Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

Wadau nahitaji msaada wa kupata nafasi ya kuhamia kutoka halmashuri ya wilaya kwenda taasisi/ mashirika ya umma. Nina shahada ya uhandisi mitambo (mechanical engineering) pamoja na Sitashahada ya uhandisi migodi (mining engineering). Naomba msaada kwa mdau aliye na connection ya kuniwezesha kupata nafasi ya kuhamia kwenda taasisi kama Veta, Osha, Tanesco, Ewura, Ratra, Tbs, Tasac, Tpa, Tpdc, Stamico, n.k
 
GB 72 kwa mwaka mzima bado zipo anayehitaji Pm.malipo kabla ya kazi
Call tgo kwa miaka 2 pia ipo Malipo baada ya kazi [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Natafuta connection ya wateja wa, kuku,wapo kuku 300 madume na majike,pia na bata,.anaechukua kuanzia kuku 50 na kuendelea.ni chotara wenye kilo 5 .karibu Sana,0622310464.
Kuku unauza bei gani mmoja?
 
Naunganisha tgo gb 72 za mwaka mzima ambapo kila mwez utapata GB 6 kwa siku 14 kwa mwaka mzima Bei Pm. ( Malipo kabla ya kazi).
Pia naunganisha free call tgo kwa miaka 2 ( malipo baada ya kazi)
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Only for seriously people.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
WADAU NAHITAJI CONNECTION YA NURSING KTK HOSPTAL AU ZAHANAT YEYOTE APA MJINI DSM NINA CHETI CHA COMMUNITY HEALTH. NITASHUKURU TUSAIDIANE WAKUU
 
Aisee wakuu kitaa ni kigumu sana. Nina leseni daraja D kama kuna boss anahitaji kuendeshwa dereva nipo. Naendesha gari vizuri tu na nina uzoefu wa kutosha kuendesha manual na Automatic.

Asanten sana wakuu.
 
Aisee wakuu kitaa ni kigumu sana. Nina leseni daraja D kama kuna boss anahitaji kuendeshwa dereva nipo. Naendesha gari vizuri tu na nina uzoefu wa kutosha kuendesha manual na Automatic.

Asanten sana wakuu.
Tafuta mtaji uanze kubeti achana na mambo ya kazi ndugu yangu
 
Back
Top Bottom