kumbe ni wewe unataka sio mdogo wako tena,acha janja janja utakosa kaziWADAU NAHITAJI CONNECTION YA NURSING KTK HOSPTAL AU ZAHANAT YEYOTE APA MJINI DSM NINA CHETI CHA COMMUNITY HEALTH. NITASHUKURU TUSAIDIANE WAKUU
Mtaji tunaweza upatia humo. Halaf mtaj wa kufanya biashara gani mkuuTafuta mtaji uanze kubeti achana na mambo ya kazi ndugu yangu
Kubeti nabeti sana na napigwa na muhindi sana tu mkuu[emoji23][emoji23]kumbe ni wewe unataka sio mdogo wako tena,acha janja janja utakosa kazi
Kubeti nabeti sana tu mkuu na kupigwa napigwa sana tu. Naona nitafute mishe nipige tu [emoji16][emoji16]Tafuta mtaji uanze kubeti achana na mambo ya kazi ndugu yangu
ma umepata number yake naomba na ilo wazo la kulima mwakan alizet dodomaMkuu, unapatikana pande zipi naomba nipm nipate namba yako, natanguliza shukran
nina elfu kumi naomba niunge dakika tuNaunganisha tgo gb 72 za mwaka mzima ambapo kila mwez utapata GB 6 kwa siku 14 kwa mwaka mzima Bei Pm. ( Malipo kabla ya kazi).
Pia naunganisha free call tgo kwa miaka 2 ( malipo baada ya kazi)
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Only for seriously people.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
ka
ma umepata number yake naomba na ilo wazo la kulima mwakan alizet dodoma
Bado sijazipata Mkuuka
ma umepata number yake naomba na ilo wazo la kulima mwakan alizet dodoma
Huu kweli ni uzi kwa ajili ya kupeana michongo 🙄Naunganisha tgo gb 72 za mwaka mzima ambapo kila mwez utapata GB 6 kwa siku 14 kwa mwaka mzima Bei Pm. ( Malipo kabla ya kazi).
Pia naunganisha free call tgo kwa miaka 2 ( malipo baada ya kazi)
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Only for seriously people.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Upo mkoa gan mkuuNATAFUTA MTU WA KUUNGANA NAYE TUFANYE BIASHARA YA MAZAO-AWE NA UZOEFU KIDOGO
Mie mkuu,ninauzoefu wa kutosha.biashara ya mazao inalipa Kama ukifata kanuni zake.NATAFUTA MTU WA KUUNGANA NAYE TUFANYE BIASHARA YA MAZAO-AWE NA UZOEFU KIDOGO
Mawazo mazuri! Kama kuna kijana/vijana graduates ktk Mass Communication/Journalism na wana excellent command ya english language naomba wanicheki Inbox! Kuna fursa ya kuandaa “Articles” mbalimbali kwa lu
Check me bro 0785189253 we can do somethingNatafuta soko la wateja na kuwauzia karatasi aina zote kutoka nchini China... ni useme ni aina gani ya karatasi unahitaji.
Unaweza usiwe na mtaji ila una CONNECTION to connection ukafanikisha biashara ifanyike. Maana una percent yako ni biashara endelevu.
Uaminifu ni kitu cha kwanza janja janja hakuna. Uaminifu ni mtaji.
Mazao ya msimu, mazao mengine yatakukata mtaji mpaka akili ikukae sawa, mfano mpunga...Morogoro
OK, Mpwani Jr.Check me bro 0785189253 we can do something
Ukowap mkuuNATAFUTA MTU WA KUUNGANA NAYE TUFANYE BIASHARA YA MAZAO-AWE NA UZOEFU KIDOGO
Habari ya usiku wana jf wote jamani nina shida na msichana aliyesomea computer sifa ajue adobe tu antafute kwa 0713133744