Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unako ka uzoefu ka LinkedIn hata kidogo?Naaply vipi hii kazi mkuu? naomba link kaka
Kwa maana ingine wanatafuta Hotel assistant Manager.Namna gn ya kuapply hii kazi
Na kwakua umesema umeshafanya interview sio mbaya ukishare pia ni kitu gn wanaangalia sana au wanatafuta mtu wa aina gn
Pia mwisho wa kutuma maombi ni lini?
Natafuta soko la wateja na kuwauzia karatasi aina zote kutoka nchini China... ni useme ni aina gani ya karatasi unahitaji.
Unaweza usiwe na mtaji ila una CONNECTION to connection ukafanikisha biashara ifanyike. Maana una percent yako ni biashara endelevu.
Uaminifu ni kitu cha kwanza janja janja hakuna. Uaminifu ni mtaji.
Ungefafanua unauza karatasi za aina ipi na kwa gharama ipi
Mfano mm naweza kununua hata kontena tano la karatasi hizi za lim paper used.
Kikubwa ww niambie kama unazo na unauza kwa bei gn kwa kilo hata zijae kontena kumi, kikubwa taja bei yako kama nitaona ni nzuri, tutafanya biashara
Hapana mkuuMkuu unako ka uzoefu ka LinkedIn hata kidogo?
0755780705 grouponesecurity50@gmail.comWakuu fursa hiyo.
Kwa ambaye yupo tayari kufanya kaz na ndugu yetu bhas amtafute..
Tuchangamkie fursa.
Pia kama hutojal kiongozi @mibiki ungetoa mawasiliano yako ili iwe rahisi zaidi.
Shukran sana kwa kutokuwa mchoyo wa michongo.
Upo mkoa gani mkuuWakuu nahitaji kazi ya ulinzi ,
Nimehitimu kidato cha nne,
Nina uwezo wakuzungumza Kiswahili pia kiingereza.
Nimepitia mafunzo mbalimbali pamoja na kupata elimu ya customer care, risks assessment n.k
Haswa makampuni ya ulinzi na yaliyosajiliwa kisheria na hayasumbui kwenye mishahara.
Nina udhoefu kwa miaka mitatu, na nimepitia mgambo pia urefu wangu ni 5.57.
Mawasiliano Yangu 0742186254
Mkuu unako ka uzoefu ka LinkedIn hata kidogo?
Nimemsaka huyu HR ila nafasi hio siioni
Nipo mkoa wa shinyanga kwa sasa , ila naweza kufanya kazi popote pale kwa Tanzania hii .Upo mkoa gani mkuu
Kaka kila nikitaka niku PM,inagoma... Inaonekana kwenye Privacy Settings zako hujaruhusu PM.Mchongo wa bartender/barmanView attachment 1945222
Fungua PM Mkuu.... Am ready!Mimi natafuta mchongo wa General manager,F&b(food and beverage)manager na pia barmanager.
Mimi natafuta mchongo wa General manager,F&b(food and beverage)manager na pia barmanager.
Ni pm numberNatafuta soko la wateja na kuwauzia karatasi aina zote kutoka nchini China... ni useme ni aina gani ya karatasi unahitaji.
Unaweza usiwe na mtaji ila una CONNECTION to connection ukafanikisha biashara ifanyike. Maana una percent yako ni biashara endelevu.
Uaminifu ni kitu cha kwanza janja janja hakuna. Uaminifu ni mtaji.
Mwaga CV nikupe pa kuomba kaziMimi natafuta mchongo wa General manager,F&b(food and beverage)manager na pia barmanager.