De Rabbits slick
Senior Member
- Mar 18, 2018
- 167
- 166
- Thread starter
-
- #561
Na kama sijakosea unamaanisha kiwanda cha Maji ya Afya bila shaka.[emoji2369]Msaada
Ndugu zangu naomba kujua kiwanda cha afya kiko wapi hapa dar es salaam na vipi kinatoa ajira au kibarua ?!msiniangushe nawaaminia
Asanteni
Ndio mkuuNa kama sijakosea unamaanisha kiwanda cha Maji ya Afya bila shaka.[emoji2369]
Mkuu nenda ferry pale kivukoni utapiga ela mpk ukimbie fanyia pale stendi za mabasi utakuja nishukuruNINATAFUTA SEHEMU YA KUWEKA MASHINE YA KUKAMULIA JUISI YA MIWA HAPA DAR ES SALAAM.
ATAKAYEKUWA NA SEHEMU NZURI MAENEO YENYE MZUNGUKO WA WATU HASWA BARABARANI NA MASOKONI NAOMBA TUWASILIANE. NINA 50K MFUKO WA SHATI KWA ATAKAYENIPATIA ENEO. SHARTI LIWE ENEO LENYE MZUNGUKO WA WATU NA LINALORUHUSIWA KWA BIASHARA. NATANGULIZA SHUKRANI.
NIPIGIE AU TUMA UJUMBE 0743534388
Nafikiri kipo Kisawarawe, pia ukipitia kibada kwenda Mwasonga ndio karibu zaidi.Msaada
Ndugu zangu naomba kujua kiwanda cha afya kiko wapi hapa dar es salaam na vipi kinatoa ajira au kibarua ?!msiniangushe nawaaminia
Asanteni
Shukran sana ni wakati wa kuchangamkia fursa sasMCHONGO MLIMANI CITY
Immediately
Anatafutwa mtu mwenye mwil mnene awe atleast KILO 80 na kuendelea awe km faza chrismass kwa week mbili kabla ya mpaka siku ya chrismass,malipo 30k per day muda wa kazi ni kuanzia asbh saa2 mpaka saa12 jion
Mwenye vigezo amchek huyu jamaa 0769294638
Ingia ajira Portal wametoa ajira nyingi sana kiukweli ukituma maombi huwezi kosa bahatika hata sehemu moja tuma uwezavyoWAKUBWA MWENYE CONNECTION YA KAZI YA AFISA MTENDAJI WA KIJIJI AU MTAA (CERTIFICATE OF PUBLIC ADMINISTRATION AND MANAGEMENT SYSTEM) UDOM
AHSANTENI NDUGU ZANGU
Mkuu hii n serious niipost whatsap?MCHONGO MLIMANI CITY
Immediately
Anatafutwa mtu mwenye mwil mnene awe atleast KILO 80 na kuendelea awe km faza chrismass kwa week mbili kabla ya mpaka siku ya chrismass,malipo 30k per day muda wa kazi ni kuanzia asbh saa2 mpaka saa12 jion
Mwenye vigezo amchek huyu jamaa 0769294638
Post
Post kaka, kidogo share na wa karibu yako.