Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

Nachohitaji Nipate Mtu Mwenye Mzigo Wa Simu Nifanye Nae Biashara
 
Ofa ofa!!!!Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez kwa mwaka mzima
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] Wanaohitaji njoo Pm
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuni[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Habari ndugu zangu mwenye connection za sheli anisaidie au supermarket hali ngumu mtaani unaeza jikuta unafanya vitu vya ajabu hasa sisi mabinti [emoji22]
elimu yangu kidato cha nne
 
Hbr ya leo ndugu zangu, nina degree ya uchejuaji Madini/mineral processing..nina uwezo wa kusimamia migodi midogo midogo inayopatikana sana geita na chunya kama mkemia..naombeni msaada wenu.
 
Hbr ya leo ndugu zangu, nina degree ya uchejuaji Madini/mineral processing..nina uwezo wa kusimamia migodi midogo midogo inayopatikana sana geita na chunya kama mkemia..naombeni msaada wenu.
Anadegree anaihitaji mchongo
Tusaidiane kupeana michongo jamani
 
Habari ndugu zangu mwenye connection za sheli anisaidie au supermarket hali ngumu mtaani unaeza jikuta unafanya vitu vya ajabu hasa sisi mabinti [emoji22]
elimu yangu kidato cha nne
Ni kweli kabisa dada.
Muombe Mungu atatoa utatuzi juu ya hili ipo siku utafanikiwa.



Anaelimu ya kidato 4 anahitaji mchongo ikiwezekana supermarket au sheli
Tumsaidie dada yetu.

NB: kazi halal, isiyonachembe ya rushwa yeyote, wala udhalilishaji hasa kwa mwanamke.


Tupeane michongo
Tupeane michongo
 
Again

Natafuta mchongo kwa issues zote za graphics design. LOGO | POSTER | FLYER | MABANGO | STICKERS
MO%20GFX-1.jpg
 
Ofa ofa!!!!Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez kwa mwaka mzima
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] Wanaohitaji njoo Pm
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuni[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
KUMBUKA SIO KILA ANAETANGULIA ANAFIKA MAPEMA BHALI NI KUWA MWAKILISHI WA KUIANZA SAFARI MAPEMA HIVYO USIDHARAU WALICHELEWA KUPATA RIDHKI.

Tuendelee kusaidiana.


TUPEANE MICHONGO
TUPEANE MICHONGO
TUPEANE MICHONGO
FB_IMG_1635584995295.jpg
 
Back
Top Bottom