326 sasa hivi ila kumbuka vigezo na masharti
Unazingua mkuu
Dah.. ngoja nrud gym aiseJaribu mchongo huoView attachment 1965483
Kesho Kuna kaziii ya zege wanahitajika watu kama 12 hviii naniii yupo tayari wanazengo
Mchongo kwa hewa location boko na bunju dar es salaam washtue wanaaa mchongo umetimba tayariii kwa ajiri ya kesho wadau
#mchongo updated
stoplight[/U
[/QUOTE]
mimi ni fundi magari nafanya diagnosis kwa kutumia kifaa cha kisasa pia natengeneza mifumo ya umeme na mechanics kiujumla nipo Mlimani City karibu kwa huduma bora pia nafika popote uli
Shukran sana kiongozi kwa uungwana hakika Mungu atakulipa kwa jemaNimepigiwa simu,hawa jamaa wanataka kulipwa...
Usikubali kununua kazi.
Achana nao
Shukran sana.
Tupeane michongo.Mimi ni fundi rangi na decoration za nyumba na kufunga /kudesign gypsum board tupeane michongo wadau call or wasup me through 0757735884 location mbeya mjin lakin popote nafanya kazView attachment 1965974View attachment 1965976
Shukran kaka mkubwaTupeane michongo.
Anajihusisha na ufundi na nimzoefu.
.rangi
.kudesign gypsum board n.k.
ANAHITAJI MICHONGO.
#TUPEANE MICHONGO
Tuko pamojaShukran kaka mkubwa
Nakubaliana na wewe kwa % ukiwa mwaminifu hakika kila utakuwa umejijengea ukuta mpana sana wa kuwa na mafanikio kupitia wale wanaokuamini..Uaminifu na punctuality ni silahaa kubwa sana kwenye mafanikio
# my tip