Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

gharama zake so kubwa sana,mbegu peke ake ni 30,000 kwa hzo ekar mbil,haihtaj mbolea kama shamba linalutuba ata ya wastan na halihtaj mvua ya kutoxha ili listawi ,hasa pale linapochanua huhtaj ukame ili kupata alzet zenye mafuta meng
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
mchongo kwa sasa ni kilimo tu,ukilima ekar 2 za alizet lazma utatoka na m4+,mafuta tz imekuwa tatzo wajanja tunachangamkia fursa hii
Shukran sana kwa kushitua mchongo huo

Asante sana kwa kutokuwa mchoyo wa mchongo.


Tuchangamkie Fursa.
 
FOR WHO IT MAY CONCERN;

I'm a young man of 32 yrs Old,I hereby write to indicate my interest for any vacant position in your Project or company according to my education level. I am a young and passionate individual with sound knowledge of client management and relationship. My Education level is Ordinary Level/College.

I used to work in a park (Serengeti) as a Curio Shop Cashier and Attendant since 2016,Waiter/Bartender in Tented Lodge,e.t.c . I have enough experience in various activities related to tourism because I was in a places that meets people in Tourism field such as Tour Guides, Camps and Lodges Workers,Balloon Crew and Tourists as well. Due to COVID-19,I had to go back home, so at present I haven't a specific job.

I will look forward to hearing from you, while I am available for an interview at your convenience.

My PM is OPEN. You're warmly welcome!
Kuna sehem umesema umewahi kuwa bar manager?
 
Yaah. Nimewahi kuwa Meneja wa Bar kabla sijatimkia Porini kuangalia fursa nyingine mkuu
Mi naomba kazi jmn kwa mwenye connection ya waandishi wa article za kiswahili kama phonix ,opera na nyingine nyingi za kiswahili , nambeni kwa anaejua aniunganishe nami niandike articles zangu huko, nisaidieni jamani sina ajira
 
Mi naomba kazi jmn kwa mwenye connection ya waandishi wa article za kiswahili kama phonix ,opera na nyingine nyingi za kiswahili , nambeni kwa anaejua aniunganishe nami niandike articles zangu huko, nisaidieni jamani sina ajira
Wewe ni KE au ME
 
KAMA UNA MTOTO WAKO WA JINSIA YA KIKE AU WA KIUME NA AMEMALIZA DARASA LA SABA THEN IKATOKEA AMEFAULU NA KUCHAGULIWA SHULE ZA DAY
NA WW MZAZI UNATAKA AKASOME SHULE YA BOARDING YA SEREKALI KUEPUKA GHARAMA ZA NAULI KWENDA NA KURUDI SHULE

WASILIANS NA MM,KWAN NTAMTAFUTIA MWANAO SHULE YA KUHAMIA YENYE HOSTEL AU BORDING HUKU MKOANI KILIMANJARO MOSHI

WASILIANA NA MM KWA MAELEZO ZAIDI

CALL & WhatsApp 0764616353
 
Weka na bei,tukuungishe kwenye mchongo wako kama ni wa uhakika.
Free call 21000 (miaka 3)
GB 72 20000 ( mwaka mmoja//)

[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Huduma zote malipo baada ya kazi kwa uwakala zinatofautiana kila siku
 
Free call 21000 (miaka 3)
GB 72 20000 ( mwaka mmoja//)

[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Huduma zote malipo baada ya kazi kwa uwakala zinatofautiana kila siku
Yaan hizo GB 72 zitakuwa zinajiunga kila mwez au ni mara moja tu ndio zinakaa mwaka mzima
Nieleweshe kidogo
 
Nahitaji mfanyakazi wa ndani,awe na jinsia ya kike,umri kati ya miaka 18-40 atakula na kulala kwangu,in case of emergency kama ataugua nitagharimia matibabu mimi,kuna issues kama za sikukuu ama mapumziko nitagharimia mimi,location ni Arusha mjini
Kama hujampata nicheki 0692114825
 
Back
Top Bottom