Jamani mpaka sasa bado natafuta kazi ya ulinzi kwenye makampuni yaliyosajiliwa kisheria.
Nimehitimu form 4 .
Udhoefu wangu wa miaka mitatu nikiwa kwenye ulinzi .
Nimesoma maswala ya haki za binadamu.
Risk Assessment , customer care n.k
Urefu wangu 5.57 .
Kazi ninaipenda na ntaifanya kwa weledi wangu.
Nahitaji kampuni iliyosajiliwa kisheria na inatoa mkataba kwa mfanyakazi.
Pia nina uwezo wakuzungumza kiswahili na kiingereza.
Mawasiliano Yangu
0745186254/0789850480 pia unaweza nicheki kwa email:
williammawazo63@gmail.com
Wenu
Ashomile .