Ma mee
Member
- May 20, 2021
- 53
- 84
Full scholarship
Hii link haifunguki mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Full scholarship
Asante kaka karibu piamkuu naomba niwe kijana (msaidizi) wako tafadhali nakuomba nisaidie.
Hio free call pia unatumia siku 14?Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez Bei 20000
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa Ni tsh 23000/
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuni[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Haiwez kusitishwa mkuu yenyewe Ni full kupiga tuHio free call pia unatumia siku 14?
Na je vipi huduma ikisitishwa kabla ya miaka 2?
namb yako mkuuNaunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez Bei 20000
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa Ni tsh 23000/
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuni[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Nishakujibu pm mkuunamb yako mkuu
Asante Sana mlioniamini nanimefanya kazi na nyie huduma hii pia kesho itakuwepo wenye uhitaji msisite kunipMNaunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez Bei 20000
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa Ni tsh 23000/
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuni[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Yule aliyekuwa anaulizia kazi ya ulinzi hii Hapo. Naomba mumtag
Ndugu mm naomba nafasi pia..ninauzoefu nayo iyo kazmimi ni fundi magari nafanya diagnosis kwa kutumia kifaa cha kisasa pia natengeneza mifumo ya umeme na mechanics kiujumla nipo Mlimani City karibu kwa huduma bora pia nafika popote ulipo
Kwa halotel vip???Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez Bei 20000
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa Ni tsh 23000/
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuni[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Sina mkuu kwa halotel Ni tigo tu mkuuKwa halotel vip???
Huyu jamaa ni dereva mzuri sana wa magari ya makubwa Hana cheti tu Cha form four ila ana uzoefu wa zaidi ya miaka kumi kwenye kuendesha mambo yake magumu sanaShukran sana kwa kutokuwa mchoyo wa mchongo naiman kuna ambaye anatufaika na mchongo huu..
Kama kuna ndugu jamaa anahitaj mchongo huu basi amshtue ili ajikwamue kimaisha [emoji120]