De Rabbits slick
Senior Member
- Mar 18, 2018
- 167
- 166
- Thread starter
- #141
Tupeane michongoTUPEANE MICHONGO
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupeane michongoTUPEANE MICHONGO
[emoji120]Michongo itakayosaidia kipindi hiki ni ile ya kumpa mtu pesa ya kula na japo kubadilisha nguo wakuu
Ili aweze ondokana na mawazo potofu ambayo kwa wakati mwingine yanaweza hatarisha maisha yake.Hali ni mbaya sana huku mtaani na vijana wamekata tamaa sana ya maisha
Toa mchongo ambao mtu akiwa na miguu yake miwili na mikono yake miwili anafanya ili apate ahueni ya maisha yake
Ingieni Crypto acheni longolongo..Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo..
Yaani mtu ndo kwanza anatafuta pesa kwa ajili ya kuweka mdomo kinywani, unakuja kumueleza mambo ya cryptoIngieni Crypto acheni longolongo..
ni wewe na account yako mwenyewe kivyako hakuna mtu kati wala nini...
Ikoje hiyo mkuu crypto
Shukran nadhan ingependeza zaidi ukatoa maarifa ili wahitaji wachangamkie fursa.Ingieni Crypto acheni longolongo..
ni wewe na account yako mwenyewe kivyako hakuna mtu kati wala nini...
Umeongea vyema na kiungwana zaidi..Watu hawana mtaji tupeane michongo ya kupata hela ili tuingize crypto sasa mkuu
Kabisa kiongozi.Mtoa hiyo fursa kakimbia
Sijui anjipanga labda ila asije akatugeuza fursa sie
Maana hali mbaya saana
Wapo njiani utapata utatuzi.Natafuta mtu wa kuniandika cv vzur.... aje dm
Ndugu yetu graduate anahitaji mchongo katika kampuni ya ujenzi anauzofu tajwa hapo juu na anataaluma ya mkadiriaji gharama za ujenzi. Kwa lugha ya kigeni QUANTITY SURVERYOR.Shukran sana kwa mtoa uzi
Waungana mm ni GRADUATE QUANTITY SURVEYOR(mkadiriaji gharama za ujenzi)
Pia ni ujuzi kwenye masuala ya cost planning, cost budgeting,BoQ preparation, contract administratin, project management etc..... Msaada jmn km ntaweza kupata company yoyote ya ujenzi nitajitolea for free
Shukran kwa kutokuwa mchoyo wa mchongo.Natafuta wauzaji wa reja reja wa dagaa wa nyasa, nauza kwa jumla.
0743123946
Nimeweka uzi natafuta meli mbovu kubwa na ndogoHabari nimeamua kuadika uzi huu kwa lengo la kusaidiana hasa kwa wale pata shida kwa kukosa ajira na kuishi kulimbikiza stress kichwa na wakti mwingine kufikia kujiwazia mabaya katika maisha yao.
Hivyo bhasi niombe wanzengo kama kuna mwenye mchongo wowote ilhali ni salama na usio kinyume sheria unaweza share ili kusaidia jamii yetu.
Lengo ni kujikwamu kimaisha.
Pia unaweza share mchongo+
Ushauri
Ahsanteni naomba kuwasilisha.
#Tupeane Michongo.
Ufafanuzi zaidi unahitaji mayai upo maeneo gani ili iwe rahis kukufikia kwa wakati.?Natafuta mayai ya kisasa kwa bei ya jumlaa.. kama unayo ni pm